Usiishi kimazoea mzee....kampuni zinazokufa ni hizo za kiswahili Swahili sio kampuni zinazoendeshwa na watu smart....Mengi ni muasisi wa IPP Group of companies,ambayo ndani kuna makampuni mengi with separate MDs,na mafanikio yake yanatokana na mambo mengi,unaajiri watu talented ambao wanakuletea hayo mafanikio,wewe unakua mtu wa ku watch watch pembeni,kuna baadhi ya decision hata mzee Mengi huenda alikua hafanyi,...wewe unaweza kuwa unafanya kazi kiwanda cha Bonite(kile cha coca cola) cha mzee Mengi na ukafukuzwa kazi wala mzee Mengi hajui japo ni mmiliki,so hizo ni kampuni sio sawa na duka lako la Mangi mtaani ukienda kwenye msiba Tanga nalo linafungwa,ndio maana jamaa kakwambia, company ina separate legal existence from the owner, kampuni inabidi iendelee kuishi forever irrespective of death, insanity,or insolvency of the owner n.k.....watanzania tusiishie kusoma umbeya Instagram sometime jipe muda wa kusoma na kujifunza vitu ambavyo huvijui,basi tujitahidi hata kwenye subscription zetu you tube tu follow hata online courses tutorials za vitu vya maana,sio kila muda upo tu na Diamond na Zari au Wema, let's change,...ndio maana tunabisha hata fact....R.I.P Mzee Mengi