secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,566
- 29,227
Hahaha 😂 anahofia niniAtaki kufokewa
Hahaha 😂 anahofia niniAtaki kufokewa
Na awe below 18Yeah, mchezaji wa kike anatakiwa awe na vitu vifuatavyo.
1. Awe na agility (Kasi)yaani awe mwepesi ili aweze kuendana na Kasi ya mchezo. ahimili miliki miliki kwa sababu Mpira wa miguu na kiteni na kindava haihitaji mtu lelemama
2. Awe na composure (utulivu). Utulivu WA mwili na akili ni wa muhimu Sana katika soka.
3. Endurance yaani kuwa fiti kimwili siyo upepo mkali ukipita unakuangusha. Mpira wa miguu na kitemi na kindava hauhitaji mtu lelemama.
4 Nidhamu, nidhamu, nidhamu.
Ni kweli lakini kwa bongo tunaweza kupunguza takriban miaka mitano na zaidi na bado akaonekana mdogo zaidi ili aendelee kuwa na soko.Na awe below 18
Imeisha hiyoAlways ready
Nyie hapo hamna ujanja yaani refa mtieni mil 50 kwanza mumwambie afe kipa afe beki lazima goli la dhuruma liwepo tuu.Jumatano najua tutapata nafasi za kufunga zaidi ya tatu lakini shida ni je tunaweza kutumia zote?
Kuhusu tactics mwalimu ndiye mwenye timu na ndiye anayejua la kufanya ndiyo maana tumemwachia timu.
Tukitumia nafasi zetu vizuri tutafuzu, mungu ibariki Simba.
Unaweza kuta ata danadana 100 hapigiKama ana kipaji tupatie atusaidie Msimbazi..
Kama anabangaiza aende utopolo.
Mkuu tunaenda kushinda tena kwa uhalali.Nyie hapo hamna ujanja yaani refa mtieni mil 50 kwanza mumwambie afe kipa afe beki lazima goli la dhuruma liwepo tuu.
Nyie mwakarobo hamna kitu bwana sasa game mme sominate alafu mwashindwa pata goli bwana.Mkuu tunaenda kushinda tena kwa uhalali.
Kama wao walifunga mabao 2 na Sisi tunaweza kufunga, kinachotajika ni maandalizi mema tu.Nyie mwakarobo hamna kitu bwana sasa game mme sominate alafu mwashindwa pata goli bwana.
Shauri yenu chezeninna refa...give him an offer he cant refuse
Aweze kupiga danadana 100 kwa ugoko.Jaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
Hapo kwenye mbooo sidhani kama atakuelewa haraka mkuu.Aweze kupiga danadana 100 kwa ugoko.
Akimaliza happ aweze kutuliza mpira kifua i bila kuumiza matiti yake
And then awe kujua majukumu angalau 3 makuu kwa namba anayocheza.
Asinnywe pombe, asivute sigara, asipende mboooo wa mademu wenzake.
Alale masaa 9 kwa siku.
Kila siku iendayo kwa mungu aweze kuchezea mpira yeye peke sio chin ya masaa 2
Sasa ukute ana manyonyo makubwa kama Isha mashauzi mbona zesheni🥶Aweze kupiga danadana 100 kwa ugoko.
Akimaliza happ aweze kutuliza mpira kifua i bila kuumiza matiti yake
And then awe kujua majukumu angalau 3 makuu kwa namba anayocheza.
Asinnywe pombe, asivute sigara, asipende mboooo wa mademu wenzake.
Alale masaa 9 kwa siku.
Kila siku iendayo kwa mungu aweze kuchezea mpira yeye peke sio chin ya masaa 2
Maamdalizi wapi kocha dugi wewe 🤣🤣🤣🤣Kama wao walifunga mabao 2 na Sisi tunaweza kufunga, kinachotajika ni maandalizi mema tu.
Nasikia hwa ballers wa kike wao mbooo hapana wanapenda kulambanaHapo kwenye mbooo sidhani kama atakuelewa haraka mkuu.
Mbooo ni mbooo tu.
Hii nayo point yapo ivyo😹😹Sasa ukute ana manyonyo makubwa kama Isha mashauzi mbona zesheni🥶
Matiti makubwa akiyatumia vizuri yatamsaidia.Sasa ukute ana manyonyo makubwa kama Isha mashauzi mbona zesheni🥶
Basi huyo haweI cheza ball asake kazi nyingine. Dem wakucheza mall anapaswa kuwa na mosquitoes bites sio juicy juicy mangoes🤣🤣🤣Hii nayo point yapo ivyo😹😹
UwongoMatiti makubwa akiyatumia vizuri yatamsaidia.
Atayatumia kama Deep freezer