secretarybird
JF-Expert Member
- Aug 22, 2024
- 15,566
- 29,227
Baada ya mechi nitakutafuta.Maamdalizi wapi kocha dugi wewe 🤣🤣🤣🤣
Weyw huna quality mzeya mie nawashauri kama wataka cheza nusu fainali basii muangalie wachezaji ambao walishawahi cheza semifinal msajiri msimu ujao. Haya mambo ya kusajiri kwa kuangalia mfuko mtalia nyie. Kama pale kulia kwa kapombe inabidi mshushe mdau wa sundowns
Usije ukajificha