Robert Heriel Mtibeli
JF-Expert Member
- Mar 24, 2018
- 21,846
- 52,834
MUNGU WA WAYAHUDI "YEHOVA" hawezi HATAMBUI MWANAMKE KAMA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME. WANAWAKE WANAOJIITA WACHUNGAJI au MANABII WANA mungu MWINGINE
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
YEHOVA kama Mungu wa wayahudi hatambui cheo cha mwanamke kuwa mchungaji, Nabii, au Mtume.
Unapozungumzia Mungu, unazungumzia kitu kinaitwa sheria. Kwa sababu Mungu ni utawala, na hakuna utawala usio na sheria. Sasa unapomtaja Yehova lazima uzingatie sheria zake.
Yehova hamtambui Mwanamke kama Kiongozi. Yehova hamtambui Mwanamke kama mtawala. Zingatia Mchungaji, mtume au nabii ni cheo cha kiuongozi katika masuala ya kiroho.
Mchungaji wa nini? Anachunga kina nani anatumwa ña nani? Ujumbe wake anautoa kwa misingi ipi?
Ingawaje kwenye Biblia wapo wanawake waliotajwa na waandishi kama Manabii lakini ni kwa maoni na hisia tuu za waandishi na wala haiwi maana kuwa kuna manabii au mitume au wachungaji wakike.
Yehova sheria zake zimekaa kiitifaki.
Sio kwamba Yehova kamdharau Mwanamke, hapana bali yeye mwenyewe anasababu zake ambazo sisi hatuzijui.
Kwa sisi Watibeli pia, Wanawake hawawezi kuwa viongozi au watawala katika masuala ya kiimani(kiroho), kimwili, na kiakili na hata kihisia.
Mwanamke ataongoza na kutawala pale ambapo mwanaume hayupo.
Na Mwanamke atapewa nafasi ya kutawala na kuongoza lakini kwa sharti kuwa nyuma yake yupo au wapo wanaume wanaomuoñgoza.
Kiimani mwanamke hapaswi kuongoza mahali palipo na wanaume au mwanaume. Nazungumzia mwanaume mwenye umri kuanzia miaka ishirini na moja. Ila akiwa nyumbani anaweza kutoa huduma za mafundisho, maombi akiwa na watoto wake. Baba akiwepo ndiye ataongoza mambo yote,
Kuanguka kwa Nyumba au familia kutatokana na udhaifu wa kiongozi(Baba) kwa kushinda kuongoza familia hasa kwènye ishu za msingi ikiwemo suala la kiimani.
Mwanaume lazima aandaliwe kuongoza maisha yake, familia na jamii katika ñyanja zote.
Mwanaume anaweza akawa mahiri wa kutafuta mali lakini kama atashindwa kwenye kipengele cha imani, lazima familia itamsumbua.
Wanaume lazima waelewe kuwa huwezi kuongoza familia kama huna uelewa wowote na mambo ya kiimani.
Na Mwanamke hawezi kukuheshîmu kama hujamtiîsha roho yake yaani imani yake haujaitawala.
Sio ajabu unaweza ukawa na pesa au cheo kikubwa lakini Mkeo akawa anamsikiliza na kumheshimu mchungaji au padri au askofu wake kuliko wewe. Au anamsikiliza mganga wake kukuliko.
Taikon kila mara naeleza kuwa, future ya Utawala na uongozi wa familia upo katika namna ulivyomjenga na kumtawala mkeo na familia yako kiimani.
Na hakuna mchungaji,nabii wala mtume mwanamke. Iwe kwenye familia yako, jamii au taifa.
Mke akiwa mchungaji, au nabii au mtume automatically amejipa nao ujiingiza katika nafasi ya mwanaume. Yaani hapo tunasema kama mkeo ni mchungaji au nabii au mtume basi umeoa mwanaume mwenzio. Na naturally lazima mtaachana tuu.
Hivyo simshangai Christina Shusho kwani hivyo ndivyo ilivyo.
Mwanamke anaweza kuwa Mwalimu lakini sio mchungaji, nabii au mtume.
