Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Mwalimu mwenzangu kafariki kisa ndoa

Unakuta mna watoto 3 halafu bado wanataka kugawana mali . Mali zenyewe hata si nyingi. Ila kwa hii kesi sijajua kama walizaa pamoja
Ni ubinafsi tu.
Halafu siku hizi watu wanaachana kwa sababu zisizo na msingi kabisa zaidi ni ubinafsi tu
 
Sad, alikuwa single mom....watu wakachonga sana. Huolewi coz ni Malaya, kama si Malaya mbona umezalishwa hujaolewa...na blah blah kibao.

Lakini hayo yote ni madhara ya kumkataa Mungu. Mithali 3:5-7
 
Mkishakuwa na watoto mnagawana mali za nini. Mtu yeyeto mkorofi ye ndo inatakiwa akapange aache familia kwa utulivu
 
Mkishakuwa na watoto mnagawana mali za nini. Mtu yeyeto mkorofi ye ndo inatakiwa akapange aache familia kwa utulivu
Watu wanaenda hadi kwa sangoma ili wapate mgao. Na mara nyingi waliochangia kidogo ndio wanataka mgao upite. Nyumba iko moja, unakomaa iuzwe, halafu hela zenyewe hata unakuta hazifanyiwi cha maana.
 
Mimi kitu sitofanya hapa duniani, ni kumpenda mwanaume ambae hana pesa.yaani mimi lazima niwe na mwanaume ambae pesa sio tabu kwake, tutakwazana mengine ila sio pesa
Kuna Mwenzako kule Kigamboni alichomwa moto na magunia mawili ya mkaa na Mwanaume mwenye pesa! tamea mate chini omba majanga ya Dunia yakupitie pembeni ubaki kuyasikia kwa watu tu na wala usihukumu!!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom