Mungu wa Wayahudi "Yehova" hawezi hatambui Mwanamke kama Mchungaji, Nabii au mtume. Wanawake wanajiita wachungaji au manabii wana mungu mwingine.

Robert Heriel Mtibeli

JF-Expert Member
Mar 24, 2018
21,846
52,834
MUNGU WA WAYAHUDI "YEHOVA" hawezi HATAMBUI MWANAMKE KAMA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME. WANAWAKE WANAOJIITA WACHUNGAJI au MANABII WANA mungu MWINGINE

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

YEHOVA kama Mungu wa wayahudi hatambui cheo cha mwanamke kuwa mchungaji, Nabii, au Mtume.

Unapozungumzia Mungu, unazungumzia kitu kinaitwa sheria. Kwa sababu Mungu ni utawala, na hakuna utawala usio na sheria. Sasa unapomtaja Yehova lazima uzingatie sheria zake.

Yehova hamtambui Mwanamke kama Kiongozi. Yehova hamtambui Mwanamke kama mtawala. Zingatia Mchungaji, mtume au nabii ni cheo cha kiuongozi katika masuala ya kiroho.

Mchungaji wa nini? Anachunga kina nani anatumwa ña nani? Ujumbe wake anautoa kwa misingi ipi?

Ingawaje kwenye Biblia wapo wanawake waliotajwa na waandishi kama Manabii lakini ni kwa maoni na hisia tuu za waandishi na wala haiwi maana kuwa kuna manabii au mitume au wachungaji wakike.

Yehova sheria zake zimekaa kiitifaki.
Sio kwamba Yehova kamdharau Mwanamke, hapana bali yeye mwenyewe anasababu zake ambazo sisi hatuzijui.

Kwa sisi Watibeli pia, Wanawake hawawezi kuwa viongozi au watawala katika masuala ya kiimani(kiroho), kimwili, na kiakili na hata kihisia.

Mwanamke ataongoza na kutawala pale ambapo mwanaume hayupo.
Na Mwanamke atapewa nafasi ya kutawala na kuongoza lakini kwa sharti kuwa nyuma yake yupo au wapo wanaume wanaomuoñgoza.

Kiimani mwanamke hapaswi kuongoza mahali palipo na wanaume au mwanaume. Nazungumzia mwanaume mwenye umri kuanzia miaka ishirini na moja. Ila akiwa nyumbani anaweza kutoa huduma za mafundisho, maombi akiwa na watoto wake. Baba akiwepo ndiye ataongoza mambo yote,
Kuanguka kwa Nyumba au familia kutatokana na udhaifu wa kiongozi(Baba) kwa kushinda kuongoza familia hasa kwènye ishu za msingi ikiwemo suala la kiimani.

Mwanaume lazima aandaliwe kuongoza maisha yake, familia na jamii katika ñyanja zote.
Mwanaume anaweza akawa mahiri wa kutafuta mali lakini kama atashindwa kwenye kipengele cha imani, lazima familia itamsumbua.

Wanaume lazima waelewe kuwa huwezi kuongoza familia kama huna uelewa wowote na mambo ya kiimani.
Na Mwanamke hawezi kukuheshîmu kama hujamtiîsha roho yake yaani imani yake haujaitawala.
Sio ajabu unaweza ukawa na pesa au cheo kikubwa lakini Mkeo akawa anamsikiliza na kumheshimu mchungaji au padri au askofu wake kuliko wewe. Au anamsikiliza mganga wake kukuliko.

Taikon kila mara naeleza kuwa, future ya Utawala na uongozi wa familia upo katika namna ulivyomjenga na kumtawala mkeo na familia yako kiimani.

Na hakuna mchungaji,nabii wala mtume mwanamke. Iwe kwenye familia yako, jamii au taifa.

Mke akiwa mchungaji, au nabii au mtume automatically amejipa nao ujiingiza katika nafasi ya mwanaume. Yaani hapo tunasema kama mkeo ni mchungaji au nabii au mtume basi umeoa mwanaume mwenzio. Na naturally lazima mtaachana tuu.

Hivyo simshangai Christina Shusho kwani hivyo ndivyo ilivyo.

Mwanamke anaweza kuwa Mwalimu lakini sio mchungaji, nabii au mtume.

Mwanamke atakuwa mchungaji, nabii au mtume kama ametumwa na Mungu asiyeitwa Yehova, Allah na yule Mungu wa Tibeli.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
 
Mbona pale kati ni patamu sana Yehova alizidisha kipimo cha sukar guru au akati anapima sukar ikamwagiikia pale kati akaamua asilibe tu bila kupunguza.....
 
