Muongozo kuijunga team ya mpira hasa mwanamke?

Muongozo kuijunga team ya mpira hasa mwanamke?

Yeah, mchezaji wa kike anatakiwa awe na vitu vifuatavyo.

1. Awe na agility (Kasi)yaani awe mwepesi ili aweze kuendana na Kasi ya mchezo. ahimili miliki miliki kwa sababu Mpira wa miguu na kiteni na kindava haihitaji mtu lelemama

2. Awe na composure (utulivu). Utulivu WA mwili na akili ni wa muhimu Sana katika soka.

3. Endurance yaani kuwa fiti kimwili siyo upepo mkali ukipita unakuangusha. Mpira wa miguu na kitemi na kindava hauhitaji mtu lelemama.

4 Nidhamu, nidhamu, nidhamu.
Nidhamu😀😃
 
Back
Top Bottom