Fredrick Sanga
JF-Expert Member
- Jan 27, 2011
- 3,153
- 701
Tatizo ni upande wa bara hauna serikali (Tanganyika). asubutu zanzibar atakiona
Ipo hii hapa sehemu nhyingine, inajadiliwa tangu juzi
Wangeongeza option ya kifo hapo, huyu ni mtu asiyestahili kuishi
Mpaka kieleweke, huyu mshenzi anatuchezea akili zetu huyu
Option ya kumkili mbona haipo? Hata tukimfukuza atakakoenda watalia tu
tutajie mwarabu gani aliekuja hapa akagombea ubunge??je waijua vizuri sheria ya nchi hii katika kugombea ubunge?au unakurupuka tu kwakua una chuki nawatu weupe?tuache ubaguzi ni dhambi mbayasana.
c dowans 2, anamiliki makampuni kibao na kufanya biashara zake bila kulipa kodi, pia huyo nd'o remote ya jk hawezi kufanya kitu ambacho rostam hataki kifanyike kwani ccm yote iko mikononi mwa rostam
I HATE CCM, I HATE ROSTAM, I HATE KIKWETE - he is proving to be the most incompetent president ever!
Mbona wanatudharau hivyo sisi Watanzania? Kila siku Rostam anasema hawajui wamiliki wa Dowans, serikali yetu chini ya Kikwete imeshindwa kutumia majeshi yake (ikiwemo Usalama wa Taifa) kulinda na kutetea masilahi ya taifa hili. CCM kama chama tawala wameshindwa kuonyesha uzalendo kulinda na kutetea masilahi ya taifa.
Rostam ndiye Chief Paymaster na hawakohoi mbele yake...
I wish I were Tunisian!