Watu8
Platinum Member
- Feb 19, 2010
- 76,828
- 110,079
kwa hiyo shangingi linabaki dar au?
likibaki dar huko dodoms atatumia bajaj kupiga misele?
kwa hiyo shangingi linabaki dar au?
La tatu
buu buu mkuu! sasa tamka tu kwa sauti tukusikie.kajamba nani linaitwa
Mkuu kwahiyo ukifanya
kazi yako vizuri unatafuta urais, atajuaje kero za abiria, je dhana ya
uongozi kwa vitendo haina maana anymore. No jamani japo magamba hayafai
kwa moja wala mbili kuna baadhi wanathubutu including Mwakyembe,
Kagasheki na Magufuli tusiwe ifatuated na chuki tukavaa upofu
Haya bhana halafu tumfagilie eti ni mchapa kazi...kweli????shangingi lake nimeliona maeneo ya Morogoro ndani akiwemo nyumba ndogo ya mheshimiwa aliyelishwa sumu.
ni mfano wa kuigwa ila si yeye wa kwanza: Mh.Phales Kabuye(malehemu) alikuwa anatoka Bihalamulo enzi hizo kuja Bungeni-Dodoma wa Usafiri wa Basi la kawaida kabisa na John Mnyika MP-Ubungo wakati mwingine huwa anaenda Dodoma na Vitz.
Si anataka publicity aipande tumuone kama ni mzalendo wa kweli kama alivyopanda hiyo treni.....hatudanganyiki!!!likibaki dar huko dodoms atatumia bajaj kupiga misele?
Mkuu Mzizi wa Mbuyu Mwakyembe alikuwa mgonjwa muda mwingi wakati yupo Ujenzi. Nadhani si haki kumhukumu kwa hilo.Alikuwa wapi alipokuwa naibu waziri wa magufuri?
Mbona kuna madudu mengi tu kayaacha ? Inamaana alikuwa anamuogopa magufuri?
Kiongozi muoga ni dhaifu hatufai!
JK alitembelea magereza,jee kuna lolote lililobadilika magerezani?hata hivyo is good move
Mkuu Mzizi wa Mbuyu Mwakyembe alikuwa mgonjwa muda mwingi wakati yupo Ujenzi. Nadhani si haki kumhukumu kwa hilo.Alikuwa wapi alipokuwa naibu waziri wa magufuri?
Mbona kuna madudu mengi tu kayaacha ? Inamaana alikuwa anamuogopa magufuri?
Kiongozi muoga ni dhaifu hatufai!
Mkuu Sweke, wengine miili yao haiwezi kuhimili dozi hiyo.