Anarudia kosa lile lile bora ampe hata pesa ila sio moyo[emoji28] [emoji28]
Kampa wote...mazima!!!
Sio ulozi ndio yalivyo haya kwenye kikao nadhani ulikuwa backbenjaAcheni ulozi.
Hizi ndo komenti sasa bwana akubariki mtumishi.Mkuu, Mie nakuombea ya kua huyu uliyempata asije akautoboa moyo wako (paragraph # 3) na asipelekee mfuko wako kutoboka (paragraph #4)
Heri, Baraka na mafanikio kwa mwaka 2022 🏃♀️🏃♀️
Mtu akiamua anaacha usiaafedheheshe walioacha ndugu utawafanya warudi!.Mkuu punyeto haliachiki hadi uoe! Mimi nilianza safari ya kupiga punyeto tangu nina 13yrs nilipofikisha 19years nikaamua kuacha lakini ikashindikana hadi nilipooa around 27years of age ndo nimeacha, im now 46
Hapa ndipo alipoharibu plan zakeMkuu, Mie nakuombea ya kua huyu uliyempata asije akautoboa moyo wako (paragraph # 3) na asipelekee mfuko wako kutoboka (paragraph #4)
Heri, Baraka na mafanikio kwa mwaka 2022 [emoji2088][emoji2088]
IMEISHA HIYOOSitaki tena vurugu za mapenzi.
Ntajihamasisha kuangalia vitu vyengine zaidi, mapenzi nitawaachia magwiji.
Sitaki tena kuutoboa moyo wangu kwaajili ya mapenzi,fujo nilizozipata mwaka huu 2021 zimeninyonga vya kutosha!.
Sitaki mfuko wangu utoboke toboke nataka niuimarishe semeni "na iwe",nimeshachoka huu uchumi unaonichumu!.
Nitazingatia misingi ya afya kuanzia chakula,vinywaji na mazoezi.
Nitahakikisha naimarisha misingi ya utu wangu kiakili,kimwili na kihisia(ila hapa kwenye hisia za nyege bado sijapata muafaka,kuna vurugu ndani yangu tuombeane).
Nimeamua kumpenda Dada mmoja tu ambae nimeshamkabidhi moyo wangu na amani ya bwana imeshaamua ndani yetu!.
Shukurani zangu kwa wanajamiiforum wote,sibagui kwa wenye kunitakia heri au shari nachojua 2022 bwana atatenda yaliyo mema juu yangu.
2021 mwendo umeumaliza Ahsante sana kwa kunikunja moyo vilivyo,nimejifunza mengi.
VIPO MUNGU AKIJAALIA NAANZA UTEKELEZAJI JANUARY 2022Mkuu we huna vya 2022..??
noma sana, keep it private until it is permanentNyie mnaoficha ndio mnamambo magumu si mchezo! Sisi vimbelembele wacha tutangazie umma.
Ushindwe na navunja nguvu zote za kagshsjsv nami. Baba uwa.
Wewe ni wakukutia adabu tu halafu yale madude mbona hukuweka..?