Nchimbi chupi inamvuka imefika magotini,mlianzisha mwongozo wa spika mmechemka,mkaanzisha kanuni na taarifa kwa spika mkizani mtawadhibti cdm badala yake mmeshindwa mmebaki kufikiria kutunga miswada ya kijinga hivi ni PhD ya lumumba?Mkifuta maandamano TUTATEMBEA,mkifuta kutembea tutakimbia,mkifuta kukimbia tutatambaa mbunge mmoja wa cdm ni sawa na wabunge 30 wa magamba.