Muslims join Jews for Christmas Day

Muslims join Jews for Christmas Day

Ilboru zamani ilikuwa inaitwaje vile? Pole sana

Tuambie wewe, mimi nimesoma Ilboru ya sasa nadhani na kichwa chako kilivyo kigumu kuelewa sijui kama miaka yetu ungechaguliwa Ilboru LoL

Nasema tena Uwashukuru Wakristo la sivyo ungekuwa ni mtu wa kuwaza kujitoa Muhanga

Jibu hoja za mtumishi Abdulhalim, acha porojo
 
Tunaendelea kugawa daawa.

Koran 8:41 yalonga.

And know that out of all the booty that ye may acquire (in war), a fifth share is assigned to Allah,- and to the Messenger,
Hapa twaona wasilamu wanaagizwa eti wakikwiba ngawira wakati wa vita, 1/5 ni mali allah na Mwamedi. Hii ayat ina implication kadhaa, na kuu kuliko yote ni shirk. Jingine ni kwamba, suppose sasa hivi msilamu anayepigana in the 'course of allah' hiyo 1/5 anapewa nani??

Nasubiria majibu ( kama yapo ) 😀
 
Barubaru said:
Na hakuna hata sehemu moja iliposema wazi kuwa Mayahudi ni makafir.
Kwa kweli wa Lillahi nimejitahidi sana kutafuta sijaona waliposema mayahudu ni Makafir.
Nimefurahishwa sana na hili swali!
Ulipobanwa ukakimbilia katika Biblia, kule nikakuonyesha kuwa nyinyi Mayahudi ni watoto wa Ibilisi, bali nikaenda mbali zaidi ya hapo kwa kukuonyesha kuwa katika kitabu mnachodai kukifuata (Torah) imeandikwa kuwa mtarudi tena Misri kama watumwa na mtakuwa rahisi sana kiasi cha kuwa hakuna atakaye wanunua.Umelikubali,Sasa unakimbilia katika Quran, hii hapa:
5:78. Those among the Children of Israel who disbelieved were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".
Barubaru said:
Vile vile Haj Hafif alisema wazi tunataka uweke wazi kwa kutoa uthibitisha mpaka kufikia hukumu ya kusema sisi ni Makafir? Tunaomba u-paste maandiko yetu katika mada yoyote ile ili tupate uthibitisha na kama utakuwa muungwa kwa kushindwa kuthibitisha basi urejee ka Mola wako.
Rudi katika post, sabau zipo pale.
"It is more wicked to question the words of the rabbis than that of the Torah."- Michna Sanhedryn 11:3.
Quran 9:31. They (Jews and Christians) took their rabbis and their monks to be their lords besides Allâh (by obeying them in things which they made lawful or unlawful according to their own desires without being ordered by Allâh).."
 
Nimefurahishwa sana na hili swali!
Ulipobanwa ukakimbilia katika Biblia, kule nikakuonyesha kuwa nyinyi Mayahudi ni watoto wa Ibilisi, bali nikaenda mbali zaidi ya hapo kwa kukuonyesha kuwa katika kitabu mnachodai kukifuata (Torah) imeandikwa kuwa mtarudi tena Misri kama watumwa na mtakuwa rahisi sana kiasi cha kuwa hakuna atakaye wanunua.Umelikubali,Sasa unakimbilia katika Quran, hii hapa:
5:78. Those among the Children of Israel who disbelieved were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".Rudi katika post, sabau zipo pale.
"It is more wicked to question the words of the rabbis than that of the Torah."- Michna Sanhedryn 11:3.
Quran 9:31. They (Jews and Christians) took their rabbis and their monks to be their lords besides Allâh (by obeying them in things which they made lawful or unlawful according to their own desires without being ordered by Allâh).."

