Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 2,304
- 5,655
- Thread starter
- #21
M ntakua mwanamkeAahidi kwanza , ukipata timu utaendelea kuwa mwanamke au msela na kuvaa mlegezo?
M ntakua mwanamkeAahidi kwanza , ukipata timu utaendelea kuwa mwanamke au msela na kuvaa mlegezo?
Wewe ndo mchezaji au.Ntafanya ivyo
Ujamwambia kama akufate PM anasubir ruksa ujue
Mazoezi yatapunguza auUsiwe na nyama uzembe na matter~call makubwa
Mzize alianza kucheza akiwa na miaka 30 alipofika Yanga tayari alikuwa na miaka 32 hata ngara23 na OKW BOBAN SUNZU wanalijua hilo.Kaanza Kwa umri upi?
Ndugu yangu wa kikeWewe ndo mchezaji au.
Ntaulizia ushauri kwanzaUjamwambia kama akufate PM anasubir ruksa ujue
Tatizo uliwekeza kwenye chandimu.... ungefanikiwa sana ungekuwa na mpira wako tu wa makaratasiNimekumbuka mbali, nilikua na kipawa cha kucheza mpira wa miguu, nimecheza sana chandimu, piga dana dana kwa uzuri, nilipofika std 6, Mama akanikalisha chini, akanipa semina juu ya maisha hasa kwa upande wangu.
Niliamua ni focus na mambo mengine, kwa kweli namshukuru mno, sahivi naona nisingefika popote kupitia kipaji hiki,
Nimebaki na memories za piga chenga, kata funua, piga mduki, aiiih. Wakati ni ukuta.
Kila kheri kwako, ufanikiwe ktk hilo.
Kwa nini uliacha aise!Nimekumbuka mbali, nilikua na kipawa cha kucheza mpira wa miguu, nimecheza sana chandimu, piga dana dana kwa uzuri, nilipofika std 6, Mama akanikalisha chini, akanipa semina juu ya maisha hasa kwa upande wangu.
Niliamua ni focus na mambo mengine, kwa kweli namshukuru mno, sahivi naona nisingefika popote kupitia kipaji hiki,
Nimebaki na memories za piga chenga, kata funua, piga mduki, aiiih. Wakati ni ukuta.
Kila kheri kwako, ufanikiwe ktk hilo.
Ana umri ganiNdugu yangu wa kike
Huo wa makaratasi mie ndo mfumaji, naweka condom niliyo puliza, naviriga na vitambaa, nje naviriga nailoni, naanza kufuma, unatokea mpira unadunda haswaa.Tatizo uliwekeza kwenye chandimu.... ungefanikiwa sana ungekuwa na mpira wako tu wa makaratasi
Hahaha, mimi mtu akitaka kuifuata pm wala asiniombe ruhusa.Ujamwambia kama akufate PM anasubir ruksa ujue
Daah mama alini stopisha, kuna kitu aliona mbeleni, nashukuru imenisaidia mno, sioni km ingenifikisha popote pira boli.Kwa nini uliacha aise!
Hahaha, Mimi mtu akitaka kuifuata pm wala asiniombe ruhusa.Ujamwambia kama akufate PM anasubir ruksa ujue
Kondom iliyotumika?Huo wa makaratasi mie ndo mfumaji, naweka condom niliyo puliza, naviriga na vitambaa, nje naviriga nailoni, naanza kufuma, unatokea mpira unadunda haswaa.
😂😂😂😂 mnanikumbusha mbali hatarii.
inategemeana na kocha mwenyeweMazoezi yatapunguza au
Huwezi jua labda Leo hii ungekuwa unasakata kabumbu barani ulaya.Daah mama alini stopisha, kuna kitu aliona mbeleni, nashukuru imenisaidia mno, sioni km ingenifikisha popote pira boli.
😂😂😂😂😂😂
Kocha mwenyewe ndo mimi.inategemeana na kocha mwenyewe