Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Huyu Kisai hana uthibitisho wowote wa anacho kisema ana zunguka zunguka tu na ubishi wake bila kuwa na hoja zenye uthibitisho naona ni mawazo yake anajaribu Kuyafosi bila kuleta uthibitisho
Hili nimeshalithibitisha zaidi ya mara mbili humu ndani jf. Sasa tumalizane na maswlai niliyo uliza Kisha nitajibu maswali yenu ila msikimbie maswali yangu.
 
Hili nimeshalithibitisha zaidi ya mara mbili humu ndani jf. Sasa tumalizane na maswlai niliyo uliza Kisha nitajibu maswali yenu ila msikimbie maswali yangu.
Kwanza nikuulize, Unahisi Mungu yupo au una uhakika na uthibitisho Mungu yupo?...una Hisia kuwepo Mungu au una ushahidi na uthibitisho kuwepo Mungu?
 
Tofauti yangu Mimi na nyinyi ni kuwa Mimi ninajua Nina as chokijadili na hakuka yake.

Huwezi kuniambia ya kuwa kuwepo majanga ni uthibitisho ya kuwa Mola hayupo. Ninapokwambia jibu maswali yangu maana yake hujajibu swali.

Maana ya uthibitisho ni kutoa shaka juu ya jambo Fulani yaani uhalisia.
Kipimo kipi unakitumia tujue kuwa unajua unachokijadili !?


Sasa kama hutaki kuamini kuwa uwapo WA majanga ni dalili za kutokuwapo mungu , Ile mantiki ya mungu kuwa ana upendo na huruma anawezaje kuruhusu majanga na matukio ya kuogofya yawe sehemu ya binadamu anaowapenda ?


Wewe kama mzazi unaweza kumfumgia Mtoto wako unaemzaa akiwa na chatu na ukaja kusema kuwa unampenda mtoto wako ?



Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Siwezi kuvielezea sana hivyo vitu kwa sababu sijavipa nafasi katika maisha yangu .

N.b: Nimevipa nafasi zaidi vitu vya kuonekana.
vitu vya kuonekana kama vile jua,mwezi,nyota,bahari,magimba mbalimbali na ulimwengu wenyewwe kwa ujumla,vp vitu vyote hivyo vya kuonekana kwa maelezo yako vimetokea vyenyewe au kuna nguvu flani imehusika existance yake.
 
vitu vya kuonekana kama vile jua,mwezi,nyota,bahari,magimba mbalimbali na ulimwengu wenyewwe kwa ujumla,vp vitu vyote hivyo vya kuonekana kwa maelezo yako vimetokea vyenyewe au kuna nguvu flani imehusika existance yake.
Hiyo nguvu iliyo umba hivi vitu ipo....Lakini huwezi kuita hiyo nguvu kwa Jina eti ni "Mungu" na kuihalalisha kwa jamii nzima ikubali hivyo bila kutoa uthibitisho kamili...kwanza hiyo "Nguvu" kwa nini ipewe jina Mungu? Nani ali ita hii nguvu kwa jina "Mungu" ni nani huyo?

Kwa nini isiwe jina lingine na iwe "Mungu"...???
 
Hiyo nguvu iliyo umba hivi vitu ipo....Lakini huwezi kuita hiyo nguvu kwa Jina eti ni "Mungu" na kuihalalisha kwa jamii nzima ikubali hivyo bila kutoa uthibitisho kamili...kwanza hiyo "Nguvu" kwa nini ipewe jina Mungu? Nani ali ita hii nguvu kwa jina "Mungu" ni nani huyo???????? Kwa nini isiwe jina lingine na iwe "Mungu"...???
hapo tuko pamoja hilo jina ni wajanja flani tu walikaa wakatunga ,ila halina uhalisa wowote na wangeweza kuita jina lolote ambalo wangeamua,na pia hilo jina Mungu nadhani linatumia afrika mashariki tu ila kila jamii ina jina lake kwalo.ingawa kutungwa jina hilo la uongo haiondoi ukweli kwamba kuna nguvu ipo ambayo ndio chanzo cha haya magimba yote ya asili tunayoayaona na nadhani kuna mengine hatuyaoni,hatujui jina la hiyo nguvu lakini haiondoi ukweli kwamba ipo
 
uk
kumbe haujanielewa kwani mwili wako ukiliwa na simba si unaenda kuendeleza uhai wa simba , ukizikwa unaoza miti inaota uhai unapatikana mazao yanastawi watu wanakula chakula uhai unaendelea ukifa niume change tu kwenye form nyingne uwezo mwingne kuendeleza uhai mwingne hakuna kitu chenye mwisho
ukiyayushwa na acid unaendeleza nini
 
vitu vya kuonekana kama vile jua,mwezi,nyota,bahari,magimba mbalimbali na ulimwengu wenyewwe kwa ujumla,vp vitu vyote hivyo vya kuonekana kwa maelezo yako vimetokea vyenyewe au kuna nguvu flani imehusika existance yake.
Kwani wewe ume kusudia hasa nini cha kusema maana sijaelewa dhumuni la maandishi yako.
 
Inshort maelezo yako haya eleweki kama una uliza swali au una nifundisha sijui kuhusu nini hasa, ya weke vizuri maelezo yako.
mbona hakuna sehemu imetoa maelezo,nimeuliza swali sio lazima kujua kila swali mkuu ndio maana humu tunatofautiana ufahamu
 
Back
Top Bottom