Dr Ahmed Albah-Shahwa
JF-Expert Member
- Apr 12, 2022
- 850
- 1,595
Kwani hao watu wameongezeka mwaka huu tu mwaka jana mbona hatukuwa na hii shida kipindi cha mwendazake acha siasa tunahitaji maji na umeme.Maji yapo kila sehemu Ila sema kwa kuwa idadi ya watu inaongezeka ndio imeleta changamoto ya kutotosheleza Mahitaji ya watu wote, kwa kutambua Hilo serikali imeongeza bajeti yake ili kutekeleza miradi ya maji maeneo mengi ya nchi yetu, hapa majuzi wewe Ni shahidi umeona Rais wetu akizindua mitambo mikubwa ya kuchimba visima virefu vya maji vitakavyo saidia katika kumaliza tatizo la maji