Mvua kubwa Dar usiku huu kuamkia 20 Jan 2024. Je maeneo yenu kuna maafa?

Msanii

Platinum Member
Jul 4, 2007
22,606
29,755
Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.

Soon kunakucha.

Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .

Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.

Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.

============

f4714ae7-9162-44b7-9b38-310557ae46c6.jpeg

a177f9f9-ada8-440b-9e47-113eb4a00bd6.jpeg

1e50ee38-496f-4071-a912-de012b9f69d6.jpeg
 
Wananzengo,
usiku saa 9 nimejikuta navamiwa na wanangu chumbani, wanaogopa radi kabambe zinazopiga sambaba na mvua hii kubwa yenye upepo wa kuhamisha milima.

Soon kunakucha.

Tujuzane endapo kuna maafa maeneo yenu. Lengo ni kupashana taarifa. Tupia picha .

Nawalinda wanangu hapa wasipigwe na ngurumo ya radi.😀😀😀..... yaani kha! Wanaogopa sana lile libombastic sound baada ya radi kumulika.

Tanesco aibu sana kwa haya mnayotufanyia.

Jumamosi hii wanaoenda kazini wanalaani hatari, ila ambao hawaendi kazini ni kulala hadi njaa iume kisawasawa ndo waamke kupika.

Hongereni kwa hali ya hewa nzuri, pole kwa wanaoishi maeneo ya chini ya usawa wa bahari maana mafuriko hayatawaacha salama.

Huwa sielewi kwanini Tanesco hawapatani na mvua, ikinyesha tuu umeme usipokatika basi hilo eneo limebahatika.

Poleni kwa yote, ndo maisha.
 
Msanii kwenye ubora wake!
mvua tushaizoea mkuu kawaida sana, hao watoto wako wanaoogopa hizi radi Mtoto za Dar? wapeleke Tabora, Kigoma, Rukwa huko wapambane na Baba zao Radi inachapa mpaka unadham ni Bomu la Nyuklia.
Mikoani Radi zinapiga za nguvu sana kupita huko mjini.
Naiogopa sana Radi maana kukuondoa ni dk.0 tu
Huko zinawasaidia EarthWire nadhani.
Huku vijijini ni chache sana
 
Back
Top Bottom