Ziara za Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba - Special thread

Ziara za Waziri Mkuu Mwigulu Nchemba - Special thread

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
11,991
Reaction score
28,277
Baada ya uteuzi wake mnamo November 13th 2025, Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba alianza rasmi majukumu ya kusimamia shughuli za Serikali na utekelezaji wa sera na mipango ya maendeleo huku akifanya ziara katika mikoa tofauti na wilaya zake huku akitumia mfumo wa kusikiliza kero za wananchi wa makundi kila kijiji
.
Mwigulu Nchemba
Nafasi ya Waziri Mkuu Tanzania ni
Mkuu wa shughuli za Serikali Bungeni
Mratibu wa shughuli za wizara
Msimamizi wa utekelezaji wa sera za Serikali
MAJUKUMU NA KAZI ALIZOFANYA
Kuratibu na Kusimamia Serikali
Ameongoza vikao kazi vya mawaziri na makatibu wakuu mara kadhaa (2026) ili kusukuma utekelezaji wa mipango ya Serikali.

Alitoa maelekezo ya kuongeza uwajibikaji na kasi ya utekelezaji wa miradi ya maendeleo.
Hii inaonyesha jukumu lake kuu la
Kusimamia utendaji wa wizara
Kuhakikisha maagizo ya Rais yanatekelezwa
Kusimamia Miradi ya Maendeleo
Katika hotuba yake Bungeni
Aliagiza wizara zote muhimu (Fedha, Ujenzi, Maji, Nishati, TAMISEMI):
Kuandaa tathmini ya miradi yote
Kutambua miradi iliyokwama
Kuharakisha utekelezaji wake unatelekezwa haraka kuendana na matarajio ya rais Samia Suluhu Hassan na serkali yote kwa ujumla
Hili ni moja ya maamuzi makubwa ya kiutendaji
Kuweka mfumo wa ufuatiliaji wa miradi kitaifa
Kusimamia Mpango na Bajeti ya Taifa
Ameshiriki moja kwa moja katika:
Mpango wa muda mrefu (2026–2050)
Mpango wa miaka 5 (2026–2031)
Bajeti ya Serikali
Maeneo ya kipaumbele yaliyosimamiwa
Uchumi shindani
Miundombinu (barabara, nishati, digitali)
Huduma za jamii
Uwekezaji na sekta binafsi

Ziara na Ukaguzi wa Miradi
Amefanya ziara mbalimbali za kikazi (mfano Arusha)
Kukagua miradi kama:
Ujenzi wa viwanja
Miradi ya maendeleo ya kijamii huku akisikiliza Kero za wananchi mmoja mmoja katika mikusanyiko ya kila wilaya.

Hii ni sehemu ya
Ufuatiliaji wa utekelezaji wa miradi ground level
Kusimamia Sekta Muhimu
Afya
Kuongeza huduma za afya
Kusimamia mpango wa bima ya afya kwa wote
Kuongeza vituo vya upasuaji mapato.

Elimu
Kuongeza uandikishaji wa wanafunzi
Kuboresha ufaulu wa kitaifa
Kilimo
Mpango wa:
Matrekta 10,000
Vituo 1,000 vya zana za kilimo

Kusimamia Bunge
Amejibu maswali ya papo kwa papo Bungeni
Ameongoza shughuli za Bunge la 13
Amehimiza ushirikiano kati ya Serikali na Bunge
MAAMUZI MUHIMU KATIKA MIKUTANO NA HADHARA
Katika mikutano ya hadhara na kisiasa/kiutendaji:
Maelekezo makubwa aliyotoa:
Kero za wananchi zitatuliwe haraka
Aliwaagiza viongozi wa chini kushughulikia matatizo bila kusubiri ziara za kitaifa

Sekta binafsi iheshimiwe
Serikali kushirikiana na wafanyabiashara
Bei za bidhaa zisipandishwe kiholela
Hasa kipindi cha ibada (Ramadhan/Kwaresma)

Ufuatiliaji wa miradi uongezwe
Wabunge washiriki kikamilifu kufuatilia miradi majimboni
Haya yanaonyesha mtindo wake:
Utawala wa kiutendaji (execution-oriented)
Msisitizo wa uwajibikaji

Kwa sasa Mh Waziri Mkuu Tanzania anafanya ziara katika mkoa wa Dodoma mkoa ambapo Kero za dhuluma hasa ardhi ya wanakijiji ikowa Kero kubwa .

WASIFU (CV) YA DKT. MWIGULU NCHEMBA
Taarifa Binafsi
Jina: Mwigulu Lameck Nchemba
Taaluma: Uchumi (Economics)
Cheo: Waziri Mkuu wa Tanzania
Elimu
PhD (Uchumi)
Shahada za juu katika uchumi na fedha
Kazi alizowahi kushika kabla:
Waziri wa Fedha
Waziri wa Mambo ya Ndani
Naibu Katibu Mkuu (CCM)
Uzoefu
Sera za uchumi
Usimamizi wa fedha za umma
Usalama wa taifa
Uongozi wa kisiasa

Ana uzoefu mkubwa wa kiuchumi
Anasisitiza utekelezaji (results-oriented)
Anasimamia mipango mikubwa ya taifa
Changamoto zinazojitokeza:
Kasi ya utekelezaji wa miradi bado ni changamoto
Ufanisi wa usimamizi wa chini
MY TAKE
Tangu ateuliwe:
Amejikita zaidi katika:
Kusimamia Serikali
Kuharakisha miradi
Kuratibu sera za maendeleo
Kwa ujumla.

inaendelea
UPDATE

Hon. Dr. Mwigulu Lameck Nchemba, Prime Minister of the United Republic of Tanzania. I was born on January 7, 1975, in Iramba District, Singida Region. I serve as the Member of Parliament for Iramba West Constituency (2010–present).

My History
A. Political Experience
2025-2030
The Prime Minister of Tanzania
- Serving as the Prime Minister of Tanzania.

2021-2025
The Ministry of Finance
- Serving as the Minister, entrusted with steering Tanzania's economic policies.

2020
The Ministry of Constitution and Legal Affairs
- Held the position of Minister, contributing to legal and constitutional matters.

2020
The Ministry of Constitution and Legal Affairs
- Held the position of Minister, contributing to legal and constitutional matters.

2020-2025
Parliament of Tanzania
- Proudly representing the people as a Member of Parliament.

2015-2018
Foreign Affairs, Security and Defense Committee
- Active participation as a committee member, focusing on critical national matters.

2016-2018
Ministry of Home Affairs
- Ministerial responsibilities overseeing home affairs for the nation.

2014-2015
Deputy Minister of Finance
- Played a crucial role as Deputy Minister of Finance, contributing to fiscal policies and economic strategies for the betterment of Tanzania.

2012-2013
Budget Committee
- Engaged as a member in crucial financial decision-making processes.

2011-2012
Chama cha Mapinduzi
- Held the position of Treasurer, contributing to the financial leadership of CCM.

2016
Ministry of Agriculture, Livestock and Fisheries
- Ministerial role overseeing agriculture and fisheries.

2012-2015
Chama cha Mapinduzi Deputy Secretary General Tanzania Mainland
- Deputy Secretary General, providing support to the leadership.

2011
Secretary of NEC Economy and Finance CCM Tanzania
- Secretary of NEC, focusing on economic and financial matters.

B. Education History
2012-2018
University of Dar es Salaam
- PhD in Economics, a testament to my commitment to academic excellence.

2004-2006
University of Dar es Salaam
- Master's in Economics, furthering my understanding of economic principles.

2001-2004
University of Dar es Salaam
- Bachelor of Economics, laying the foundation for my academic pursuits.

C. Employment History
2006-2010
Bank of Tanzania
- Economist I, gaining valuable experience in the financial sector.

Thank you for visiting my online space. I am committed to contributing to the prosperity of Tanzania and appreciate your support on this journey.

Contact Us
Phone:
+255 674 287 544
E-mail:
info@mwigulunchemba.com
Address:
Iramba Singida
Important Links
Wizara Ya Fedha
Wizara Ya Kilimo
Bunge La Tanzania
Chama Cha Mapinduzi (CCM)
Wizara ya Katiba na Sheria
Wizara ya Mambo ya ndani
Wizara ya Fedha na Mipango
Bank Of Tanzania (B.O.T)
Recently News

WAZIRI MKUU AKAGUA…
April 6, 2026

WAZIRI MKUU ASHIRIKI…
April 6, 2026
Links
Home
About Me
My News Updates
Contact
© 2025 Mwigulu Nchemba, All Rights Reserved

INAENDELEA

USSR
 
Leo Mh Waziri mkuu Dkt Mwigulu Nchemba amefanya ziara yake mkoni Dodoma ambapo ametatua kero za wananchi hawa walichukuliwa maeneo yao kwa miradi ya BBT na mabwawa .

Leo waziri mkuu ameitaka halmashauri ya jiji la Dodoma kupitia upya mkataba wa mama aliyekuwa mwekezaji wa Rose Garden kurudishiwa haki zake ,mama huyo mjane amekuwa amevutia mwamko wa jamii ya wanadodoma kutaka apewe haki zake zilizoachwa na marehemu mme wake

USSR
 
Nashukuru sana kwa andiko lako. Lakini pia Upande wa CV ya Mheshimiwa Waziri Mkuu wetu naona Umeifupisha Maana Watanzania tunajua CV yake ni Ndefu sanaa tena sana na nzito kwelikweliiiiiii. Mfano hapo hujaweka Nafasi aliyoshikilia kipindi na awamu ya Nne chini ya uongozi wa Mzee wetu Daktari Jakaya Mrisho Kikwete . Ambapo alikuwa Naibu Waziri wa Fedha.

Lakini Pia Hujaweka Pia kuwa Alikuwa Waziri wa Katiba na sheria Baada ya Kifo cha Balozi Dkt Agustino Mahiga. Lakini Pia Hujaweka Nafasi ndani ya Chama cha Mapinduzi ambapo ni Mjumbe wa Kamati Kuu.

Ndio Maana nasema kuwa CV ya Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Ni ndefu sana na yenye kuvutia sana
 
1776625074410.jpeg
 
Huu umasiha wa Mwigulu kujali watu wenye matatizo hivi inaashiria kuwa ni kiongozi bora na wa mfano

USSR
FB_IMG_1776665272062.jpg
 
#HABARI: Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan ameelekeza fedha zilizokuwa zimepangwa kugharamia maadhimisho ya Sherehe za Muungano mwaka huu, zitumike kukarabati miundombinu ya barabara iliyoharibiwa na mvua zinazoendelea kunyesha nchini.

Ameyasema hayo, leo Jumatatu, Aprili 20, 2026 Ofisini kwake Mlimwa jijini Dodoma alipokuwa akiuarifu umma kuhusu maadhimisho ya Miaka 62 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar yatakavyofanyika.

“Maadhimisho ya Sherehe za Miaka 62 ya Muungano yatafanyika katika ngazi ya Mikoa yote nchini ambapo Viongozi Wakuu wa Kitaifa watafanya shughuli za kutembelea, kuweka mawe ya msingi na kuzindua miradi ya maendeleo,” Amesema Dkt. Mwigulu.


Aidha, Dkt. Mwigulu amesema imeelekezwa kuwa Wakuu wa Mikoa watembelee, waweke Mawe ya Msingi na kuzindua miradi ya maendeleo pamoja na kushiriki shughuli za usafi wa mazingira, kupanda miti na kufanya mashindano ya michezo mbalimbali.

Shughuli nyingine zitakazoambatana na Maadhimisho haya ni Pamoja na mashindano ya michezo na sanaa mbalimbali; mashindano ya uandishi wa insha kwa shule za msingi na sekondari; mahojiano maalum na wazee maarufu; midahalo na makongamano kuhusu muungano na hatua ya maendeleo iliyofikiwa hadi sasa.

Kaulimbiu ya maadhimisho hayo ni: “MIAKA 62 YA MUUNGANO: AMANI, UMOJA NA MSHIKAMANO NI MSINGI WA MAENDELEO ENDELEVU.”

Source ITV

USSR
 
Nashukuru sana kwa andiko lako. Lakini pia Upande wa CV ya Mheshimiwa Waziri Mkuu wetu naona Umeifupisha Maana Watanzania tunajua CV yake ni Ndefu sanaa tena sana na nzito kwelikweliiiiiii. Mfano hapo hujaweka Nafasi aliyoshikilia kipindi na awamu ya Nne chini ya uongozi wa Mzee wetu Daktari Jakaya Mrisho Kikwete . Ambapo alikuwa Naibu Waziri wa Fedha.

Lakini Pia Hujaweka Pia kuwa Alikuwa Waziri wa Katiba na sheria Baada ya Kifo cha Balozi Dkt Agustino Mahiga. Lakini Pia Hujaweka Nafasi ndani ya Chama cha Mapinduzi ambapo ni Mjumbe wa Kamati Kuu.

Ndio Maana nasema kuwa CV ya Mheshimiwa Daktari Mwigulu Lameck Nchemba Ni ndefu sana na yenye kuvutia sana
Ndio nimefupisha ila nini update baadae kuanzia kuwa mbunge, naibu katibu mkuu bara na mweka hazina wa chama .shukrani comrade

USSR
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom