Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Mwali: Mmiliki wa DOWANS ni huyu!

Status
Not open for further replies.
Kusema kweli kuna watu wanaitaji kupewa award kwa kazi kubwa wanayofanya ya kutoa habari za ndani kabisa ambazo katika hali ya kwaida ni ngumu mtu kuzipata na mmoja wao ni Mwanakijiji. Kweli i do appreciate your effort kutuelimisha. Endeleeni na moyo huo japo kuna wingu linatanda kuzuia habari zisitoke. Keep it up
 
Rostam Azizi.

Who is Rostam Azizi? Why Rostam Azizi? Where is Rostam Azizi?

Millions of Tanzanians against one - Rostam Azizi. Just one!.

How?

Kwa sababu anapambana na Mheshimiwa Mengi ambaye amejipachika sifa kwamba anapambana na ufisadi
 
Kwa sababu anapambana na Mheshimiwa Mengi ambaye amejipachika sifa kwamba anapambana na ufisadi

Uzuri ni kwamba kupambana na ufisadi huwezi kujipachika tu kama unavyodhani wewe usityetaka kufikiria ni vitu ambavyo vinakwenda na records. kama unaweza kujipachika tu fanya hivyo na wewe au msaidie mtu yoyote ili aweze kujipachika. Una ona ilivyo kazi ngumu, basi mengi ni mpiganaji na amepania kweli kuwavaa mafisadi. Mtakoma!!!

Mengi ni mtu mwenye uwezo hivyo kwake yeye ingekuwa ni rahisi sana tu kuamua kukaa kimya na kuenjoy maisha yake bila tatizo kabisa na ukiangalia kwa kina huu ufisadi unaendelea yeye ni kati ya watu wa mwisho kabisa kuathiriwa nawo( of course wa kwanza ni sisi ambao hatuibii serikali wala baba zetu hawakufanya hivyo na hawafanyi hvyo). Na wewe ndugu yangu kama hauko kwenye kundi la wezi nadhani huna budi kumpongeza kuliko kumkatisha tamaa. lakini kama uko katika kundi la hao wezi wa mali ya uma au baba yako ni mmoja wapo nitakuelewa ukimchukia mengi. Sijui may be hata mimi ningemchukia kama wewe ila sikui kwa sababu sijawahi kuwa kwenye mkondo wa kuiibia nchi.
 
Dark City


mimi nimesoma na habari yenyewe ni mpya na inafanana na habari alizokuwa anatupa kwa vipande mwanakijiji ingawa kicha cha habari siyo kizuri sana kinaonekana kama mwendelezo wa habari za nyuma zilizozoeleka wakati maelezo ya ndani ni kitu kipya kabisa

Shalom tumegee japo kwa ufupi, ama ambaye anaweza pata soft copy ya hii kitu atumwagie hapa kidogo, wengine tuko kona mbaya hatuwezi ipata hiyo mwana halisi ya leo so pleeeese!
 
Shalom tumegee japo kwa ufupi, ama ambaye anaweza pata soft copy ya hii kitu atumwagie hapa kidogo, wengine tuko kona mbaya hatuwezi ipata hiyo mwana halisi ya leo so pleeeese!

Nipe email yako kwenye PM nakutumia sasa hivi hiyo habari nimeshaiscan ila huwezi kuweka kwenye mtandao utakuwa hujamtendea vema mr Kubenea. Ila kwa mtu alaiye mbali naweza kukutumia sasa hivi wewe nitumie email yako hata kaka ni feki mimi nataka upate
 
jamani tulime, haya malumbano hayatatusaidia. Viongozi wote wa serikali ni WAKULIMA. Sisi WAVIVU halafu tunalaumu.
 
dowans_adawy.jpg dowans1.jpg Greetings and Happy New Year!

These are the forms from BRELA. I had an opportunity to interview the guy and when I'm settled I'll probably put out the interview ('m not promising though). These are just the same documents we released over a year ago. Early next year we will have some other documents on Richmond/Dowans saga "Behind the Shadow".

Please stand firm the battle continues until democracy reigns supreme!
 
MMM.... thanks for a fertile doc.... i suppose that if we had a thorough access to the Memorandum and Articles of Association of DOWANS..... that can openly reveal the real directors and hence objectives under which the company was established as all companies in United republic of Tanzania are established legally under company ordinance cap 212...... or does it mean that DOWANS was an offshore company?.... i guess so....
 
Many thanks, mm. Keep it up and Happy New Year!
View attachment 19446View attachment 19445Greetings and Happy New Year!

These are the forms from BRELA. I had an opportunity to interview the guy and when I'm settled I'll probably put out the interview ('m not promising though). These are just the same documents we released over a year ago. Early next year we will have some other documents on Richmond/Dowans saga "Behind the Shadow".

Please stand firm the battle continues until democracy reigns supreme!
 
Sasa hao ICC wanaosema mmiliki wa Downs ni RA wameitoa wapi hiyo?? Au kuna kamchezo kanaendelea??
 
MHANDO WA TANESCO AKATAA KUTAJA MMILIKI WA DOWANS!source TBC1
 
Sioni haja ya kuwalipa hao dowans mpaka watuambie mmiliki wake ni nani? period
 
Many thanks mzee mwanakijiji and we are waiting for more info.
 
View attachment 19446View attachment 19445Greetings and Happy New Year!

These are the forms from BRELA. I had an opportunity to interview the guy and when I'm settled I'll probably put out the interview ('m not promising though). These are just the same documents we released over a year ago. Early next year we will have some other documents on Richmond/Dowans saga "Behind the Shadow".

Please stand firm the battle continues until democracy reigns supreme!

MMM .... ukiangalia vizuri hii form ya BRELA utagundua ni form No. 210a Appointment of a director or Secretary..... na huyu bwana Al ADAWI ametick kwenye box ya appointment as director..... hivyo basi ..... hii si form ya maombi ya kusajiliwa kwa DOWANS....sasa basi AL ADAWI alikuwa anaingizwa dowans kama director..... hii ina maana DOWANS ilikua tayari imeshaanzishwa na ili kuwa na director ambaye ata take cover wakamuingiza AL ADAWI..... hii ndivyo ilivyo
 
Sasa hao ICC wanaosema mmiliki wa Downs ni RA wameitoa wapi hiyo?? Au kuna kamchezo kanaendelea??

Mkuu tofautisha mmiliki na mkurugenzi........so its probably rostam anaweza kua mmiliki vile vile.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom