Dr Mwakyembe ameamua kweli kweli, naona anafufua matumaini ya kundi lake kuelekea urais
kaaazi kwelikweli,,,aendelee kujenga MAKUNDI,SIMSIKII 6 JAMAN,
Dr Mwakyembe ameamua kweli kweli, naona anafufua matumaini ya kundi lake kuelekea urais
hii safi sana. Good example!
Hii sumu aliyolishwa Mwakyembe inaelekea ni nzuri sana...inabidi na mawaziri wote wapewe dozi ili uzalendo urudi...!
Katika kufanya surprise kwa wafanyakazi wa reli na wananchi kwa ujumla waziri wa Uchukuzi Dr. Harison Mwakyembe kaamua kupanda treni ya njia ya kati kuelekea mjengoni Dodoma leo hii.
Anasubiriwa atoe dodoso la safari na malengo ya safari yake
daraja la ngapi mkuu??
kwa hiyo shangingi linabaki dar au?
urais unatafutwa kwa nguvu zote!
Hakuna tofauti na ziara za Jakaya Kwenye ofisi za wizara. Matatizo ya hizo treni yako kwenye ofisi huku makao makuu, muache atafute cheap popularity, atapoteza vyote viwili, mtoto na mbeleko.
urais unatafutwa kwa nguvu zote!
Hii sumu aliyolishwa Mwakyembe inaelekea ni nzuri sana...inabidi na mawaziri wote wapewe dozi ili uzalendo urudi...!
kwa hiyo shangingi linabaki dar au?
Kweli wanadamu hata ufanyeje huwezi kuwaridhisha. Hii haina tofauti na kumnunulia nguo mtu uliyeona anauhitaji kisha anakwambia "kwani mimi nimekwambia nahitaji hiyo nguo yako?" Jamani hebu mwacheni waziri afanyekazi yake. Mnataka afanye nini ili mridhike enyi wanadamu?
Hii sumu aliyolishwa Mwakyembe inaelekea ni nzuri sana...inabidi na mawaziri wote wapewe dozi ili uzalendo urudi...!