WALOLA VUNZYA
JF-Expert Member
- Nov 20, 2020
- 5,610
- 5,276
Unajifanya kipofu bado zamu yako siku moja utaomboleza tu kama Sukuma gang wanavyoomboleza leo, tuliwaambia sana wakatuita vibaraka wa mabeberu na kila kejeli za kila aina lakini leo wanaomba Mungu wao afufuke ili wapumue na wewe muda wako ukifika tutakwambia endelea kulamba viatu.Nani alikuibia kura yako uliyopigaa na ulimpigia Nani ukaambiwa kuwa Kura yako haijaonekana kwenye boksi