MUNGU WA WAYAHUDI "YEHOVA" hawezi HATAMBUI MWANAMKE KAMA MCHUNGAJI, NABII AU MTUME. WANAWAKE WANAOJIITA WACHUNGAJI au MANABII WANA mungu MWINGINE

Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli

YEHOVA kama Mungu wa wayahudi hatambui cheo cha mwanamke kuwa mchungaji, Nabii, au Mtume.

Unapozungumzia Mungu, unazungumzia kitu kinaitwa sheria. Kwa sababu Mungu ni utawala, na hakuna utawala usio na sheria. Sasa unapomtaja Yehova lazima uzingatie sheria zake.

Yehova hamtambui Mwanamke kama Kiongozi. Yehova hamtambui Mwanamke kama mtawala. Zingatia Mchungaji, mtume au nabii ni cheo cha kiuongozi katika masuala ya kiroho.

Mchungaji wa nini? Anachunga kina nani anatumwa ña nani? Ujumbe wake anautoa kwa misingi ipi?

Ingawaje kwenye Biblia wapo wanawake waliotajwa na waandishi kama Manabii lakini ni kwa maoni na hisia tuu za waandishi na wala haiwi maana kuwa kuna manabii au mitume au wachungaji wakike.

Yehova sheria zake zimekaa kiitifaki.
Sio kwamba Yehova kamdharau Mwanamke, hapana bali yeye mwenyewe anasababu zake ambazo sisi hatuzijui.

Kwa sisi Watibeli pia, Wanawake hawawezi kuwa viongozi au watawala katika masuala ya kiimani(kiroho), kimwili, na kiakili na hata kihisia.

Mwanamke ataongoza na kutawala pale ambapo mwanaume hayupo.
Na Mwanamke atapewa nafasi ya kutawala na kuongoza lakini kwa sharti kuwa nyuma yake yupo au wapo wanaume wanaomuoñgoza.

Kiimani mwanamke hapaswi kuongoza mahali palipo na wanaume au mwanaume. Nazungumzia mwanaume mwenye umri kuanzia miaka ishirini na moja. Ila akiwa nyumbani anaweza kutoa huduma za mafundisho, maombi akiwa na watoto wake. Baba akiwepo ndiye ataongoza mambo yote,
Kuanguka kwa Nyumba au familia kutatokana na udhaifu wa kiongozi(Baba) kwa kushinda kuongoza familia hasa kwènye ishu za msingi ikiwemo suala la kiimani.

Mwanaume lazima aandaliwe kuongoza maisha yake, familia na jamii katika ñyanja zote.
Mwanaume anaweza akawa mahiri wa kutafuta mali lakini kama atashindwa kwenye kipengele cha imani, lazima familia itamsumbua.

Wanaume lazima waelewe kuwa huwezi kuongoza familia kama huna uelewa wowote na mambo ya kiimani.
Na Mwanamke hawezi kukuheshîmu kama hujamtiîsha roho yake yaani imani yake haujaitawala.
Sio ajabu unaweza ukawa na pesa au cheo kikubwa lakini Mkeo akawa anamsikiliza na kumheshimu mchungaji au padri au askofu wake kuliko wewe. Au anamsikiliza mganga wake kukuliko.

Taikon kila mara naeleza kuwa, future ya Utawala na uongozi wa familia upo katika namna ulivyomjenga na kumtawala mkeo na familia yako kiimani.

Na hakuna mchungaji,nabii wala mtume mwanamke. Iwe kwenye familia yako, jamii au taifa.

Mke akiwa mchungaji, au nabii au mtume automatically amejipa nao ujiingiza katika nafasi ya mwanaume. Yaani hapo tunasema kama mkeo ni mchungaji au nabii au mtume basi umeoa mwanaume mwenzio. Na naturally lazima mtaachana tuu.

Hivyo simshangai Christina Shusho kwani hivyo ndivyo ilivyo.

Mwanamke anaweza kuwa Mwalimu lakini sio mchungaji, nabii au mtume.

Mwanamke atakuwa mchungaji, nabii au mtume kama ametumwa na Mungu asiyeitwa Yehova, Allah na yule Mungu wa Tibeli.

Acha nipumzike sasa.

Robert Heriel
Taikon wa Fasihi
Kwa sasa Dar es salaam
Soma torati utawakuta manabii wanawake. Pia Mungu aliwatumia ktk mambo muhimu mfano Ester.
 
Watakuelewa wachache lakini ulichokiandika ni ukweli mtupu,kazi ya usimamizi na uchungaji wa kanisa la Mungu (au watu wa Mungu), ni kazi ya UKUHANI, (na ndiyo aliyokuwa akiifanya mtume Paulo.

Warumi 15:15 Lakini nawaandikia, kwa ujasiri zaidi katika sehemu za waraka huu, kana kwamba kuwakumbusha, kwa neema ile niliyopewa na Mungu,
ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, NIIFANYIE INJILI YA MUNGU KAZI YA UKUHANI, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali, ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu

Na katika maandiko matakatifu hakukuwa na hakuna Kuhani yo yote yule wa Mungu ambaye ni mwanamke, (hata Baali hawakuwa na makuhani wa kike katika maandiko).

Ndivyo ilivyo na sasa pia katika agano jipya kuwa, wanawake wanayosehemu yao ya utumishi katika kuihudumia injili ya Kristo lakini si katika ukuhani (yaani Usimamizi na uchungaji wa makanisa.
 
Watakuelewa wachache lakini ulichokiandika ni ukweli mtupu,kazi ya usimamizi na uchungaji wa kanisa la Mungu (au watu wa Mungu), ni kazi ya UKUHANI, (na ndiyo aliyokuwa akiifanya mtume Paulo.

Warumi 15:15 Lakini nawaandikia, kwa ujasiri zaidi katika sehemu za waraka huu, kana kwamba kuwakumbusha, kwa neema ile niliyopewa na Mungu,
ili niwe mhudumu wa Kristo Yesu kati ya watu wa Mataifa, NIIFANYIE INJILI YA MUNGU KAZI YA UKUHANI, kusudi Mataifa wawe sadaka yenye kibali, ikiisha kutakaswa na Roho Mtakatifu

Na katika maandiko matakatifu hakukuwa na hakuna Kuhani yo yote yule wa Mungu ambaye ni mwanamke, (hata Baali hawakuwa na makuhani wa kike katika maandiko).

Ndivyo ilivyo na sasa pia katika agano jipya kuwa, wanawake wanayosehemu yao ya utumishi katika kuihudumia injili ya Kristo lakini si katika ukuhani (yaani Usimamizi na uchungaji wa makanisa.

Ni kweli kabisa
 
Nashangaa wakatoliki, ni kwa nini mwanamke haruhusiwi kuwa padri? Sababu finyo isiyo na mashiko ni kuwa Yesu hakuwa na mitume wanawake. Mimi nimehama ukatoliki, naamini dini yangu ya jadi. DNA yangu inaendana na mababu zangu, sio wayahudi.
 
Nabii al masih isa ibn Maryam

nabii dawuid

nabii suleiymaan

nabii ibrahim

nabii Adaam

nabii luuthu

mtume Muhammad S.A.W

😃😃😃
 
55
Nashangaa wakatoliki, ni kwa nini mwanamke haruhusiwi kuwa padri? Sababu finyo isiyo na mashiko ni kuwa Yesu hakuwa na mitume wanawake. Mimi nimehama ukatoliki, naamini dini yangu ya jadi. DNA yangu inaendana na mababu zangu, sio wayahudi.

Hata dini za kijadi zenye miungu yenye nguvu Mwanamke hawi Kuhani
 
Ni dini ya kiyahudi haitambui hiyo ila injili ya Yesu Kristo inatambua watu wote ni sawa katika kuhubiri injili

Mtu yeyote anaweza kuwasiliana mhubiri lakini sio kila mtu anaweza kua mchungaji.
Tofautisha uhubiri, kutoa mawaidha na kuitwa mchungaji
 
Mwanamke anapenda kudanganywa halafu ana danganyika kiurahisi , hivyo hawezi kuisimamia kweli . Mwanamke huwa anaongozwa na hisia kuliko akili .
 
1 Timotheo 3:2 Tit 1:6-8; Rum 12:13; 2Tim 2:24Basi, imempasa mwangalizi awe mtu asiye na lawama, mume wa mke mmoja, mwenye kiasi, anayejitawala, anayeheshimika, mkarimu, ajuaye kufundisha, 33:3 2Tim 2:24; Lk 16:14; 1Pet 5:2asiwe mlevi, wala mkali bali awe mpole, asiwe mgomvi wala mpenda fedha. 43:4 Tit 1:6Lazima aweze kuisimamia nyumba yake mwenyewe vizuri na kuhakikisha kwamba watoto wake wanamtii na kuwa na heshima kwa kila njia. 53:5 1Kor 10:32(Kwa maana kama mtu hajui jinsi ya kusimamia nyumba yake mwenyewe, atawezaje kuliangalia kanisa la Mungu?) 63:6 1Tim 6:4Asiwe mtu aliyeokoka karibuni asije akajivuna na kuangukia kwenye hukumu ile ile ya ibilisi. 7
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom