kwisha kazi
JF-Expert Member
- Oct 4, 2016
- 690
- 321
Umesahau jambo moja tu kuhusu CCM kwamba ndicho chama tawala ktk nchi hii ya Tanzania hadi uchaguzi ujao.Hiyo ndiyo kawaida yenu anayesema ukweli ni mnywa viroba,lkn ukweli mnaujua kuwa ccm sasa imebakia lumumba tu