Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
Si unajua viongozi wetu ni wale walioteuliwa kishkaji?.................lakini wamiliki wa dowans mbona watz wote wanawajua.........ni kikwete,lowasa,rostamu,karamagi,ngeleja............
 
huu ni utani ktk jamii......................ndiyo tatizo la viongozi walioteuliwa kishikaji..............lakini mbona watz tunawajua wamiliki halali wa dowans?.........nao ni:- KIKWETE, LOWASA, ROSTAM, NGELEJA, KARAMAGI
 
Kumjua pekee haisaidii... je tuna proof kwamba kweli ni mmiliki/wamiliki? , tukifanisha hayo hawa jamaa watakuwa lupango.
 
Swali hili akamatwe Riz one maana anajua kiunaga ubaga nani mmiliki wa DOWANS akishirikiana na mafisadi, huyu Nyalandu anaonewa tu.

Mkuu, hata mi naona Nyalandu ir decent. Bt Ridhiwan anahusika vipi na hii issue wakati hana nafasi yoyote serikalini?
 
Kwani hii nchi in mawaziri? Kuna wezi tu waliopewa uwaziri kwa ushemeji na uswahiba,,,,,hivi kama hii serikali ipo serious inakuaje suala la katiba ambalo ndo msingi wa nchi kila waziri na watu wengine wa serikali wanaliongelea kama wanachangia maada ya mapenzi,,,,bila kuwa na msimamo unaeleweka.
 
Kwani hii nchi in mawaziri? Kuna wezi tu waliopewa uwaziri kwa ushemeji na uswahiba,,,,,hivi kama hii serikali ipo serious inakuaje suala la katiba ambalo ndo msingi wa nchi kila waziri na watu wengine wa serikali wanaliongelea kama wanachangia maada ya mapenzi,,,,bila kuwa na msimamo unaeleweka.

Naunga mkono hoja kuwa most of our leaders (including the ministers) wanateuliwa kishkaji, bila kuzingatia uwezo.
 
Soma kiambatanisho........only the owner can do what Mr Aziz has been doing

:hungry:

dowans-owner-rostam.jpg
 

Attachments

  • Dowan's-Article.jpg
    Dowan's-Article.jpg
    208.6 KB · Views: 344
Ndio pia mmiliki halali wa nchi inayoitwa Tanzania mkuu!..
Katuweka wote mfukoni mwake, ndio maana tukisema tuandamane wengi wetu tunakataa!
 
Huyu jamaa katumiliki. JK hana ubavu tena na anatia huruma sna , maana hana cha kufanya
 
Kila kitu kinawezekana hapa Tanzania.
Mwarabu anakuja, anaweka makazi, anapewa ubunge, anaiweka seriakli mikononi mwake na hakuna wa kumwajibisha.
Inasikitisha saana.
 
Yaani hizo sababu zote lazima ziendane! Na zote inabidi zichukuliwe dhidi yake na serikali ya JK.
 
Ushauriwa BURE!

1.Poll hii ingekuwa nzuri sana kama choices zote 5 zingekuwa kwenye option ya kwanza!
2.Hujawatendea haki watu kama akina MAKAMBA na JK, maana hujawapa option yoyote ambayo wao wangeichagua:
eg...
1.Tuache mambo yaendelee kama yalivyo!
2.Tumpe nafasi za juu zaidi za kimadaraka etc!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom