Hivi matusi ni nini?
Kutoa andiko kutoka kwenye Bible na kulijadili mfano
Mimi nimesema bayana 1. Yesu alitendwa na Wayahudi na nikakupa andiko
2. Ukristo umeanzishwa na Barnaba na Sauli na Huko Anioch miaka zaidi ya 40 Ad
3, Nimesema mama yake Yesu Mariam ni malaya kwa kukupa andiko na nyie wote mmekiri andiko hilo lipo.
Je yule anayeleta hadithi za kutunga na kumsingizia Mtume wetu amekufa kwa sumu bila kuleta Aya iliyosema hivyo bali anatunga hadith zake kuhalalisha maneno yake.
sasa hapo nani anamtusi mwenzie.
Labda tuweke na tuwe wasomi kwa kila unachonena uwe na andiko kutoka kwenye vitabu vya Mungu na sio hadith za kutunga. Huo si usomi tu bali pia ni ustaharabu na kuelimika
Mpendwa hafif,
pole sana kwa emotional condition unayoipitia hivi sasa kutokana na haya maswala ya dini.
Huwa nawaambia hata wenzangu wakristo kuwa ni vizuri tukajua vyanzo na misngi ya hizi imani zetu na sio just kurithi kutoka kwa wazazi
Unajua siku ukijua na kuthibitishiwa kuwa ulichokuwa unaamini ni uongo na upuuzi kinachofuata ni hasira, matusi, kulia, pressure kupanda, kubwabwaja hovyo, ili maradi ujipe moyo na kuona , skuwa wanachosema si kweli.
You have to have very strong and well grounded verses in quran and hadith to protect quran.I am afraid ukiwa na well grounded knowledge ya uislam UKAWEKA MIND yako na imani viendane usingekubali kirahisi.
KUMBUKA KUUKATAA UKWELI NA KUUPINGA HAKUUONDOI UKWELI!
HALI KADHALIKA ILI USIONEKANE KITUKO you need to understand the bible or at least read it before you say anything that may condemn you later on.
Sorry to say this, my curiosity to know this religion has proven beyond doubt that christianity (call what you call) is far more than any existing religion! but still i respect what others believe.
Akili yetu tumeiweka kwenye dini na siyo reality ndio utakuta mwislamu mpumbavu yuko tayri kutoka povu na kufa kwa ajili ya Muhammad na hayuko tayari kuacha kuvuta sigara! all things fall kwenye upumbavu fulani wa kutokutaka kujua nini hasa dini hizi zinalenga
hali kadhalika kumkuta mkristo na mwislamu anayeenda kwenye nyumba za ibada kila siku haishangazi ila kwa huyohuyo kumkuta anaiba, anakula rushwa n.k haishangazi pia! unajiuliza tatizo liko wapi?
Leo ukiwa na receptive mind au open mind ya kujua bila ubishi vyanzo vya hizi imani zetu,ndiyo mwanzo na chanzo cha ukombozi.
Kunzia leo tunaanza kozi mimi na wewe ya kujua chanzo cha uislam,this will be outline;
1.Historia ya uislam
2. Nani aliandika quran
3. Historia ya mtume Muhammad
4. Uislam leo hii
5.Muhammad kwa nini aliiviolate quran
6.Tuta revisit tena historia ya uislam leo hii
7.Tuta compare Yesu, Muhammad na mitume wa dini zingine
Tuta revist kitabu cha satanic verses(kutoka kwa Rushdie) na kwa nini waislamu wanakipiga vita
8.Tutapata testimony kutoka kwa EX-muslim
Sasa HAFIF hasira, matusi,uzishi, wrong excerption and interpretation of verses, huwa haziondoi ukweli.
HAYO MAFUNDISHO YATAKUWA KWA AJILI YAKO wewe personally kwenye thread hii.
source Quran and Hadith. Maandiko Mengi na source nyingi zitatoka kwa waislam wenyewe.
Narudia tena, hakuna Mkristo aliye entitled kukasirika au kuwa na hasira unapomtukana Yesu, tumefundishwa kuwaombea na kusamehe.
So get ready, matusi hayazuii chochote, hii ni wewe tu na ukweli achana na mashabiki wapembeni.
are ready for seminar? nitapost kila siku material kwenye hii thread na mpaka April nitakuwa nimeweka kila kitu wazi kiasi cha wewe kuwa na uwezo wa kuamua mwenyewe , BAADA YA KUTUMIA AKILI NA UTASHI WA KAWAIDA WA KIBINADAMU SIYO uliotawaliwa na na defence mechanisms
Ukishajibu hii post nitajua kuwa kama unataka kozi au hautaki.