Paul Mchumi
JF-Expert Member
- Sep 26, 2013
- 1,040
- 1,273
Hizi ni mentality za wachaga wasioenda shule, lakini kwa muelewa na kama ana exposure hana haja ya kuishi ki zama za mawe namna unavyowaza mkuu...Hiyo ni tofauti sana siku hizi. Hata Mzee marehemu Reginald Mengi anaitambua power na utendaji wa Regina. Usipime.