Anastasia21
JF-Expert Member
- Jul 27, 2023
- 2,304
- 5,655
- Thread starter
- #161
😹😹🙌🏾Kama mnaamini kuwa hawezi soka basi nipeni nimwoe.
Taabu za nini?
😹😹🙌🏾Kama mnaamini kuwa hawezi soka basi nipeni nimwoe.
Taabu za nini?
Unasukuma tumbo mpaka unahisi njaa bado hujapiga miti, halafu ukipiga goli moja na kuanguka kama bata unaambiwa huna miguvu ya kiume.Mbususus mpaka usukume tumbo ndo uione italuwane tamu wewe
Tuzingatie muongozo😹🙌🏾Dah!😂🙌
Aziz Tena 🙌🏾 anahusika na nn dogo kutaka soka😹Anna vipi tena,mimi nilidhani baada ya kumteka Aziz K sasa baasi kumbe bado mnamtaka mwingine tena?
Kashaambiwa wanaume hawana miguvu ya kiume.Mweee unataka kutomberinh the dadas tuu
Au unamwonea wivu.😹😹🙌🏾
Itakuwa Hamisa kawapa muongozo.Aziz Tena 🙌🏾 anahusika na nn dogo kutaka soka😹
Mambo ya kawaida hayaAu unamwonea wivu.
Sijui Ata katupa muongozo😹Itakuwa Hamisa kawapa muongozo.
Kwani Yao kesha oa?
Sawa,wewe jipange tu mkuu.Sijui Ata katupa muongozo😹
Hahaha 😂Mambo ya kawaida haya
Utalata mualiko wa pasaka na utapata gift yakoNimewachoka na momy mmenikatalia ka gift Kwa ajili ya pasaka
Kuliko kufosi ni bure asubirie bwana tu asije haribu kote kote😂😂Unaweza kuta ata danadana 100 hapigi
Amlete kwangu nitamfundisha kupiga danadana na ugoko alafu jinsi ya kupiga chenga kama messiKuliko kufosi ni bure asubirie bwana tu asije haribu kote kote😂😂
Wale mabinti Wanaocheza ligi wengi huwa wapo academy za shule wanazosomea,Jaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
Timu ya mkoa upi mkuuJaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
Tupo darTimu ya mkoa upi mkuu
Mmmh sina hakika kwa hilo.Hakuna kipaji bibie. Kila siku tunadanganywa na wazungu.