Mwakyembe apanda treni kwenda Bungeni Dodoma

Mwakyembe apanda treni kwenda Bungeni Dodoma

reandle

JF-Expert Member
Joined
May 6, 2009
Posts
11,166
Reaction score
8,152
According to Clouds FM,
Dr Harrison Mwakyembe amefanya supprise visit na kusafiri kwa treni kutoka Dar kuelekea Dodoma kuhudhuria kikao cha bunge. Mud si mrefu tutafahamu alichokusudia kufanya hiyo suprise.
 
Katika kufanya surprise kwa wafanyakazi wa reli na wananchi kwa ujumla waziri wa Uchukuzi Dr. Harison Mwakyembe kaamua kupanda treni ya njia ya kati kuelekea mjengoni Dodoma leo hii.

Anasubiriwa atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake
 
Dr Mwakyembe ameamua kweli kweli, naona anafufua matumaini ya kundi lake kuelekea urais
 
Katika kufanya surprise kwa wafanyakazi wa reli na wananchi kwa ujumla waziri wa Uchukuzi Dr. Harison Mwakyembe kaamua kupanda treni ya njia ya kati kuelekea mjengoni Dodoma leo hii.

Anasubiriwa atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake

At long last!
 
Mkataba wa TRL anausemaje? Waliofuja mali za shirika je? Nilitegemea alichofanya ATCL ataendeleza huku na sio kupanda train kwa ajili ya kupiga picha na kuuza sura kwenye magazeti.
 
Katika kufanya surprise kwa wafanyakazi wa reli na wananchi kwa ujumla waziri wa Uchukuzi Dr. Harison Mwakyembe kaamua kupanda treni ya njia ya kati kuelekea mjengoni Dodoma leo hii.

Anasubiriwa atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake

Ni vizuri,, Lakini Yeye tu kupanda haisaidii ni kama Pinda kukataa VX V8 huku wakurugenzi wa wilaya wanavinjari nazo tena toleo la 2010...

Wanatakiwa kuwawajibisha wazembe na wala russhwa kama kina Chizi wako wengil.
 
Katika kufanya surprise kwa wafanyakazi wa reli na wananchi kwa ujumla waziri wa Uchukuzi Dr. Harison Mwakyembe kaamua kupanda treni ya njia ya kati kuelekea mjengoni Dodoma leo hii.

Anasubiriwa atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake
hii safi sana. Good example!
 
Back
Top Bottom