MaxShimba
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 35,772
- 4,054
- Thread starter
- #21
Calm down Max! Biblia inamuita Abraham Hebrew kwa sababu yeye alikuwa ni mtu kutoka upande mwingine wa Euphrates!
Genesis 14:13"And there came one that had escaped, and told Abram the Hebrew.... "
Tunamzungumzia Moses hapa. Lazima ukuwe na uanze kujibu maswali kama yalivyo ulizwa.
Sasa nijibu baba yake Moses alisema nini kwa Hebrews?
Kwa hiyo kama Amran alikuwa kiongozi wa Hebrews hakumaanishi kuwa yeye ni Myahudi!Aidha una matatizo ya kuelewa au umeweka mbele mapenzi ya nafsi yako!
Niambie kiushaidi wa ayati, alikuwa kabila gani? Sina haja na muda wa blah blah
Si nilikuambia uisome hii? au hujui Kiingereza? (sina Old testament ya Kiswahili):
Hujuwi historia nzima ndio maana unasema utumbo bila ya hata aibu.
Judah alipewa jina la utani (Myahudi) kwa hiyo, ni kizazi cha Judah peke yake walioitwa Mayahudi Originally.
Exodus 6:16-20. "And these are the names of the sons of Levi according to their generations; Ghershon, and Kohath, and Merari.... And the sons of Kohath: Amram.... And Amram took him Jochebed his father's sister to wife; and she bore him Aaron and Moses."
Kwa hiyo Moses alikuwa sio Myahudi kwa sababu yeye sio katika kizazi cha Judah, Moses ni kizazi cha Levite!
Nimekuuliza swali ni kabila gani lilikuwa utumwani Egypt? na maswali yafuatayo, naona umekimbia bila ya hata aibu na haya. Jibu haya maswali.
Now tell me, what was the pharaonic decree? Tell me once again, ni nani na/au taifa gani lilikuwa watumwa Egypt wakati wa Moses and why?
What was Amram, Moses' father decree? Kama kweli wewe unajuwa usemalo.
Jibu maswali yangu ili kuonyesha kwa wote hapa JF unajuwa usemalo.