Mungu nisifikie kukata tamaa

Mungu nisifikie kukata tamaa

Udhaifu kitu gani bhana, watu tumeolewa lkn kuna muda unakwama hd unaomba msaada nyumbani.
Mtoto kwa mzazi hakui.

Sent using Jamii Forums mobile app
nime survive miez miwili na hii hali last month hom walinipiga tafu n ghetto nna mali ambazo kuziacha ni ngum since mother house ni kivuruge na ana funguo inayofungua kila chumba cha nyumba yake

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423

IMG_1650.JPG
 
Hiki kipindi napitia maisha magumu sana

Nimefukuzwa kazi

Nadaiwa kodi ya miezi mitatu

A 5000 ya umeme

Sina hela

Ndani nina unga tu mboga na hata mchele sina

Nipo mikoa ya mbali na nyumbani

Nimejifungia ndani nashindwa kutoka coz mama mwenye nyumba ni kivuruge na ananidai 5000

Nina mpenzi ambaye anajitahidi kufahamu kipindi ninachopitia ila bado hapati jibu coz i act as if sina matatizo

Nina siku mbili sijala kwa ridhaa yangu yaani nakula kwa kuibia

Natamani kurudi home nauli sina na naona ni udhaifu mkubwa kurudi kukaa na mama na am 24yrs old

Akili inachoka nahisi kuanguka

EEE MUNGU PAMOJA NA MAPITO HAYA NISIFIKIE KUKATA TAMAA

HAYA NI MADOGO KULINGANISHA NA WENZANGU

NISITAMANI KUJIUA

KWA AKILI YA KIBINADAMU UWEZO UNANISHINDA

NAKUOMBA MUNGU UTIMIZE HAJA ZA MOYO WANGUView attachment 1062423
Komaa machungu yakizidi utamu uko karibu
 
natamani kuuza vitu ila nilipata kiugum n nahis ntauza kwa hasara sababu ya hali yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
So nini ambacho unaona kitakufaa kwa sasa?

Kodi ya nyumba,
Nauli kurudi nyumbani
Hela ya umeme au ni nini?

Kodi ni kiasi gani na unadaiwa ya miezi mingapi?

Ushauri wangu:
Lipa kodi hata nusu tu alafu upate na kidogo ya kununua chakula ndani kisha ingia mtaani uhangaike, wakati huu usione aibu hata kupiga debe piga mradi unatafuta kwa halali. Kujifungia ndani na kusononeka sio suluhu mkuu.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom