Muslims join Jews for Christmas Day

Calm down Max! Biblia inamuita Abraham Hebrew kwa sababu yeye alikuwa ni mtu kutoka upande mwingine wa Euphrates!
Genesis 14:13"And there came one that had escaped, and told Abram the Hebrew.... "

Tunamzungumzia Moses hapa. Lazima ukuwe na uanze kujibu maswali kama yalivyo ulizwa.

Sasa nijibu baba yake Moses alisema nini kwa Hebrews?

Kwa hiyo kama Amran alikuwa kiongozi wa Hebrews hakumaanishi kuwa yeye ni Myahudi!Aidha una matatizo ya kuelewa au umeweka mbele mapenzi ya nafsi yako!

Niambie kiushaidi wa ayati, alikuwa kabila gani? Sina haja na muda wa blah blah


Si nilikuambia uisome hii? au hujui Kiingereza? (sina Old testament ya Kiswahili):

Hujuwi historia nzima ndio maana unasema utumbo bila ya hata aibu.

Judah alipewa jina la utani (Myahudi) kwa hiyo, ni kizazi cha Judah peke yake walioitwa Mayahudi Originally.
Exodus 6:16-20. "And these are the names of the sons of Levi according to their generations; Ghershon, and Kohath, and Merari.... And the sons of Kohath: Amram.... And Amram took him Jochebed his father's sister to wife; and she bore him Aaron and Moses."
Kwa hiyo Moses alikuwa sio Myahudi kwa sababu yeye sio katika kizazi cha Judah, Moses ni kizazi cha Levite!

Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.

Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?

What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo.

Jibu maswali yangu ili kuonyesha kwa wote hapa JF unajuwa usemalo.
 
MaxShimba said:
Tunamzungumzia Moses hapa. Lazima ukuwe na uanze kujibu maswali kama yalivyo ulizwa.
Je unakubaliana na Biblia kuwa Hebrew haimaanishi Jew (Yahudi)?!








MaxShimba said:
Hujuwi historia nzima ndio maana unasema utumbo bila ya hata aibu.

Kama huu ni utumbo basi Biblia ichomwe moto!
Judah alipewa jina la utani (Myahudi) kwa hiyo, ni kizazi cha Judah peke yake walioitwa Mayahudi Originally.
Exodus 6:16-20. "And these are the names of the sons of Levi according to their generations; Ghershon, and Kohath, and Merari.... And the sons of Kohath: Amram.... And Amram took him Jochebed his father's sister to wife; and she bore him Aaron and Moses."
Kwa hiyo Moses alikuwa sio Myahudi kwa sababu yeye sio katika kizazi cha Judah, Moses ni kizazi cha Levite!
MaxShimba said:
Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.

Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?
What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo

It is clear now as a day and night that we are two people of different levels, so let me deal with you accordingly:
Children of Israel.

 
Je unakubaliana na Biblia kuwa Hebrew haimaanishi Jew (Yahudi)?!









Kama huu ni utumbo basi Biblia ichomwe moto!
Judah alipewa jina la utani (Myahudi) kwa hiyo, ni kizazi cha Judah peke yake walioitwa Mayahudi Originally.
Exodus 6:16-20. "And these are the names of the sons of Levi according to their generations; Ghershon, and Kohath, and Merari.... And the sons of Kohath: Amram.... And Amram took him Jochebed his father's sister to wife; and she bore him Aaron and Moses."
Kwa hiyo Moses alikuwa sio Myahudi kwa sababu yeye sio katika kizazi cha Judah, Moses ni kizazi cha Levite!It is clear now as a day and night that we are two people of different levels, so let me deal with you accordingly:
Children of Israel.

Hivi ni lini utajifunza kijibu maswali na kuacha kujibu kitu ambacho hujaulizwa, akh, waislam bana akh?

Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.

Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?

What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo.

Jibu maswali yangu ili kuonyesha kwa wote hapa JF unajuwa usemalo. Ukishindwa kunijibu, basi inaifahamike kwa wote kuwa wewe hujuwi usemalo zaidi ya kuleta maneno uliyo kariri hapa ukifikiria kila mtu JF ana akili za kimad-rasa.

Swali la ziada lililo ende shule:

What was the similarities between pharaoic and amramic decrees?
 
Hivi ni lini utajifunza kijibu maswali na kuacha kujibu kitu ambacho hujaulizwa, akh, waislam bana akh?

Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.

Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?

What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo.

