Sigonella Island
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 13,470
- 40,829
KajiziMwenyekiti wa rambi rambi ndio anaingia msibaniView attachment 1086198View attachment 1086199
KajiziMwenyekiti wa rambi rambi ndio anaingia msibaniView attachment 1086198View attachment 1086199
Ma MTU kama haya nyinyi mnawaza mtapata wapi jeneza lenyewe linakuja msibani na bajeti ya msosiMnajadili Mirathi wakati hatujazika
Jikaze mwananguMwenyekiti wa rambi rambi ndio anaingia msibaniView attachment 1086198View attachment 1086199
😂😂😂😂Mwenyekiti wa rambi rambi ndio anaingia msibaniView attachment 1086198View attachment 1086199
Usiishi kimazoea mzee....kampuni zinazokufa ni hizo za kiswahili Swahili sio kampuni zinazoendeshwa na watu smart....Mengi ni muasisi wa IPP Group of companies,ambayo ndani kuna makampuni mengi with separate MDs,na mafanikio yake yanatokana na mambo mengi,unaajiri watu talented ambao wanakuletea hayo mafanikio,wewe unakua mtu wa ku watch watch pembeni,kuna baadhi ya decision hata mzee Mengi huenda alikua hafanyi,...wewe unaweza kuwa unafanya kazi kiwanda cha Bonite(kile cha coca cola) cha mzee Mengi na ukafukuzwa kazi wala mzee Mengi hajui japo ni mmiliki,so hizo ni kampuni sio sawa na duka lako la Mangi mtaani ukienda kwenye msiba Tanga nalo linafungwa,ndio maana jamaa kakwambia, company ina separate legal existence from the owner, kampuni inabidi iendelee kuishi forever irrespective of death, insanity, insolvency of the owner,...watanzania tusiishie kusoma umbeya Instagram sometime jipe muda wa kusoma na kujifunza vitu ambavyo huvijui,basi tujitahidi hata kwenye subscription zetu you tube tu follow hata online courses tutorials za vitu vya maana,sio kila muda upo tu na Diamond na Zari au Wema, let's change,...ndio maana tunabisha hata fact....R.I.P Mzee Mengi
Mali zote ni za mke wake, hahah, yeye ndiye ataamua.Nashauri IPP Media iendelee kuwa chini ya usimamizi wa Joyce Mhaville naamini amekuwa akiipatia na ataipatia.
Kwa upande wa kusimamia empire ya IPP group of companies nadhani mwanae wa kike Regina anaweza kusimamia hii empire.
IPP Companies ni kampuni ya kizawa ambayo imewanufaisha sana watanzania...hatutamani kusikia inadorora baada ya Mzee wetu kutangulia.
EDA ndio nini?Wanaume tumekubaliana katika kikao cha asubuhi Jacky aachwe amalize EDA mambo mengine yatafuata.
Yaaan acha tu, wengine wanaleta tetesi kwamba jacky kamsukumia mbele za hakiMnajadili Mirathi wakati hatujazika
Inatia wasiwasi, kufanya mainterview kuonyesha upendo ghafla tu?Inategemea na corporate governance ilivyo IPP. Mfano ni nani mwenye umiliki mkubwa wa hayo makampuni na je mzee alimuandika nani mrithi wa hayo makampuni? Je zile love davyy za bibie zilimaanisha kilikuwa kipindi cha kuandika wosia/urithi? Hili ni suala gumu kulizungumzia kwa sasa
Mtoto wake wa kiume alifariki long time, aliitwa Rodney Mutie MengiNdio umuhimu wa mtoto wa kiume unaonekana hapa
Sasa acha uboya wewe, hao wote wakijamba ushuzi wao hunukia kama pafyumu?, ije kuwashinda harufu ya jasho la Steve? Acheni hizo bhana..Huu msiba ni mzito sana. Kwanza kwenye kikao cha kina Lowasa. Msuya. Otuoh. Shirima ataingiaje.
Kamati zitashikwa na vigogo wa kisiasa na matajiri tu. Hawatapenda kusikia harufu ya jasho au soksi.
Msiba rais anatoa neno wafikiri mchezo???
Jibu simple and clearKwa sababu Walikuja wakazikuta. Zilipatikana kabla ya wao kuwepo.
Pole sana broView attachment 1086206
😂😂😂Huyu ni mastermind wa misiba yote..hata kama hajui atalia pale mpaka mumpe kitengo msibani
Mmeshachelewa, tetesi za Mange zinadai eti kuna huseni wa elements sijui kashafanya bookingSaivi Jack ni mjane ,yupo sokoni mwanaume yoyote ukifanikiwa kumuwini unarithi mali za Mengi kirahis rahisi kabisa .
Hayo ni mawazo ya baadhi ya wanaume .Tukumbuke andiko hili .
1 Mwanadamu aliyezaliwa na mwanamke Siku zake za kuishi si nyingi, naye hujaa taabu.
Ayubu 14:1
2 Yeye huchanua kama vile ua, kisha hukatwa; Hukimbia kama kivuli, wala hakai kamwe.
Ayubu 14:2
Ruwa oryu mtonga nakusarye naiwekye ngoo na mrima opfo Papa handu echa .Ulerunda ukarunda shindo shichaa na shifoi iha uyanenyi .Wana wapfo, mbuya yapfo yotse , warundi wafpo wotse , Watanzania wotse na wauyana u wotse lui njia imwi . Tutakukumbuka daima. Apumzike kwa amani alikuwa ni Mangyi kweli kweli na si mchili wala mleu.
Mimi mtoto wa Mangi kyimelyue ,Ndepaiso Lemule.
Mmeshachelewa, tetesi za Mange zinadai eti kuna huseni wa elements sijui kashafanya booking
Wewe unavaa chupi ya kike ya mtumbaSasa acha uboya wewe, hao wote wakijamba ushuzi wao hunukia kama pafyumu?, ije kuwashinda harufu ya jasho la Steve? Acheni hizo bhana..