Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

inafurahisha hata mataifa tuliyodhani yana matatizo ya kisiasa na kikabila kama vile algeria na kenya kutumia yanayoendelea huko misri kuleta umoja wa kitaifa na kuwa kitu kimoja ila hali hiyo ni tofauti hapa kwetu ambapo tusio wana ccm tumetangaziwa wazi kwamba ile team ya wendawazimu ambao kila mtu anajifunzia kunyoa haituhusu
kesho wendawazimu hao wanaenda kukutana na mbweha the fox wa jangwani toka algeria,mara ya mwisho wendawazimu hao wa lumumba walipigwa 7-0
Naomba nichukue nafasi kumuomba Mungu awabariki Algeria wapige goals 9-0 hapo kesho.Amen.
Ameen
 
Jamaa alitaka kuhalalisha ushindi wa ccm kwa kupitia taifa stars.. kumbe shetani hajafa.

Wanaogopa 2020 kitawaka ndio maana wamehaha hii miaka 4 na wananchi wamekomaa kutowaelewa.

Na walipo sikia tundu lissu a arudi ndio wamechanganyikiwa maana wanajua lolote laweza kutokea hasa akichukua form ya urais.

Kwa kuwa katiba ina bana mtu aliye futiwa ubunge kugombea ndio maana wameamua kupiga chini ubunge wake ili asigombee 2020.

Magufuli mwoga kama kunguru lakini 2020 zomea zomea kama kawa hata alete wanyarwanda wake.
Tatizo wanaccm wanashindwa kujua mipaka ya siasa. Wao kila kitu ni siasa. Wampeleke Jecha akafanye mambo. Taifa Stars itashinda kama vile CCM inavyoshinda kwenye chaguzi.
Wao walidhani mpira ni siasa. Nitaishabikia Taifa Stars ile isiyokuwa na chama yaani ya watu wote. Hii naichukulia kama CCM Stars.
 
hahah hutaki kunipa assist?
siku ukija idodomiya fanya nijue ndg mwananchi mkereketwa
Yaan nahesab sik huku mm..nimejichokea balaa...hope 10th ntapita hapo aisee .nile bata kidg niendelee na safar
 
Ewaaaa.... maana uwaziri inaweza kuwa tabu. Naweza pewa ubalozi nawe ukahamia mjengoni ukawa Angel wa mzee baba
Mzee anapenda wasomi hata yule mheshimiwa wa Kisarawe ameenda shule. Niandikishe kwa Ras Simba hubby
 
Back
Top Bottom