Nimepitia hii Quran 9:30 - 32 na sikuona unamaanisha nini.
30. Na Mayahudi wanasema: Uzeir ni mwana wa Mungu. Na Wakristo wanasema: Masihi ni mwana wa Mungu. Hiyo ndiyo kauli yao kwa vinywa vyao. Wanayaiga maneno ya walio kufuru kabla yao. Mwenyezi Mungu awaangamize! Wanageuzwa namna gani hawa! ***

31. Wamewafanya makuhani wao na wamonaki wao kuwa ni marabi badala ya Mwenyezi Mungu, na pia Masihi bin Maryamu. Na wala hawakuamrishwa isipo kuwa wamuabudu Mungu Mmoja, hapana mungu ila Yeye. Subhanahu, Ametakasika na hayo wanayo mshirikisha nayo. ***

32. Wanataka kuizima Nuru ya Mwenyezi Mungu kwa vinywa vyao, na Mwenyezi Mungu anakataa ila aitimize Nuru yake ijapo kuwa makafiri watachukia. ***


Yaani unamaanisha Dr Hamza ni myahudi?
 
Acha upono huo. Kitabu kipo wazi, soma mwenyewe, Hio sio sawa na Bible wanasoma Mapadre tu wee unapea Katekism na Chuo kidogo cha Sala.

Kuna haja gani mimi kukwambia?

Wamezowea kutafuniwa kila kitu hao.
 
Sadiiq.

Je wajua maana ya aya hii.


109_6.GIF

Tupembulie umeielewaje?
 
Nimepitia hii Quran 9:30 - 32 na sikuona unamaanisha nini.
Wewe umeeilewa vipi Quran 9:30?
HM Hafifu said:
Yaani unamaanisha Dr Hamza ni myahudi?
Ndio na wewe pia,fuatilia haya majadiliano yangu na yake utaona, ninakoelekea.
Ulipobanwa ukakimbilia katika Biblia, kule nikakuonyesha kuwa nyinyi Mayahudi ni watoto wa Ibilisi, bali nikaenda mbali zaidi ya hapo kwa kukuonyesha kuwa katika kitabu mnachodai kukifuata (Torah) imeandikwa kuwa mtarudi tena Misri kama watumwa na mtakuwa rahisi sana kiasi cha kuwa hakuna atakaye wanunua.Umelikubali,Sasa unakimbilia katika Quran, hii hapa:
5:78. Those among the Children of Israel who disbelieved were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".Rudi katika post, sababu zipo pale.
 
Tuambie wewe, mimi nimesoma Ilboru ya sasa nadhani na kichwa chako kilivyo kigumu kuelewa sijui kama miaka yetu ungechaguliwa Ilboru LoL

Nasema tena Uwashukuru Wakristo la sivyo ungekuwa ni mtu wa kuwaza kujitoa Muhanga

Jibu hoja za mtumishi Abdulhalim, acha porojo
Umefilisika wewe huijui Ilboru labda wewe umesomea Imboru. maana yake kuna Ilboru na Imboru.

Muulize mtu yoyote aliyesoma Ilboru lazima atamjua BINO na ile gari yake MZC 611. kwa kukurahisishia Bino anaitwa Mwl Mushi,
Acha uvivu wa kikristo jaribu kuulizia sifa za waliosoma hapo na mpaka leo tunaendeleza Ilboru personality. Je wamjua MZEE BANGO.

Kwa taarifa yako wale wa st st st hawawezi pita hapo wanaogopa kuadhilika wao wanaebdelea na st st colleges.
 
Umefilisika wewe huijui Ilboru labda wewe umesomea Imboru. maana yake kuna Ilboru na Imboru.

Muulize mtu yoyote aliyesoma Ilboru lazima atamjua BINO na ile gari yake MZC 611. kwa kukurahisishia Bino anaitwa Mwl Mushi,
Acha uvivu wa kikristo jaribu kuulizia sifa za waliosoma hapo na mpaka leo tunaendeleza Ilboru personality. Je wamjua MZEE BANGO.

Kwa taarifa yako wale wa st st st hawawezi pita hapo wanaogopa kuadhilika wao wanaebdelea na st st colleges.

