Hivi unafikiri Mengi ni mjinga kwamba hakutengeneza Channel ya Makampuni yake kusimama imara hata kama siku yeye kafariki?Nashauri IPP Media iendelee kuwa chini ya usimamizi wa Joyce Mhaville naamini amekuwa akiipatia na ataipatia.
Kwa upande wa kusimamia empire ya IPP group of companies nadhani mwanae wa kike Regina anaweza kusimamia hii empire.
IPP Companies ni kampuni ya kizawa ambayo imewanufaisha sana watanzania...hatutamani kusikia inadorora baada ya Mzee wetu kutangulia.
Yaaan acha tu, wengine wanaleta tetesi kwamba jacky kamsukumia mbele za haki
Hatujui Mengi alikuwa anamiliki share ngapi hatujui hatujui warithi wa share zake ni kina nani?Kwani shareholders wa IPP ni akina nani?
Hatujui Mengi alikuwa anamiliki share ngapi hatujui hatujui warithi wa share zake ni kina nani?Kwani shareholders wa IPP ni akina nani?
hakuna mchaga anaeacha mali kwa mtoto wa kike. mtoto wa kike anaolewa na mpaka jina la ukoo anabadilisha na kutumia la mumewe, kwa hiyo automatical mali zinakuwa chini ya mume wake
Nitajie kampuni iliyoanzishwa na mswahili (awe mchaga au kabila lolote jingine ngozi nyeusi) mwenyewe akatwaliwa na imebaki ina-operate at least kwa kiwango alichokiacha mwanzilishi wake.
Umeuliza kitaalamu sana. Watu wengi wanachanganya proprietorships , partnership na corportion wakati hizi vitu ni tofauti.Nakuuliza mkuu hapa nchini kuna kampuni gani kubwa inayolingana na IPP ambayo inamilikwa na mswahili na bosi wake akafariki?
Anza kwa kutaja kampuni ambazo zilikuwa zinajiendesha(corporate) alafu zikafa au kupungua ufanisi baada ya mmiliki kufa kabla ya kuuliza hilo swali lako. Labda tu nikwambie unachopaswa kujua ni kwamba IPP ndo kampuni ya kwanza kuwapo ambayo mmliki wake amefariki na kuiacha chini ya kizazi kingine baada yake. Hatuna mifano mingine kwa sababu miaka ya 85 kurudi nyuma hakuna mtu aliruhusiwa kumiliki biashara kubwa isipokuwa serikali.
Mengi ni mtu smart, alishatengeneza mfumo wa kutenga umiliki na utendaji wa kampuni.
Tatizo waswahili wengi tunachanganya ulimiki na utendaji na pia tunaweka kujuana kwenye utendaji kuliko weledi. Hapo lazima kampuni ife
Kama ni ya waswahili sawa hongera zao
Nakutajia zifuatazo; Scandinavia Express; Bobby Soap Industries, Ladwa, niendelee? Sasa wewe nitajie moja tu ambayo bado inafanya kazi baada ya muasisi wake kufariki. Unaemsema hata akiwa hai kuna kampuni zake nyingi tu zinapumlia mashine!
Unapaswa kujua hizo biashara zilikuwa katika level zipi. Je zilikuwa corporation? Maana kampuni ambayo ni corporation inaendelea kuishi hata mmiliki akifa tafauti na proprietorship au partnershipNakutajia zifuatazo; Scandinavia Express; Bobby Soap Industries, Ladwa, niendelee? Sasa wewe nitajie moja tu ambayo bado inafanya kazi baada ya muasisi wake kufariki. Unaemsema hata akiwa hai kuna kampuni zake nyingi tu zinapumlia mashine!
Nitajie kampuni iliyoanzishwa na mswahili (awe mchaga au kabila lolote jingine ngozi nyeusi) mwenyewe akatwaliwa na imebaki ina-operate at least kwa kiwango alichokiacha mwanzilishi wake.
Biashara zimeanza Tanzania baada ya Nyerere whaaaaat?Tanzania biashara zimeanza kufanywa baada ya raisi Nyerere kuachia madaraka. Kabla ya hapo tulikuwa chini ya ujamaa. Sasa miaka 100 inatimiaje kweli?
Biashara zimeanza Tanzania baada ya Nyerere whaaaaat?
Sisi tuna biasahara tangu mwaka 1952 na mpaka leo wajukuu wanaiendeleza na biashara zilikuwepo miaka na miaka
Sasa hizi biashara unazisema sijui ni za madawa ya kulevya?
Kampuni za Ngorika (Bus na hotel) bado zipo baada ya mwenyewe kufa...
Sio kweli mkuu mimi nina ushuhuda hata kabla ya Uhuru biashara zilikuwepo ingawa wazawa walikuwa wachache sana na suppliers wakubwa kwenye kambi za majeshi na hospitals walikuwa foreigners wengi wakiwa na passports za UingerezaNinachojua under socialism during the reign of Nyerere, only the government was doing mojority of the business. Huo ndo ujamaa. Na hata maduka ya mangi yalikuwa ya serikali by that time
Mwezi uliopita, watoto wake wana mabasi yao na ile kampuni mama ipo.. Hotel ya Kindoroko pia bado iko poa tuuMara ya mwisho umeziona barabarani basi za Ngorika lini? Watoto walishagawana assets kitambo!
Kabla ya uhuru biashara zilikuwepo ila siyo kipindi cha ujamaa.Sio kweli mkuu mimi nina ushuhuda hata kabla ya Uhuru biashara zilikuwepo ingawa wazawa walikuwa wachache sana na suppliers wakubwa kwenye kambi za majeshi na hospitals walikuwa foreigners wengi wakiwa na passports za Uingereza