Mustakabali wa IPP Media baada ya Reginald Mengi kutuaga

Mustakabali wa IPP Media baada ya Reginald Mengi kutuaga

Tatizo ni ndugu mkubwa wataingilia kwenye masilahi kumbuka wale ni wachaga mzee hata mbundu zitatumika
Nashauri IPP Media iendelee kuwa chini ya usimamizi wa Joyce Mhaville naamini amekuwa akiipatia na ataipatia...kwa upande wa kusimamia empire ya IPP group of companies nadhani mwanae wa kike Regina anaweza kusimamia hii empire...IPP Companies ni kampuni ya kizawa ambayo imewanufaisha sana watanzania...hatutamani kusikia inadorora baada ya Mzee wetu kutangulia.
 
Huyu ni mastermind wa misiba yote..hata kama hajui atalia pale mpaka mumpe kitengo msibani
Huu msiba ni mzito sana. Kwanza kwenye kikao cha kina Lowasa. Msuya. Otuoh. Shirima ataingiaje.
Kamati zitashikwa na vigogo wa kisiasa na matajiri tu. Hawatapenda kusikia harufu ya jasho au soksi.
Msiba rais anatoa neno wafikiri mchezo???
 
Mwenyekiti wa rambi rambi ndio anaingia msibaniView attachment 1086198View attachment 1086199
Masanja katolewa povu [emoji23]
Screenshot_20190502-143716.jpeg
 
Ukikomaa na huo mtazamo utazaa watoto wa kike tena warembo na utakuwa na mali nyingi. Ukizeeka rudi utwambie umerithishaje.
hakuna mchaga anaeacha mali kwa mtoto wa kike. mtoto wa kike anaolewa na mpaka jina la ukoo anabadilisha na kutumia la mumewe, kwa hiyo automatical mali zinakuwa chini ya mume wake
 
Nashauri IPP Media iendelee kuwa chini ya usimamizi wa Joyce Mhaville naamini amekuwa akiipatia na ataipatia...kwa upande wa kusimamia empire ya IPP group of companies nadhani mwanae wa kike Regina anaweza kusimamia hii empire...IPP Companies ni kampuni ya kizawa ambayo imewanufaisha sana watanzania...hatutamani kusikia inadorora baada ya Mzee wetu kutangulia.
Wapiga ramli mshaanza yenu
 
Namfikiria Jackline, nyinyi na pesa zenu. Lakini kimbembe ni kwa huyu mrembo, mrithi sijui ni .....$%&8
 
Saivi Jack ni mjane ,yupo sokoni mwanaume yoyote ukifanikiwa kumuwini unarithi mali za Mengi kirahis rahisi kabisa .




Hayo ni mawazo ya baadhi ya wanaume .Tukumbuke andiko hili .

1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Ayubu 14:1

2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Ayubu 14:2


Ruwa oryu mtonga nakusarye naiwekye ngoo na mrima opfo Papa handu echa .Ulerunda ukarunda shindo shichaa na shifoi iha uyanenyi .Wana wapfo, mbuya yapfo yotse , warundi wafpo wotse , Watanzania wotse na wauyana u wotse lui njia imwi . Tutakukumbuka daima. Apumzike kwa amani alikuwa ni Mangyi kweli kweli na si mchili wala mleu.


Mimi mtoto wa Mangi kyimelyue ,Ndepaiso Lemule.
 
Ile ni kampuni babu....kuna kitu kinaitwa perpetual succession.....hakuna wasi wasi hapo...kampuni inasimamiwa na ma director....mwenye share nyingi ndio muamuzi wa mwisho

Nitajie kampuni iliyoanzishwa na mswahili (awe mchaga au kabila lolote jingine ngozi nyeusi) mwenyewe akatwaliwa na imebaki ina-operate at least kwa kiwango alichokiacha mwanzilishi wake.
 
Nitajie kampuni iliyoanzishwa na mswahili (awe mchaga au kabila lolote jingine ngozi nyeusi) mwenyewe akatwaliwa na imebaki ina-operate at least kwa kiwango alichokiacha mwanzilishi wake.
Usiishi kimazoea mzee....kampuni zinazokufa ni hizo za kiswahili Swahili sio kampuni zinazoendeshwa na watu smart....Mengi ni muasisi wa IPP Group of companies,ambayo ndani kuna makampuni mengi with separate MDs,na mafanikio yake yanatokana na mambo mengi,unaajiri watu talented ambao wanakuletea hayo mafanikio,wewe unakua mtu wa ku watch watch pembeni,kuna baadhi ya decision hata mzee Mengi huenda alikua hafanyi,...wewe unaweza kuwa unafanya kazi kiwanda cha Bonite(kile cha coca cola) cha mzee Mengi na ukafukuzwa kazi wala mzee Mengi hajui japo ni mmiliki,so hizo ni kampuni sio sawa na duka lako la Mangi mtaani ukienda kwenye msiba Tanga nalo linafungwa,ndio maana jamaa kakwambia, company ina separate legal existence from the owner, kampuni inabidi iendelee kuishi forever irrespective of death, insanity,or insolvency of the owner n.k.....watanzania tusiishie kusoma umbeya Instagram sometime jipe muda wa kusoma na kujifunza vitu ambavyo huvijui,basi tujitahidi hata kwenye subscription zetu you tube tu follow hata online courses tutorials za vitu vya maana,sio kila muda upo tu na Diamond na Zari au Wema, let's change,...ndio maana tunabisha hata fact....R.I.P Mzee Mengi
 
Back
Top Bottom