Unajua hata watu waliosoma Ekenywa huwa wansema kwamba walisoma Ilboru just because wanapitia pale wakienda shule yao

Thanx to watu wa Mungu maana hata Ilboru ilikuwa ya Walutheri
 
Wewe umeeilewa vipi Quran 9:30?
Ndio na wewe pia,fuatilia haya majadiliano yangu na yake utaona, ninakoelekea.
Ulipobanwa ukakimbilia katika Biblia, kule nikakuonyesha kuwa nyinyi Mayahudi ni watoto wa Ibilisi, bali nikaenda mbali zaidi ya hapo kwa kukuonyesha kuwa katika kitabu mnachodai kukifuata (Torah) imeandikwa kuwa mtarudi tena Misri kama watumwa na mtakuwa rahisi sana kiasi cha kuwa hakuna atakaye wanunua.Umelikubali,Sasa unakimbilia katika Quran, hii hapa:
5:78. Those among the Children of Israel who disbelieved were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".Rudi katika post, sababu zipo pale.


Uislam unakataza sana NENO DHANA. Kwani Dhana ni mwelekeo wa Shirki.

Naona unazungumza mambo yasiyo na uhakika na ushahidi. Unakurupuka tu kutamka mambo ambayo kwa ueleo wangu naona ni muflis.

Sijaona aya hata moja ndani ya Quran iliyosema Direct Wayahudi ni Makafir. Unachofanya ni kujiviringisha viringisha na kubabaisha tu.

Labda nikufafanulie kidogo mambo mawili Ammu na Assu. haya ni mambo muhimu sana katika kupambanua Quran kwani aya za Quran zimegawanywa katika Ammu na Assu.

Na inapofikia adhabu toka Allah sijaona adhabu kali kama Kafir kuwekwa kwenye Ammu. Soma Nahau na Swalfa kidogo za kiarabu utaona hayo.

Hata hadithi sahihi ya Rasul Mohammad ameweka wazi. Someni Nahau ili muweze itafsili Quran.

Narudia swali hili alouliza Haj Hafif.

Sadiiq.

Je wajua maana ya aya hii.



109_6.GIF

Tupembulie umeielewaje?
 
Unajua hata watu waliosoma Ekenywa huwa wansema kwamba walisoma Ilboru just because wanapitia pale wakienda shule yao

Thanx to watu wa Mungu maana hata Ilboru ilikuwa ya Walutheri

Vipi Azania na Jangwani za huko Dar zilikuwa za nani.


Mimi ninavyojua zilitaifishwa na Serikali na ni mali ya Serikali. Na mimi nilipita zikiwa mikononi mwa Serikali.

Sasa Tuipongeze Serikali ambao ni wamiliki.

Vp unamjua Mzee Bango? Muulize MTM akusaidie .
 

Pamoja na kujibu suala la Haj Hafif , tunasubiri kwa hamu sana Thread yako kuhusu kadhia hii
Je wajua maana ya aya hii.


109_6.GIF

Tupembulie umeielewaje?
 
Vipi Azania na Jangwani za huko Dar zilikuwa za nani.


Mimi ninavyojua zilitaifishwa na Serikali na ni mali ya Serikali. Na mimi nilipita zikiwa mikononi mwa Serikali.

Sasa Tuipongeze Serikali ambao ni wamiliki.

Vp unamjua Mzee Bango? Muulize MTM akusaidie .

Tumpongeze JK Nyerere bila hivyo ungekuwa unapiga madufu tu LoL
 
Jibu Hoja Nzito za Mtumishi Abdulhalim na Achana na Sideeq ameshakukana
 
Barubaru said:
Uislam unakataza sana NENO DHANA. Kwani Dhana ni mwelekeo wa Shirki.

