Mustakabali wa IPP Media baada ya Reginald Mengi kutuaga

Mustakabali wa IPP Media baada ya Reginald Mengi kutuaga

Mangi/Mchaga hajawahi kua fala kwenye mali zake na ndio maana akawa tajiri.

Succession plan iko.
 
Nitajie kampuni iliyoanzishwa na mswahili (awe mchaga au kabila lolote jingine ngozi nyeusi) mwenyewe akatwaliwa na imebaki ina-operate at least kwa kiwango alichokiacha mwanzilishi wake.
1. National fidelity ya Nderingo
2. Simba mtoto bus service ya Tanga
 
Yooote hayo uliyoyaandika hayajajibu swali langu. Jibu swali hili:

Ni kampuni gani iliyoanzishwa na mswahili ambayo hadi leo inaendeshwa na warithi wake na ambayo leo hii inaendeshwa kwa angalau kiwango kilichokuwa wakati mwanzilishi anatwaliwa toka hapa duniani?
D&I company ya mzee Rwekaza,Mazengo company ya kina Daudi Semiono, Mohamed Enterprises ya Kina Mohamedi Dewji baada ya baba yake kujiondoa kwenye utendaji si ipo au nayo imekufa?,mifano michache,...chief acha kukariri,jifunze soma,elimika,hatuongei bila fact,...tunajua na tupo kwenye hayo mambo for more than 8 years now,...sio kila kitu tuweke comment!,tofautisha compuni na mradi wa maparachichi yanayozungushwa kwenye ungo!
 
Yooote hayo uliyoyaandika hayajajibu swali langu. Jibu swali hili:

Ni kampuni gani iliyoanzishwa na mswahili ambayo hadi leo inaendeshwa na warithi wake na ambayo leo hii inaendeshwa kwa angalau kiwango kilichokuwa wakati mwanzilishi anatwaliwa toka hapa duniani?
hivi clouds hii ya kina kusaga si naskia kama waliachiwa na baba yao?
 
D&I company ya mzee Rwekaza,Mazengo company ya kina Daudi Semiono, Mohamed Enterprises ya Kina Mohamedi Dewji baada ya baba yake kufa si ipo au nayo imekufa?,mifano michache,...chief acha kukariri,jifunze soma,elimika,hatuongei bila fact,...tunajua na tupo kwenye hayo mambo for more than 8 years now,...sio kila kitu tuweke comment!,tofautisha compuni na mradi wa maparachichi yanayozungushwa kwenye ungo!
Baba yake mohamed dewji yupo hai na ndie mwenyekiti wa bodi, mo ni mkurugenzi mtendaji tu .
Acha kudanganya watu
 
Hizi ni tabia za kiswahili swahili tena kwa mfuga mbwa huko, kujadili mirathi hata marehemu hajazikwa! Poor You all!
Huu ujinga ndiyo unao fanya makampuni wanayo miliki waafrica mwenye kampuni akifariki dunia na kampuni inakufa.... Watu wamesha anza kugawanya mali humu jf....
 
Yooote hayo uliyoyaandika hayajajibu swali langu. Jibu swali hili:

Ni kampuni gani iliyoanzishwa na mswahili ambayo hadi leo inaendeshwa na warithi wake na ambayo leo hii inaendeshwa kwa angalau kiwango kilichokuwa wakati mwanzilishi anatwaliwa toka hapa duniani?
Nasubiri pia
Maana niliuliza ila hakuna jibu zaidi ya kuambulia LIKES
 
hakuna mchaga anaeacha mali kwa mtoto wa kike. mtoto wa kike anaolewa na mpaka jina la ukoo anabadilisha na kutumia la mumewe, kwa hiyo automatical mali zinakuwa chini ya mume wake
Hiyo ni tofauti sana siku hizi. Hata Mzee marehemu Reginald Mengi anaitambua power na utendaji wa Regina. Usipime.
 
Haya jedwali hilo la kuonyesha mpangilio wa uongozi Ipp..View attachment 1086396
Safi sana. Waliokuwa wanasema MARA Regina MARA vile. Mnamuona? Huyu ni kifaa kingine. Halafu OPP inaendeshwa kitaalam hivyo kama Mwenyekiti hayuoo haimaanishi itakufa. Pia kwa taarifa ni kwamba marehemu Mengi kwa zaidi ya miaka 2 hajafanya kazi hata ofisini alikuwa haendi kule Hydery Plaza. Je kampuni tanzu ilitetereka? Hapana. Huyu alijipanga na kampuni tanzu yake hii itakuwa the living one.
 
Wabongo kwa kupigia hesabu mali za watu sasa
 
Yooote hayo uliyoyaandika hayajajibu swali langu. Jibu swali hili:

Ni kampuni gani iliyoanzishwa na mswahili ambayo hadi leo inaendeshwa na warithi wake na ambayo leo hii inaendeshwa kwa angalau kiwango kilichokuwa wakati mwanzilishi anatwaliwa toka hapa duniani?
Nakuuliza mkuu hapa nchini kuna kampuni gani kubwa inayolingana na IPP ambayo inamilikwa na mswahili na bosi wake akafariki?
 
Back
Top Bottom