Wee ndio mwanamke wakuoa😍😍😍😍 achana na hawa pretendersMimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Wee ndio mwanamke wakuoa😍😍😍😍 achana na hawa pretendersMimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
🤣🤣Sasa watoto Watu si wamemtosha....anataka nn tenaYaani ukiwa single mother inatakiwa uwe careful na mtu wa kuwa naye maishani. Sio una watoto 3 tena wadogo then unataka kuolewa, uko serious kweli. Au unaachana na mume una watoto hata hawajakua tayari uleshapata mwanaume mwingine eti unaolewa. Kuna mmoja huyo kaachana na mumewe na watoto 3 juu anataka kuolewa, namuangalia tu anavyohangaika. Upande wa mwanaume wamemkataa sababu ya tabia zake lakini yupo tu anaforce. Yaani mtu hujali watoto wako uliowazaa utajali wa wengine kweli?
Yaani ni shida , na kaachana na mume wake kwa mbwembwe na kudai mgao na alikuwa anataka 50 % naona hakupata alichotaka sasa anahangaika kutaka kuolewa tena🤣🤣Sasa watoto Watu si wamemtosha....anataka nn tena
Hana akili huyoYaani ni shida , na kaachana na mume wake kwa mbwembwe na kudai mgao na alikuwa anataka 50 % naona hakupata alichotaka sasa anahangaika kutaka kuolewa tena
Yaani, kutwa ni kuzurura. Na aliyekuwa mume wake kapandiswa cheo ndio anazidi kuwa na mpunga. Bado kivuli cha mumewe kinamfuata ,anashindana ili aonekane nayeye analipa.Hana akili huyo
Wanawake shida ipo hapo, always want ready made thingsYaani, kutwa ni kuzurura. Na aliyekuwa mume wake kapandiswa cheo ndio anazidi kuwa na mpunga. Bado kivuli cha mumewe kinamfuata ,anashindana ili aonekane nayeye analipa.
Hahahah, ngoja akaongeze mtoto mwingine huko then aachwe.Wanawake shida ipo hapo, always want ready made things
Watu wanamfanya breeding machine🤣🤣🤣🤣Hahahah, ngoja akaongeze mtoto mwingine huko then aachwe.
Ulikuwepo kwanini hukumsaidia mwenzakoNdo ivo mwanamke kaoga, ainame apakae mafuta kakatwakatwa kama mnyama.
Simnenei mabaya ni teality tu.Jaman,usimnenee mabaya
RealitySi
Simnenei mabaya ni teality tu.
Pole, kumbe ulishaolewa? Yes 2 wanatosha kabisa. Kuolewa labda watoto wakikuwa kabisa. Unaacha watoto eti unaenda kuolewa tena duu, au unaenda na watoto kwa mume mpya.Mi ninao wawili natamani nifunge uzazi kabisa,kuolewa Tena ni kutesa watoto tu
Ila utam ukishikwa na kiu usiache kuutendea hakiMi ninao wawili natamani nifunge uzazi kabisa,kuolewa Tena ni kutesa watoto tu