Barubaru
JF-Expert Member
- Apr 6, 2009
- 7,161
- 2,323
Baada ya kuona kuwa Mayahudi ni watoto wa Ibilisi kufuatana na Agano Jipya (john 8:44), vilevile tukaendelea kuona kuwa Mayahudi watarudi Misri kwa mara ya pili wakiwa watumwa kutokana na Torah halafu Quran kutuonyesha kuwa Mayahudi ni Makaafir (nilikupa tafsiri ya neno Kaafir kutoka kwenye Quran. Hakuna aya hata moja kwenye Quran yako inayosema mayahudi ni Makaafir kama ipo tuonyeshe kama unasema kweli)na wamelaaniwa (miongoni mwao) kwa sababu kuna Mayahudi wa kabila (hawa wakiwemo mitume wa Allah kama Issa n.k, sio wanaokusudiwa katika aya) na kuna mayahudi wa dini.
Sasa tunamuomba Dr.Barubaru atuonyesha ile "hadith" aliyodai kuwa Mtume SAW amesema (anavyodai Barubaru)"Jifundisheni swarf na nahwu ili muelewe Quran"( Rasul amesema jifundisheni nahau ili muweze kuitafsiri vizuri Quran) Na hayo nafikiri umeona tafsiri zako na na Haj Hafif amekufundisha Nahau ya kiswahili. Amekuwekea ngeli za wakati kama li- past, na me present na Ta kama future)
Pia Barubaru atuonyesha hiyo Hadith inayosema "Dhana inapeleka kwenye shirk"
Tafadhali DR. Barubaru.
Nafikiri wosia huu wa Haj Hafif ni mzuri sana kwako.
Amekupa ushauri bora sana wa kukuelekeza uachane na hizo tafsiri zako potofu na kuisoma Quran kama ilivyo kwa kiarabu. Na unapotoa hoja basi iweke kwa kiarabu kisha watu tuijadili na sio tafsiri.
Nakushauri uisome vizuri sana Dini yako kama ilivyoandikwa na kuachana hizo tafsiri zako unazotumia. Kwani mara nyingi sana zinakupotosha na kukufanya uonekane muongo na mnafiki. Je Adhabu ya hao unaijua?
Haj amemaliza kwa wosia na mimi namaliza mada hii kwa wosia zaidi kwako kutoka kwenye Quran tukufu inayosema