Mwakyembe apanda treni kwenda Bungeni Dodoma

Hapa ni uraisi unatafutwa hakuna kingine, wanao mfahamu mwakyembe hawashangai ila waio mjua watashangaa sana, HUYU JAMAA NI ZAIDI YA SITA KATIA KUTAFUTA SIFA,

Tatizo si kupanda tren kwa sababu hata Yule Raisi wa Korea kaskazini mpaka mautu yanamkuta alikuwa kwenye tren ya nch yake,

JE KUPANDA KUTAFUFUA TREN? JE KUTAFUFUA RELI YA TANGA ARUSHA?
 
According to Clouds FM,
Dr Harrison Mwakyembe amefanya supprise visit na kusafiri kwa treni kutoka Dar kuelekea Dodoma kuhudhuria kikao cha bunge. Mud si mrefu tutafahamu alichokusudia kufanya hiyo suprise.

ni mfano wa kuigwa ila si yeye wa kwanza: Mh.Phales Kabuye(malehemu) alikuwa anatoka Bihalamulo enzi hizo kuja Bungeni-Dodoma wa Usafiri wa Basi la kawaida kabisa na John Mnyika MP-Ubungo wakati mwingine huwa anaenda Dodoma na Vitz.
 
amefanya vizuri lakini isiwe one off event au kawapangia trl hiyo safari ili apige picha bali ilikuwa ni routine trip ya trl, na hiyo iwe ndio ni mwanzo wa kuimarisha reli zote iwe ya moshi-arusha-tanga, dodoma-shy-kgm na mza au ya tazara, barabarani ajali ni nyingi mno , usafiri wa reli ni wa kuaminika zaidi tukiwa na nia.
 
Mwakyembe Oyeeeeee............! Lau kama mawaziri wote wangekuwa wanafuatilia mambo kama huyu jamaa, nchi hii ingekuwa imeendelea sana.
 
Mwakyembe Oyeeeeee............! Lau kama mawaziri wote wangekuwa wanafuatilia mambo kama huyu jamaa, nchi hii ingekuwa imeendelea sana.

kwa kupanda treni,,,mbona magufuli anayatumia mabarabara yake,,,,mbona jk alikataa kunywa maji ya kutoka nje ya nchi wakat hapa kuna akina kilimanjaro,pinda alikataa shangingi,,,je akipanda ndege mbona hamshangai wakat ni sekta yake?????hapo hajamsaidia mtu,,,kwanza anaenda bure tu
 
Hivi Mwakyembe kapona ule ugonjwa uliompeleka India? au anaishi kwa matumaini tu?.Jitihada zote hizi!!!!...
 
Jamaa ana hasira na watu fulani, Kama ana uwezo aboreshe usafiri wa tren awaharibie biashara wafanyabiashara wa mabasi ya usafirishaji
 
Nimeisikia clauds fm, anahojiwa na kina Kibonde sa hii. Kumbe alitoa taarifa kwa waandishi wa habari? Nilidhani angeenda kimyakimya!!!!!
 
jamani muache chuki kama waziri mwenye dhamana ya reli anapaswa kujaribu kuangalia hali halisi ya usafiri huo na si kuiongelea wakati hajui hata ikoje ukizingatia anatokea Mbeya! hata kama media imeitwa sioni tatizo...
 
gud muv nimemsikia akiongea redion yupo class 1but atamove hadi class3 atapiga stori na rafiki wake wa shuleni. I think viongozi wengine waige kuwa karibu na wananchi na kubwa kujuwa matatizo yao
 
Kupitia kipindi cha jahazi nimemsikia waziri mwakyembe akiongea kwa simu akiwa anatumia usafiri wa train ya kati akitoea dar kwenda mjengoni dodoma.yopo daraja la 1 ila anadai atatembea madaraja yote.
 
kwa kupanda treni,,,mbona magufuli anayatumia mabarabara yake,,,,mbona jk alikataa kunywa maji ya kutoka nje ya nchi wakat hapa kuna akina kilimanjaro,pinda alikataa shangingi,,,je akipanda ndege mbona hamshangai wakat ni sekta yake?????hapo hajamsaidia mtu,,,kwanza anaenda bure tu

Mkuu huyu jamaa namfagilia kwa kuonesha kuwa yeye si mtu wa kutoa maagizo jukwaani tu. Hao wengine ulowataja hapo ebu nambia Mh. PM alipotoa agizo la kupunguza matumizi ya serikali kwa kununua magari yenye bei nafuu alifuatilia? Na kama alifuatilia mbona mpaka leo tunayaona mashangingi hadi ma-DED wanayo! Huyo Mh.Magufuli sina cha kusema, huyo ni jembe kali...
 
waziri wa uchukuzi dk harison leo jioni amepanda tren kwenda dodoma nia kuona jinsi abiria wa tren ya kati wanavyopata tabu
 
Back
Top Bottom