Muongozo kuijunga team ya mpira hasa mwanamke?

Muongozo kuijunga team ya mpira hasa mwanamke?

Kuanzia Leo aanze kufanya mazoezi ya kucheza cheza kidogo kidogo apunguze uzembe, football isn't that easy it needs sacrifice sometimes.
Zaidi ya yote awe tayari kuwa mchezaji wa kabumbu.
Sasa ana miaka 22 na hana idea ya ⚽ ila wao ndo wanataka huyo binti asakate kandanda, mbna ni mtihani huu.
 
Kumbe wee ni mwakarobo family 🤣🤣🤣🤣
Haya jtano tu aingia na tactics gani mwanawane
Jumatano najua tutapata nafasi za kufunga zaidi ya tatu lakini shida ni je tunaweza kutumia zote?
Kuhusu tactics mwalimu ndiye mwenye timu na ndiye anayejua la kufanya ndiyo maana tumemwachia timu.

Tukitumia nafasi zetu vizuri tutafuzu, mungu ibariki Simba.
 
Sasa ana miaka 22 na hana idea ya ⚽ ila wao ndo wanataka huyo binti asakate kandanda, mbna ni mtihani huu.
Ila kama yeye anapenda kucheza kwa kiasi Fulani inawezekana lakini kama wanamlazimisha basi hawana tofauti na mtu anayechota maji ya matumizi ya nyumbani kwa kutumia kondom.
 
Ni sawa, ila muhusika aupende huo mchezo wenyewe.
Yeah, mtu anafanya vizuri zaidi katika kitu anachokipenda kwa sababu anakifikiria Kila muda na kutafuta alternatives za Ku Excel kwenye hicho kitu.
Huwa nawashangaa watu wanaosema mtu Fulani ana kipaji cha kitu fulani. Hakuna kitu kinachoitwa kipaji hapa duniani.
 
Back
Top Bottom