MaxShimba
Platinum Member
- Apr 11, 2008
- 36,008
- 4,093
- Thread starter
- #181
naona sasa ndugu yangu katika Iimani umeanza kukengeuka. Na nakubaliana kwa 100% na Dr kuwa umeanza kuchanganya mambo ima kwa kutaka kusifiwa na manaswala au kwa kupata thamani ndogo ya Dunia na kuacha uomgovu wa Mungu.
Bible inasema Luke 22 :63WalewatuwaliokuwawanamchungaYesu, walimpiga nakumdhihaki.
64 Walimfunga kitambaa usoni, wakawa wanamwuliza, "Ni nani aliyekupiga? Hebu bashiri tuone!"
Mathew 26: 67 Kisha wakamtemea mate usoni, wakampiga makofi. Wakamkanyaga na Wengine wakiwa wanampiga makofi,
na Quran inasema hivi
Quran 4:157.Na kwa kusema kwao: Sisi tumemuuwa Masihi Isa, mwana wa Maryamu, Mtume wa Mwenyezi Mungu - nao hawakumuuwa wala hawakumsalibu,....."
Kwa hiyo tunaona kuwa Issa (yesu) hakuuliwa, hakusulubiwa wala hakuna dhara lolote lililompata.
Je huyu anayezungumziwa hapa inawezekana kuwa mtu mmoja.
ndio maana Dr Hamza ameweka bayana kabisa YESU kwenye Bible sio Sawa na Issa wa kwenye Quran.
Kwenye Bible sifa ya Yesu ni mtoto wa Mungu na imeelezwa wazi kuwa kuna Mungu baba, Mungu Roho matakatifu na Mungu Mwana. hapo utaona Yesu ni Mwana wa Mungu.
Quran inasema hivi:
Surah 19 35. Haiwi kwa Mwenyezi Mungu kuwa na mwana, Subhanahu, Yeye ametakasika! Anapo lihukumia jambo basi huliambia tu: Kuwa! Likawa. ***
Kifupi Yesu ni Mungu kwa mujibu wa Bible na Quran imesema Issa ni mtume wa Mungu,
Sasa unaposema Dr Hamza na mimi ni makafir. Labda utubainishie ni wapi katika Quran tumekufuru. Mimi nipo Tayari kabisa kurejea kwa Allah kama utanikidhi haja yangu ya kunifafanulia kama Yesu aliyetajwa kwenye Biblia ni sawa kabisa na Yule wa Kwenye Quran.
kama kawaida ya Uislam tunatumia Aya za Allah na upande mwingine unipe andiko kutoka kwenye Biblia kuthibitisha Hoja zako.
Nachelea kusema Waislam tumekatazwa Dhana. naomba darasa yako Sheikh.
Pursuant to (Sunaan Ibn Majah V:4290) reveals that Allah loves illiterate people and hates educated people and he had promised the first entry to Paradise to the illiterate Muslims and the last entry to the educated Muslims. The reason was simple. Muhammad wanted to keep his followers away from education because he knew that his newly established religion could not survive if criticism is allowed.
Its seems now sadeeq has seen the light, he doesn't want to be illiterate as allah wishes to all muham-madans.
Furhermore, Jesus of the Bible is not Isa of the Koran.