Mwaka mmoja CCM kwisha

Mwaka mmoja CCM kwisha

Kumbukeni laana ya mwalimu,'hatuwezi kukabidhi nchi kwa ma mbwa'
Mkuu ebu funguka tukuelewe vizuri,mambwa ni wapi wale watanzania walio piga kura 6m kuuchagua upinzani?
 
Ulishiba pilau la sikukuu kwa jirani na ukalala usingizi ndio ukaota ndoto baada ya hapo unatuletea uharo hapa.
Umeishiwa hoja badala ya kujenga hoja kutetea hoja yako naona unaweweseka
 
Wana jamvi heri ya X-MASS,huku tukiwa tunasherehekea mwaka mmoja wa serikali mpya madarakani hali ya ccm inazidi kudhoofu na huku ikikizidi kupoteza mvuto na wafuasi wengi na upinzani ukizidi kujiimarisha kisayansi zaidi.nawashauri wana ccm wana endelea kuugulia maumivu tumboni wahamie upinzani tu kwani kuhama chama hutakiwi kumuaga mjumbe wa nyumba kumi wala haubebi masanduku
Ila tambua kuwa wapiga kula c wana ccm pekeyake.

Weka uchama pembeni, kiongozi wa sasa ni sahihi kwa wa TZ-kama na ww ulikuwa mpigaji dili pole sana.
Kwa cc watu wa chini-hakuna madhara yoyote yale.
Kutoa magufuli kwa sasa unahisi nani anafaa kuongoza hii nchi??

"Poor politics."
CCM KWISHA , CHADEMA OUT AND KUOZAAAA
 
Utakufa ukingojea l.o.f.a!
FB_IMG_1468517506674.jpg
 
Ila tambua kuwa wapiga kula c wana ccm pekeyake.

Weka uchama pembeni, kiongozi wa sasa ni sahihi kwa wa TZ-kama na ww ulikuwa mpigaji dili pole sana.
Kwa cc watu wa chini-hakuna madhara yoyote yale.
Kutoa magufuli kwa sasa unahisi nani anafaa kuongoza hii nchi??

"Poor politics."
Naona bado umevikwa kitambaa cha kaniki
 
wanataka kukimbia na hawana break? what do they expect kama sio kupigwa kipigo kitakatifu 2020! we will be singing the new victory song called complty independence hureeeeee TANZANIA hureeee CHADEMA hureeeee LOWASA
 
Mleta mada kila unapoanzaga kupata nafuu ya dozi ya HAPA KAZI TU huwa unaingia uvunguni na kushushia viroba vingine, hili ndo tatizo lako ma nyuzi zako zinareflect hicho.
 
Back
Top Bottom