Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Mungu ibariki Algeria kesho dhidi ya CCM

Ikitokea CCM Stars wanaifunga Algeria itakuwa miracle na ajabu la dunia.
Kama walishindwa kuifunga Kenya. Hapo sahau maana Senegal mwenyewe ameshindwa kuifunga itakuwa kwa hawa timu Jecha? Mpira na siasa ni kama mafuta na maji.
Unaukumbuka huu uzi? Mungu sikia maombi yetu: Kama Taifa stars ni Mali ya CCM basi tuomba utende mema kwa HARAMBEE STARS kwa maana ushindi wa CCM ni mwizi kwenye KURA
Kama yalitimia CCM haina baraka za Mungu. Kenya wametoka nyuma, mpaka imefikisha magoli 3-2.
 
Tatizo wanaccm wanashindwa kujua mipaka ya siasa. Wao kila kitu ni siasa. Wampeleke Jecha akafanye mambo. Taifa Stars itashinda kama vile CCM inavyoshinda kwenye chaguzi.
Wao walidhani mpira ni siasa. Nitaishabikia Taifa Stars ile isiyokuwa na chama yaani ya watu wote. Hii naichukulia kama CCM Stars.
Wanadhani Mpira ni sawa na kuiba masanduku ya kura na kukimbia nayo wajaze kura warudishe.

Wanadhani Mpira ni sawa na kuzuia mawakala wasiingie kwenye vyumba vya kupigia kura.

Wanadhani Mpira ni sawa na kuwashikia mitutu mawakala wa upinzani wasign matokeo ya uongo.

Eti watashinda kama ccm inavyoshinda , mkuu hawa wajinga labda wakaibe kombe maana ccm haijawahi kushinda hata sikumoja.
 
Hivi Bashite hajarudi TZ bado?
Ngoja afanye press tuone kama ataendelea kuongea ujinga tena.
anawanunulia viatu na kuwasainia utadhani yeye ni Denzel washington na wendawazimu wakiongozwa na mbwana samatta wanachekacheka kama wagonjwa wa akili vilevile bado yupo huko maana kiwango cha aishi manula kinazidi kumkuna anaweza akamuongezea milion 10 nyingine you never know.
 
Kama walishindwa kuifunga Kenya. Hapo sahau maana Senegal mwenyewe ameshindwa kuifunga itakuwa kwa hawa timu Jecha? Mpira na siasa ni kama mafuta na maji.
Unaukumbuka huu uzi? Mungu sikia maombi yetu: Kama Taifa stars ni Mali ya CCM basi tuomba utende mema kwa HARAMBEE STARS kwa maana ushindi wa CCM ni mwizi kwenye KURA
Kama yalitimia CCM haina baraka za Mungu. Kenya wametoka nyuma, mpaka imefikisha magoli 3-2.
Tuwaongezea nguvu Waarabu na kufurahia waliozoea kuchakachua wakigalagazwa.
 
Anahisi kwamba viatu ndiyo vinafanya wafungwe[emoji23][emoji23]. Ametumia hela zake za dhulma kuwavalisha wachezaji.

Yaani watafungwa maana ashawatia nuksi na hela zake za dhulma.
Hata samatta na msuva nao ni wajinga wanasema eti wanawakilisha serikali ya awamu ya tank na ilani ya sisiemu sasa sijui watz wote tupo gambaz ama LA..
 
Anahisi kwamba viatu ndiyo vinafanya wafungwe[emoji23][emoji23]. Ametumia hela zake za dhulma kuwavalisha wachezaji.

Yaani watafungwa maana ashawatia nuksi na hela zake za dhulma.
dah wahindi wa kariakoo wamepigwa hadi wengine hawana hamu wamekimbilia zambia na kenya.zinanunua viatu sasa na kutapanywa hovyohovyo na anajenga bonge la petrol station ukiwa unatoka mzani wa usagara mwanza kila mtu analijua hilo,kam alivyosema yeye ndiye anaongoza kula bata alikuwa hatanii kijana yule mpendwa
 
Hahaha, kosa langu nini?. Bac mfate bashite ukamuchambe PM au inbox ya instagram/tweeter.[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama hautaki michambo yako tuisome
Kosa lako ni kufuatilia kimya kimya[emoji23][emoji23].
Ningekuwa na uwezo ningemfuata ni mlambe makofi. Eti Michambo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tufungwe magoli mengi

Kadri ya uwezo wao

Watajiaibisha sana algeria , wakifungwa na haws taifa staa sio stars
 
Back
Top Bottom