Kapwil
JF-Expert Member
- Apr 3, 2018
- 2,618
- 3,744
Ndio mkuu kwa hiyo tusubiri CEO aliyepo atakavyoiongoza mm Nina imani kampuni hii IPP itaendelea kuwepoSawa na kulinganisha TIA na UDOM maana TIA kwa Udom sawa na robo ya college moja ya udom haifikii | IPP ndio kampuni ya kwanza kubwa mmiliki kufa Tz hakuna nyengine kwenye historia.