Jibu maswali yangu ili kuonyesha kwa wote hapa JF unajuwa usemalo. Ukishindwa kunijibu, basi inaifahamike kwa wote kuwa wewe hujuwi usemalo zaidi ya kuleta maneno uliyo kariri hapa ukifikiria kila mtu JF ana akili za kimad-rasa.

Swali la ziada lililo ende shule:

What was the similarities between pharaoic and amramic decrees?
Si nilikuambia kuwa ni Children of Israel? ! wana wa Israel?!
Je unakubaiana na Biblia kuwa Hebrew haimaanishi Jew?
 
Si nilikuambia kuwa ni Children of Israel? ! wana wa Israel?!
Je unakubaiana na Biblia kuwa Hebrew haimaanishi Jew?

Wana wa Israel hawana kabila? Mbona unaogopa kujibu maswali wewe?

Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.

Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?


What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo.

Jibu maswali yangu ili kuonyesha kwa wote hapa JF unajuwa usemalo. Ukishindwa kunijibu, basi inaifahamike kwa wote kuwa wewe hujuwi usemalo zaidi ya kuleta maneno uliyo kariri hapa ukifikiria kila mtu JF ana akili za kimad-rasa.

Swali la ziada lililo ende shule:

What was the similarities between pharaoic and amramic decrees?
 
Sasa ngoja nikufundishe wewe mtoto wa Allah Biblia na ndio utaelewa unazungumza na nani.

Kiufupi:
Kwanza kabisa unapojifunza kitu, ni lazima ujuwe mwanzo wake. Mwanzo wa utumwa wa Israel ulikuwa ni Joseph ambaye aliuzwa Egypt.

Baada ya njaa Israel, ndugu zake walienda Misri kutafuta chakula, na kukutana na kiongozi ambaye hawakujuwa kuwa ni ndugu yao, Joseph.

Thereafter, ndipo walimjuwa na kurudi kwao na kumweleza baba yao, Jacob.

As a result of a severe famine in Canaan, Jacob resettled his whole family in Egypt, in the Land of Goshen, at the time when his son Joseph was viceroy.

Jacob's family of seventy people traveled to Egypt, and multiplied into a few million before Moses led them out. Joseph had two sons by his Egyptian wife (Asenath), Manasseh and Ephraim. Joseph died at age 110, his body was embalmed in Egypt, and his bones returned to Canaan in the Exodus. The name Joseph means "May God increase."

Hii ni part one. Part two nitakuonyesha uzazi wa Moses anaye kuumiza kichwa. Kutokea mwanzo wake na kwa kutumia Biblical verses as my tangible and impeccable exhibits.
 
Sasa ngoja nikufundishe wewe mtoto wa Allah Biblia na ndio utaelewa unazungumza na nani.

Kiufupi:
Kwanza kabisa unapojifunza kitu, ni lazima ujuwe mwanzo wake. Mwanzo wa utumwa wa Israel ulikuwa ni Joseph ambaye aliuzwa Egypt.

Baada ya njaa Israel, ndugu zake walienda Misri kutafuta chakula, na kukutana na kiongozi ambaye hawakujuwa kuwa ni ndugu yao, Joseph.

Thereafter, ndipo walimjuwa na kurudi kwao na kumweleza baba yao, Jacob.

As a result of a severe famine in Canaan, Jacob resettled his whole family in Egypt, in the Land of Goshen, at the time when his son Joseph was viceroy.

Jacob's family of seventy people traveled to Egypt, and multiplied into a few million before Moses led them out. Joseph had two sons by his Egyptian wife (Asenath), Manasseh and Ephraim. Joseph died at age 110, his body was embalmed in Egypt, and his bones returned to Canaan in the Exodus. The name Joseph means "May God increase."

Hii ni part one. Part two nitakuonyesha uzazi wa Moses anaye kuumiza kichwa. Kutokea mwanzo wake na kwa kutumia Biblical verses as my tangible and impeccable exhibits.
You have been trapped!
Wapi katika Biblia ninaweza kuyapata uliyoyasema?
 
You have been trapped!
Wapi katika Biblia ninaweza kuyapata uliyoyasema?


Jesus Christ!!!!

Kumbe nazungumza na maimuna hapa. Wewe hujuwi ni wapi kuna habari za Yusufu?

Saalaaleeeh,

Please, tafadhali Waislamu, kabla hamjakuja hapa kupoteza wakati wa Wakristo, someni kidogo, nendeni shule, go and find a life. Msifikiri kila mtu hapa ni sawa na Marehemu Muham-mad Mtume wenu ambaye hata jina lake hakujuwa kuandika wala kulisoma. lol.