Mwanamke atakuwa mchungaji, nabii au mtume kama ametumwa na Mungu asiyeitwa Yehova, Allah na yule Mungu wa Tibeli.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
YEHOVA kama Mungu wa wayahudi hatambui cheo cha mwanamke kuwa mchungaji, Nabii, au Mtume.
Unapozungumzia Mungu, unazungumzia kitu kinaitwa sheria. Kwa sababu Mungu ni utawala, na hakuna utawala usio na sheria. Sasa unapomtaja Yehova lazima uzingatie sheria zake.
Yehova hamtambui Mwanamke kama Kiongozi. Yehova hamtambui Mwanamke kama mtawala. Zingatia Mchungaji, mtume au nabii ni cheo cha kiuongozi katika masuala ya kiroho.
Mchungaji wa nini? Anachunga kina nani anatumwa ña nani? Ujumbe wake anautoa kwa misingi ipi?
Ingawaje kwenye Biblia wapo wanawake waliotajwa na waandishi kama Manabii lakini ni kwa maoni na hisia tuu za waandishi na wala haiwi maana kuwa kuna manabii au mitume au wachungaji wakike.
Yehova sheria zake zimekaa kiitifaki.
Sio kwamba Yehova kamdharau Mwanamke, hapana bali yeye mwenyewe anasababu zake ambazo sisi hatuzijui.
Kwa sisi Watibeli pia, Wanawake hawawezi kuwa viongozi au watawala katika masuala ya kiimani(kiroho), kimwili, na kiakili na hata kihisia.
Mwanamke ataongoza na kutawala pale ambapo mwanaume hayupo.
Na Mwanamke atapewa nafasi ya kutawala na kuongoza lakini kwa sharti kuwa nyuma yake yupo au wapo wanaume wanaomuoñgoza.
Kiimani mwanamke hapaswi kuongoza mahali palipo na wanaume au mwanaume. Nazungumzia mwanaume mwenye umri kuanzia miaka ishirini na moja. Ila akiwa nyumbani anaweza kutoa huduma za mafundisho, maombi akiwa na watoto wake. Baba akiwepo ndiye ataongoza mambo yote,
Kuanguka kwa Nyumba au familia kutatokana na udhaifu wa kiongozi(Baba) kwa kushinda kuongoza familia hasa kwènye ishu za msingi ikiwemo suala la kiimani.
Mwanaume lazima aandaliwe kuongoza maisha yake, familia na jamii katika ñyanja zote.
Mwanaume anaweza akawa mahiri wa kutafuta mali lakini kama atashindwa kwenye kipengele cha imani, lazima familia itamsumbua.
Wanaume lazima waelewe kuwa huwezi kuongoza familia kama huna uelewa wowote na mambo ya kiimani.
Na Mwanamke hawezi kukuheshîmu kama hujamtiîsha roho yake yaani imani yake haujaitawala.
Sio ajabu unaweza ukawa na pesa au cheo kikubwa lakini Mkeo akawa anamsikiliza na kumheshimu mchungaji au padri au askofu wake kuliko wewe. Au anamsikiliza mganga wake kukuliko.
Taikon kila mara naeleza kuwa, future ya Utawala na uongozi wa familia upo katika namna ulivyomjenga na kumtawala mkeo na familia yako kiimani.
Na hakuna mchungaji,nabii wala mtume mwanamke. Iwe kwenye familia yako, jamii au taifa.
Mke akiwa mchungaji, au nabii au mtume automatically amejipa nao ujiingiza katika nafasi ya mwanaume. Yaani hapo tunasema kama mkeo ni mchungaji au nabii au mtume basi umeoa mwanaume mwenzio. Na naturally lazima mtaachana tuu.
Hivyo simshangai Christina Shusho kwani hivyo ndivyo ilivyo.
Mwanamke anaweza kuwa Mwalimu lakini sio mchungaji, nabii au mtume.
Mwanamke atakuwa mchungaji, nabii au mtume kama ametumwa na Mungu asiyeitwa Yehova, Allah na yule Mungu wa Tibeli.
Acha nipumzike sasa.
Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam