Bora jua.Kati ya jua 🌞 na mvua 🌧, bora nini...!!!!
Tunaomba ushahidi wa picha tafadhaliMdau kapaki gari chini ya mti mkubwa, kabla hajawahi kulisogeza, mti puu juu ya ndinga
Tunachkua tahadhari kabla ya hatari ndugu mteja. Maeneo ya makaz miundombinu huwa inaweza kuwa na shidaJumamosi hii wanaoenda kazini wanalaani hatari, ila ambao hawaendi kazini ni kulala hadi njaa iume kisawasawa ndo waamke kupika.
Hongereni kwa hali ya hewa nzuri, pole kwa wanaoishi maeneo ya chini ya usawa wa bahari maana mafuriko hayatawaacha salama.
Huwa sielewi kwanini Tanesco hawapatani na mvua, ikinyesha tuu umeme usipokatika basi hilo eneo limebahatika.
Poleni kwa yote, ndo maisha.
kalazwa ibrahim haji jana usiku nimepigiwa hali yake imebadilika anapumulia gasUshapita mitaa ya watu unarudi lindoni mkuu
Usitupangiewenye magari yenu na usafiri wenu tunaomba mtembee kwa ustaraabu ole wenu mturushie maji au tope
Radi zenu watu wa dar. Njoo katavi huku uelewe shoo. Asubuh Asubuh tetemeko na ikinyesha unahiz kufa kufa maana inabomoa radi kama hasira.kwa maeneo yote yenye madini vitu vya kawaidaSijawahi kuogopa radi za Dar mpaka nilipofika mkoa fedenge ilipiga nikajikuta uvunguni aroo nilijua bati limetoka lote. Ile ilikua sio radi bwana vigagula wanatoa na dedication humohumo wanaongezea mlio
Zanzibar inakung'uta balaa hadi ndege zinashindwa kutuaImetoka huku ina kuja huko, jiandaeni!
Nilipanga niende ila ilivyoanza tu nimeghairi na sidhani kama kuna waliohudhuria leo.Kwa mvua hii wale wakatoliki wenzangu jumuiya iahirishwe, mtasali jumamosi ijayo inshallah kwa ambaye tulikuwa tusalo leo
Ila selikali ya Samia ni kichekesho sana aisee!Tokea saa 10 sijalala, radi kama zote
Bora mvua inyeshe tuchote maji ya mvua sababu Dawasco ni wiki ya 2 sasa wamegoma kufungua maji huku kwetu.
Hapo itabidi sasa uanze kununua petrol station ndio lifuate gari.Gari mimi nitoe wapi. Ila kabla ya kununua gari nihame huku uchochoroni nikapange sehemu nzuri. Huku hata nikiwa na gari haifiki ninapokaa inabidi niipack petrol station kulee ndio nitembee kama dkk 10 niingie nyumbani😂
Tukutane kule kwenye michakato ya kimasihara baada ya muda au siyo?😀Uje unitembelee my Friend hata kesho basi. Pengine unaweza guswa kwa chochote.
Hivi Pendaelli unaishi wapi? Sijui kwanini huwa napata hisia kama nakujua nje ya hapa
Bomang'ombeHuku jana ktk mji mdogo Jimbo la Mh Mbowe la zamani, kulipiga mvua jioni ya barafu na upepo mkali!! Miti imevunjika sana;
Watu walianza kutubu mbona
Mkuu una uoga mpaka uoga wenyewe unaogopa kukusogelea😀Mimi ni muoga wa radi kuliko kitu chochote ilikua radi zikianza usingizi unakata mazima ntatoa macho mpaka ziishe. Sasa nikanunua ear plugs ambazo kukiwa na radi nazipachika masikioni zinakata sauti sisikii chochote! Balaa lake ni kwamba unalala usingizi kama mfu yaani husikii chochote hata nyumba ikiungua we lazima utafia humo 🙁
Mvua ipi,Nachukia ngurumo za radi mimi zinafanya nashindwa ku enjoy mvua