Angalieni ndugu yenu jinsi anavyo endeleza ungumbaru wa kimuhamadi hapa.

Tafuteni watu wa daraja lenu mjadiliane nao kama wapo. You guys, WAISLAMU, are below par.
 
Jesus Christ!!!!

Kumbe nazungumza na maimuna hapa. Wewe hujuwi ni wapi kuna habari za Yusufu?

Saalaaleeeh,

Please, tafadhali Waislamu, kabla hamjakuja hapa kupoteza wakati wa Wakristo, someni kidogo, nendeni shule, go and find a life. Msifikiri kila mtu hapa ni sawa na Marehemu Muham-mad Mtume wenu ambaye hata jina lake hakujuwa kuandika wala kulisoma. lol.

Angalieni ndugu yenu jinsi anavyo endeleza ungumbaru wa kimuhamadi hapa.

Tafuteni watu wa daraja lenu mjadiliane nao kama wapo. You guys, WAISLAMU, are below par.
Ukimaliza matusi, tufahamishe ni wapi katika andiko tunaweza kuyapata uliyoyasema.
 
Utawaweza hawa wakamua kinyesi maiti? One minute wanasema Marekani ni makafiri, lakini hawaishi kwenda huko na kufanya makazi huko..lolz

Hata Prof. Ali Mazrui na kujitia kwake upinzani kwa sera za Marekani na kuiita Marekani ni kiti cha Ibilisi alikuwa akiishi huko na kufundisha!

Typical oxymoronism
 
Utawaweza hawa wakamua kinyesi maiti? One minute wanasema Marekani ni makafiri, lakini hawaishi kwenda huko na kufanya makazi huko..lolz

Hata Prof. Ali Mazrui na kujitia kwake upinzani kwa sera za Marekani na kuiita Marekani ni kiti cha Ibilisi alikuwa akiishi huko na kufundisha!

Typical oxymoronism
Sanda ya "Mungu" ilikuwa ni aina ya kitambaa cha katani:
Mathew 27:59 Yosefu akauchukua ule mwili (wa Yesu) akauzungushia sanda safi ya kitani,
 
Mirembe inakuhitaji..lolz
Ngoja "nikuchekeshe" zaidi
"Mungu" alisalitiwa na rafiki yake kipenzi!
John 18:2-3 Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.
Basi, Yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.
 
Ngoja "nikuchekeshe" zaidi
"Mungu" alisalitiwa na rafiki yake kipenzi!
John 18:2-3 Yuda, aliyemsaliti Yesu, alipajua mahali hapo kwani mara nyingi Yesu alikutana na wanafunzi wake huko.
Basi, Yuda alichukua kikosi cha askari na walinzi kutoka kwa makuhani wakuu na Mafarisayo, akaja nao bustanini wakiwa na taa, mienge na silaha.

Sioni cha kuchekesha hapo. Unazidi kuthibitisha kuwa Mirembe ni mahali sahihi kwako kwa sasa.

Nyie wakamua kinyesi maiti si mwasema Koran ni maneno ya Mungu? Hebu mtuambie hapa mungu wenu alikua akimwambia nani haya maneno??

The Opening Sura Fatihah:
(Koran 1:1-7)

In the name of the Merciful and Compassionate God.
Praise belongs to God,
The Lord of the worlds, the merciful, the
compassionate, the ruler of the day of
the day of judgement!
Thee we serve and Thee
we ask for aid. Guide us in the right path,
the path of those Thou art gracious to;
not to those Thou art wroth with, nor of
those who err.
 
Labda tuzidi kuona hiki kitabu ndugu zetu wasilamu wanachodai ni Mungu na kisicho na makosa kinasemaje? Nukuu hii inatoka kwenye SURAT AL NAML au surah ya NYUKI (full comedy ..he he he..). Nukuu hii inatoka submission.org.

The Day of Judgment
[27:89] Those who bring good works (in their records) will receive far better rewards, and they will be perfectly secure from the horrors of that day. (i suppose allah hapa anaongea)
[27:90] As for those who bring evil works, they will be forced into Hell. Do you not get requited for what you did? (i suppose allah hapa anaongea pia)
[27:91] I am simply commanded to worship the Lord of this town - He has made it a safe sanctuary - and He possesses all things. I am commanded to be a submitter. (obvious haya si maneno ya allah, ni waandishi wa Koran hawa akina Mo & co)
[27:92] And to recite the Quran. Whoever is guided is guided for his own good, and if they go astray, then say, "I am simply a warner." (i suppose allah hapa anaagiza)
[27:93] And say, "Praise be to GOD; He will show you His proofs, until you recognize them. Your Lord is never unaware of anything you do." (i suppose allah hapa anaongea)
Madai kwamba Koran ni maneno ya allah *mungu wa kisilamu* ni wazi hayahold water, kama tulivyoona hapo kwenye maandishi ya blue allah anajiagiza!.