Naona unazungumza mambo yasiyo na uhakika na ushahidi. Unakurupuka tu kutamka mambo ambayo kwa ueleo wangu naona ni muflis.
Wewe ndiye unayezungumza mabo yasiyo na uhakika, nieleze ni aya gani au Hadithi gani inayosema kuwa dhana ni mwelekeo wa shirk.
Barubaru said:
Sijaona aya hata moja ndani ya Quran iliyosema Direct Wayahudi ni Makafir.Unachofanya ni kujiviringisha viringisha na kubabaisha tu.
Quran 5:78. Those among the Children of Israel who DISBELIEVED were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".
Barubaru said:
Labda nikufafanulie kidogo mambo mawili Ammu na Assu. haya ni mambo muhimu sana katika kupambanua Quran kwani aya za Quran zimegawanywa katika Ammu na Assu.
Ni nani aliyezigawanya hivyo? tafadhali pambanua!
Barubaru said:
Hata hadithi sahihi ya Rasul Mohammad ameweka wazi. Someni Nahau ili muweze itafsili Quran
Unazidi kuonekana kikatuni! haya tuletee hiyo Hadith.
Ulipobanwa ukakimbilia katika Biblia, kule nikakuonyesha kuwa nyinyi Mayahudi ni watoto wa Ibilisi, bali nikaenda mbali zaidi ya hapo kwa kukuonyesha kuwa katika kitabu mnachodai kukifuata (Torah) imeandikwa kuwa mtarudi tena Misri kama watumwa na mtakuwa rahisi sana kiasi cha kuwa hakuna atakaye wanunua.Umelikubali,Sasa unakimbilia katika Quran, hii hapa:
5:78. Those among the Children of Israel who disbelieved were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".
*Katika Torah mnaambiwa kuwa mtarudi Misri kam watumwa kwa mara ya pili, Katika Agano jipya mnaambiwa kuwa nyinyi ni watoto wa Ibilisi, Quran ndiyo hiyo umepewa, sijui utakimbilia wapi sasa!
 
Sideeq nimekuuliza

Je wajua maana ya aya hii.


109_6.GIF

Tupembulie umeielewaje? Mbona utaki kujibu.
 
Quran 5:78. Those among the Children of Israel who DISBELIEVED were cursed by the tongue of Dawûd (David) and 'Iesa (Jesus), son of Maryam (Mary). That was because they disobeyed (Allâh and the Messengers) and were ever transgressing beyond bounds".

Sideeq,

Kwa mujibu wa aya hiyo hapo juu uliyotoa .Hapa waliolaaniwa sio Wayahudi wote baki ni baadhi ya Wayahudu ndio maana wametumia neno Among wana wa Islael.
 
Kwa kiswahili Quran 5:78 inasema

5. SURAT AL MAIDA78. Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. ***


Nafikiri umeona hapo.
 
Kwa kiswahili Quran 5:78 inasema

5. SURAT AL MAIDA78. Walilaaniwa walio kufuru miongoni mwa Wana wa Israili kwa ulimi wa Daud na wa Isa mwana wa Maryamu. Hayo ni kwa sababu waliasi na wakawa wanapindukia mipaka. ***
Nafikiri umeona hapo.
Nisingeipost kama sikuiona hiyo!
Sasa nyinyi Mayahudi wa sasa hamkukufuru?
 
Nisingeipost kama sikuiona hiyo!
Sasa nyinyi Mayahudi wa sasa hamkukufuru?

Inabidi nikuonee tu huruma ni maneno yako. Kwa taarifa yako kuna tofauti kubwa sana kati ya Kafir na kulaaniwa.

Sasa nitakupa tafsiri ya neno Kafir kutoka kwenye Quran. Quran inasema hivi:


2_39.gif


Nafikirii hiyo ni tafsiri tosha kabisa ya Neno Kafir kutoka kwenye Quran.

Sasa wayahudi wamesifiwa sana hapa Sura 2:47, imeweka wazi kuwa Allah amewapendelea zaidi na hivyo isingewezekana Allah huyo huyo awalaani.

Waislam wanaamini wazi kwa mujibu wa Quran kilicholaaaniwa ni Sheitwam yaani Iblis na makazi yake ni Motoni. Ndio maana tunajikinga naye kwa kusema Audhu Billahi minna Shaitwani Rajiimi

Sasa utaona bayana kuwa Kaafir anaweza akarejea kwa Allah na akapokelewa toba yake kama inavyosomeka hapa katika Quran.


2_37.gif
Sasa baada ya tafsiri hizo, sasa jiweke sawa unakusudia kusema nini Kafir au Kulaaniwa.
 
Back
Top Bottom