fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 6,622
- 9,163
hakuna special issues kwa mwanamke kuhusu mpira wa miguu,anachotakiwa kikujua mwanaume kuhusu mpira ndio hicho hocho anatakiwa kukijua mwaname.muhimu zingatia haya:Jaman naweza pata muongozo au mwenye uelewa na team za mipira Kwa mtoto wa kike inatakiwa uwe na kigezo gani? Yaan inshort requirements?
1.chagua timu ya kushabikia kwenye ligi ya tanzania,uingereza,spain na italy
2.uwe na kisimbuzi cha azam na ulipe kifurushi cha 35,000
3.kama unajiweza kifedha uwe na kisimbuzi cha dstv na ulipe kifurushi cha 60,000
4.uwe unasikiliza wachambuzi wa michezo kwenye redio mbalimbali ili uujue mpira
5.uwe unaenda uwanjani kuangalia mpira.
ukifanya hayo baada ya miezi 2 tu utaujua mpira