Hii ndio dini ya wamanga na kitabu cha ngumbaru Mwamedi..Nijichekee miye..lolz
 
Mimi nitaendelea kutokuwepo tu lakini naamini YESU KRISTO ni MUNGU na anaishi na ataishi milele amen. Sababu za kusema hivi ninazo nyingi tu
 
Sasa ngoja nikufundishe wewe mtoto wa Allah Biblia na ndio utaelewa unazungumza na nani.

Kiufupi:
Kwanza kabisa unapojifunza kitu, ni lazima ujuwe mwanzo wake. Mwanzo wa utumwa wa Israel ulikuwa ni Joseph ambaye aliuzwa Egypt.

Baada ya njaa Israel, ndugu zake walienda Misri kutafuta chakula, na kukutana na kiongozi ambaye hawakujuwa kuwa ni ndugu yao, Joseph.

Thereafter, ndipo walimjuwa na kurudi kwao na kumweleza baba yao, Jacob.

As a result of a severe famine in Canaan, Jacob resettled his whole family in Egypt, in the Land of Goshen, at the time when his son Joseph was viceroy.

Jacob's family of seventy people traveled to Egypt, and multiplied into a few million before Moses led them out. Joseph had two sons by his Egyptian wife (Asenath), Manasseh and Ephraim. Joseph died at age 110, his body was embalmed in Egypt, and his bones returned to Canaan in the Exodus. The name Joseph means "May God increase."

Hii ni part one. Part two nitakuonyesha uzazi wa Moses anaye kuumiza kichwa. Kutokea mwanzo wake na kwa kutumia Biblical verses as my tangible and impeccable exhibits.

Naomba andiko Please kutoka kwenye Bible za kuthibitisha porojo zako.
 
Mimi nitaendelea kutokuwepo tu lakini naamini YESU KRISTO ni MUNGU na anaishi na ataishi milele amen. Sababu za kusema hivi ninazo nyingi tu


Ziweke hadharani na kupata support ya andiko na wala sio bla bla
 
Ziweke hadharani na kupata support ya andiko na wala sio bla bla

Nimeona ukiomba uthibitisho mwingi sana kutoka kwenye bible mbaya zaidi ukipewa hujibu wala kukiri kufeli bali unaibua jingine, sasa naomba ujibu hilo swala hapo chini uliloulizwa na Abdulhalim, je hapo ALLAH alikua akim-command nani kumwabudu??

ni kutoka kwenye qoran...
[27:91] I am simply commanded to worship the Lord of this town - He has made it a safe sanctuary - and He possesses all things. I am commanded to be a submitter.

Je ALLAH anaweza kujicomand mwenyewe kumwabudu mungu mwingine?? Na huyo mwingine ni nani..?

Ndo mana huwa napinga ile ideology ya kusema sisi wote(wakristo na waislam) tunamwabudu mungu mmoja hilo si kweli kabisa...hiyo quote hapo juu inathibitisha...
 
AbdulHalim said:
[27:91] I am simply commanded to worship the Lord of this town - He has made it a safe sanctuary - and He possesses all things. I am commanded to be a submitter.
Je ALLAH anaweza kujicomand mwenyewe kumwabudu mungu mwingine?? Na huyo mwingine ni nani..?
I am (Muhammad SAW) simply commanded to worship the Lord of this town - He has made it a safe sanctuary - and He possesses all things. I am commanded to be a submitter".
Nimekuwekea katika mabano kama kweli unatafuta ukweli.

AbdulHalim said:
Unazidi kuthibitisha kuwa Mirembe ni mahali sahihi kwako kwa sasa.
Ni mahali sahihi kwangu mimi au kwa yule anayeamini kuwa,
"Mungu" alipigwa nu kushindwa kujitetea akabakia analalamika tu:
John 18:22-23 Alipokwisha sema hayo mlinzi mmoja aliyekuwa amesimama hapo akampiga (Yesu) kofi akisema, "Je, ndivyo unavyomjibu Kuhani Mkuu?"
Yesu akamjibu, "Kama nimesema vibaya, onyesha huo ubaya; lakini ikiwa nimesema vema, mbona wanipiga?"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom