Mwakyembe apanda treni kwenda Bungeni Dodoma

labda ninafsi ningependa kufahamishwa kuwa ni Waziri yupi mwingine aliyewahi kupanda Treni???? kwa safari za kikazi.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

hebu nieleweshe vizuri, kwa kupanda treni ameokoa nini?!, hivi dereva na msaidizi wake nao walipanda treni?, hakuchukua mgao wa mafuta ya shangingi kwenda ddm?
 
labda ninafsi ningependa kufahamishwa kuwa ni Waziri yupi mwingine aliyewahi kupanda Treni???? kwa safari za kikazi.


MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!

mwingine ni prof kapuya
kwa hiyo mwakiembe siyo wa kwanza ila kipindi hicho media zilikuwa sio kama sasa
mwakiembe sasa hivi anacheza na media tu kwani siyo haki yake kupanda tren?
Je shangingi lake lilibaki dar?
 
Je mwkyembe alipanda tren la mizigo?
Kila mtu ana haki sawa katika nchi hii kutokana na katiba yetu.
Je tren ya abiria kila mtu akipanda aende cloud fm kusema kuwa amepanda tren?
Achane kuona wana siasa ni mungu watu
 
kwa hiyo shangingi linabaki dar au?

Akili yangu (japo ndogo) inaniambia dereva katangulia nalo(VX) Dodoma kumsubiri Mh Waziri maana akiwa anahushuria vikao vya bunge anahitaji usafiri hapo Dodoma
 
hebu nieleweshe vizuri, kwa kupanda treni ameokoa nini?!, hivi dereva na msaidizi wake nao walipanda treni?, hakuchukua mgao wa mafuta ya shangingi kwenda ddm?

mwingine ni prof kapuya
kwa hiyo mwakiembe siyo wa kwanza ila kipindi hicho media zilikuwa sio kama sasa
mwakiembe sasa hivi anacheza na media tu kwani siyo haki yake kupanda tren?
Je shangingi lake lilibaki dar?

Je mwkyembe alipanda tren la mizigo?
Kila mtu ana haki sawa katika nchi hii kutokana na katiba yetu.
Je tren ya abiria kila mtu akipanda aende cloud fm kusema kuwa amepanda tren?
Achane kuona wana siasa ni mungu watu

Ni kweli kila raia ana haki ya kutumia usafiri apendavyo. Lakini kwa kiongozi tumezoea kuona wakitumia usafiri wa ndege au magai katika safari za ndani ya nchi kikazi.

Lakini inapotokea akapanda treni hapo ndipo tunapokuwa na maswali kichwani. Lengo lake ni kujionea hali ilivyo katia usafiri wa treni na haina maana kuwa alishindwa ksafiri kwa gari.

Turudi katik mfano mwingine Marehemu Edward Sokoine siku alipopata ajali iliyochukua maisha yake, tunaambiwa kuwa alisafiri kwa gari toka Dodoma kwenda DSM, haina maana kuwa alishindwa kupanda ndege na si kwamba kulikuwa hakuna ndege ya kumsafirisha Waziri mkuu kwenda DSM, lakini kwa utashi wake mwenyewe aliamua kutumia njia ya barabara ili ajionee hali ya kilimo na mazao njiani.

Hivyo marehemu Sokoine tunapaswa kumpongeza kwa kitendo kile cha uzalendo ingawa Mungu naye alimuhitaji kama sisis tulivyokuwa tunamuhitaji.

Mwakyembe kupanda treni aliamua mbona ni viongozi wangapi wamekwenda DODOMA kwa magari, je hawakujua kama kuna treni linakwenda huko, au pia tujiulize mbon Mwakyembe hakupanda teni kabla ya kuteuliwa kuwa Waziri wa wizara hiyo???

Lakini ameamua kupanda treni ili kujionea hali ya wizara anayoiongoza. Na si kwamba aliwaita waandishi wa habari na kuwaambia nipigeni picha mkaweke katika magazeti na vyombo vya habari!!!!!!

Ni waandishi ndio waliliona lile tukio na kuweka katika vyombo vya habari.

Ndugu zangu tusiweke ushabiki na itikadi hata kwa mambo mazuri yabidi tuyapongeze ili kuongeza uwajibikaji.



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
mwingine ni prof kapuya
kwa hiyo mwakiembe siyo wa kwanza ila kipindi hicho media zilikuwa sio kama sasa
mwakiembe sasa hivi anacheza na media tu kwani siyo haki yake kupanda tren?
Je shangingi lake lilibaki dar?

Je prof. Kapuya alipanda treni kutoka wapi na kwenda wapi???

Tukumbushane tafadhari!!!!

Isiwe ni tukio la siku ile alipokuwa anazindua treni hewa toka Ubungo hadi stesheni???



MIZAMBWA
NABII MTARAJIWA!!!
 
Nadhani ni wewe mwenye kukurupuka na hauko analytical enough kwa kutetea mambo ya ajabu, unapofikiria kitu hebu jaribu kuangalia na upande mwingine wa shilingi.

Kuna mtu katoa observation moja ndogo but very logical, kuwa je waziri wa nishati akalale ktk nyumba isiyo na umeme ndo ajue matatizo ya mgawo wa umeme? Na waziri wa afya je afanyeje kujua matatizo ya wagonjwa?

Kama unakuja na hoja ya kutembea usiku na hoja ya ndege wawili jiwe moja, that is a childish argument, je miradi inakaguliwa usiku kama madai ya kusafiri usiku? Unaweza ona nini usiku katika njia ya treni na ukizingatia sehemu kubwa ni pori?

Ili ndg yangu uwe effective ktk utawala try to specialize by doing one thing at a time, vinginevyo utakujapata stress ya kuwa na pending issues mana utakuwa na issues nyingi but all unfinished.

Do you know the pressure ya Budget kwa mawaziri kipindi hiki hadi apate mda wa kukagua mradi. Cheza na bunge hili wewe, nadhani wewe bado dogo ki umri kuweza jua mambo. But I believe one day u gonna know what exactly I mean.

Kama Mwakyembe angetaka kujua matatizo ya watanzania, kwa nini kipindi anaumwa alienda India Apolo hosp na si Mwananyamala? Ili aje atueleze matatizo ya tiba ya watanzania?
Hujui unachohitaji na unachotaka... stori ndefu isiyo na maana yoyote!
 
Back
Top Bottom