Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Sifa sio uhalisia

Mi najadili uhalisia

Spiderman, Superman, Batman wote hao wana sifa moja ya kupaa angani na kuwaokoa watu kwenye matatizo lakini je ndio iko hivyo kiuhalisia?
joto ni halisi au sio halisi ? harufu ni halisi au sio halisi , uchungu je ? kitu kutoonekana haimaanishi kitu hiko hakipo sifa yake tu inaonyesha kitu hiko kipo katika frequence za juu zaidi ambazo haziwezi onekana kwa macho ya kawaida.
 
Unavyosema ustadi mkubwa unapimaje?

Ulimwengu wenye mabalaa hadi ya asili utasemaje umeumbwa kwa ustadi mkubwa?

"Ukifa unaenda wapi?" hilo ndio swali gani sasa?

Mwili uliokufa hauwezi kufanya movement yeyote ya kwenda popote, hizi habari za kusema adhabu ya kaburi sijui kuna mijoka itakufata kaburini kukung'ata, kwangu ni habari za kitoto

Kwanza hoja kama hiyo imefikiria upande mmoja tu wa coin, kuwa kila mtu atakufa na mwli wake utazikwa kaburini.

Hoja hiyo haijafikiria upande wa pili wa coin kwa wale walioliwa na simba, kupata ajali ya moto mwili kuungua wote bia kupa masalia, na waliozikwa kwa kuchomwa moto watahusika vipi na hiyo mijoka inayotoa adhabu ndani ya kaburi?
kumbe haujanielewa kwani mwili wako ukiliwa na simba si unaenda kuendeleza uhai wa simba , ukizikwa unaoza miti inaota uhai unapatikana mazao yanastawi watu wanakula chakula uhai unaendelea ukifa niume change tu kwenye form nyingne uwezo mwingne kuendeleza uhai mwingne hakuna kitu chenye mwisho
 
Kila mtu anaamini kuwa kuna mwanzo wa vitu vyote, hao atheists ni watu gani? Au ni wapinga dini? Hata mpinga dini anaamini kuna mwanzo wa vitu vyote.

Sent using Jamii Forums mobile app
Naam atheists ni wapinga Dini,

Safi Mkuu, nami ndo lengo la kuanzisha huu uzi, nipate kuwaelewa ukweli wa kuwaelewa.

Maana nina hakika wapo wenye hoja zenye mashiko ila wengine wafuata mkumbo wanawafanya atheists wote waonekane hawana maana.
 
Unavyosema ustadi mkubwa unapimaje?

Ulimwengu wenye mabalaa hadi ya asili utasemaje umeumbwa kwa ustadi mkubwa?

"Ukifa unaenda wapi?" hilo ndio swali gani sasa?

Mwili uliokufa hauwezi kufanya movement yeyote ya kwenda popote, hizi habari za kusema adhabu ya kaburi sijui kuna mijoka itakufata kaburini kukung'ata, kwangu ni habari za kitoto

Kwanza hoja kama hiyo imefikiria upande mmoja tu wa coin, kuwa kila mtu atakufa na mwli wake utazikwa kaburini.

Hoja hiyo haijafikiria upande wa pili wa coin kwa wale walioliwa na simba, kupata ajali ya moto mwili kuungua wote bia kupa masalia, na waliozikwa kwa kuchomwa moto watahusika vipi na hiyo mijoka inayotoa adhabu ndani ya kaburi?
nani kakuambia hayo unayoita mabalaa ni mabalaa kweli nipe mfano wa kitu unachohisi ni balaa nikupe faida zake kuendeleza uhai
 
kwann unabinafsisha jina Mungu ? hilo ni jina tu , tumelitunga sisi binadamu ile kuelewa ile supernatural power ,siwezi ongelea dini kwa sababu kbla ya dini imani ilikuepo tu , dini ni tamaduni za kigeni tu wala hazna muunganiko na nguvu ya uumbaji ni taasisi tu tumejiwekea ya kufikia ile nguvu angalau , kiufupi uhai ndo Mungu mweyewe
Ni kweli nyinyi ndio mliomuumba Mungu na ndio maana mkampa hilo jina

Ni kama Marvel walivyoamua kutunga jina la Spiderman ili kuwakilisha Superhero power, ni jina tu wala halina influence yeyote kwenye uhalisia.

Mungu = Spiderman
Supernatural power = Superhero power
 
Kuelezea maswali magumu ambayo hawataki kukubali kuwa hawana majibu nayo, hapo ndio nafasi ya Mungu inatumika.

Mfano huu hapa

View attachment 2356608
Safi sana mkuu, ‘I appreciate’ kwa dhati kabisa, napenda watu wenye fikra huru waso na mihemko kama wewe.

Sasa Waumini Dini wao humweleza Mungu kuwa ndiye muumba au mtengenezaji wa kila kitu tukionacho na mwenye majibu ya maswali yote magumu kama ulivyosema.

Wewe binafsi unadhani Ulimwengu huu na vyote vilivyomo vimetokanaje? Au vimetengenezwa na nani?(kama yupo huyo mtengenezaji)
 
Ni kweli nyinyi ndio mliomuumba Mungu na ndio maana mkampa hilo jina

Ni kama Marvel walivyoamua kutunga jina la Spiderman ili kuwakilisha Superhero power, ni jina tu wala halina influence yeyote kwenye uhalisia.

Mungu = Spiderman
Supernatural power = Superhero power
ni namna tu utakavyoita ita ila haimaanishi kwamba hamna chanzo eti kisa hicho chanzo tumekipa majina kwa lungha zetu , nampka tumekipa majina tambua tunaconnection kubwa mno na chanzo ndo maana kuita Mungu imekua sahihi.
 
nani kakuambia hayo unayoita mabalaa ni mabalaa kweli nipe mfano wa kitu unachohisi ni balaa nikupe faida zake kuendeleza uhai
Matetemeko na mafuriko yanayoua watu maelfu kwa maelfu hadi watoto wachanga na wengine wakiachwa na vilema ambavyo vinawafanya washindwe kuishi vizuri kwako wewe unaona hiyo ni sawa kuliona jambo hilo katka ulimwengu wenye Mungu mwenye upendo wote?
 
ni namna tu utakavyoita ita ila haimaanishi kwamba hamna chanzo eti kisa hicho chanzo tumekipa majina kwa lungha zetu , nampka tumekipa majina tambua tunaconnection kubwa mno na chanzo ndo maana kuita Mungu imekua sahihi.
Chanzo ni mawazo yenu, nje na hapo hakuna kitu
 
Ni kweli nyinyi ndio mliomuumba Mungu na ndio maana mkampa hilo jina

Ni kama Marvel walivyoamua kutunga jina la Spiderman ili kuwakilisha Superhero power, ni jina tu wala halina influence yeyote kwenye uhalisia.

Mungu = Spiderman
Supernatural power = Superhero power
sisi pia nisehemu ya Mungu hyo haki tunayo kama Mungu anaeishi katika maumbile yanayoonekana
 
Matetemeko na mafuriko yanayoua watu maelfu kwa maelfu hadi watoto wachanga na wengine wakiachwa na vilema ambavyo vinawafanya washindwe kuishi vizuri kwako wewe unaona hiyo ni sawa kuliona jambo hilo katka ulimwengu wenye Mungu mwenye upendo wote?
tunakufa ili uhai uendelee kuwepo kwenye maumbile tofaut assume watu wasingekufa apo unapoishi je ungekua apo? matetemeko ni namna dunia yetu inajiwekea msawazo tu ili kuleta uwiano , ukisikia Mungu anapenda kiasi inamaanisha sifa kuu ya hyo nguvu ni kubance mambo ndo maana ukiangalia vitu vyote vipo viwiliviwil mfan ke na me ubaya na uzur , kifo kuzaliwa na nk katikati ya hvyo kuna hyo nguvu ili mizani ikae sawa.
 
Safi sana mkuu, ‘I appreciate’ kwa dhati kabisa, napenda watu wenye fikra huru waso na mihemko kama wewe.

Sasa Waumini Dini wao humweleza Mungu kuwa ndiye muumba au mtengenezaji wa kila kitu tukionacho na mwenye majibu ya maswali yote magumu kama ulivyosema.

Wewe binafsi unadhani Ulimwengu huu na vyote vilivyomo vimetokanaje? Au vimetengenezwa na nani?(kama yupo huyo mtengenezaji)
Sijui vimetokana vipi (na hakuna anayejua) hilo ni swala la kutafiti, sio kutolea maoni kwa jinsi unavyo imagine kichwani mwako.

Hata dini haina majibu ya swali hilo, dini ndio imeacha loopholes ya maswalo mengi tata ila imeweka kitisho cha zuio ili watu wasihoji.
 
tunakufa ili uhai uendelee kuwepo kwenye maumbile tofaut assume watu wasingekufa apo unapoishi je ungekua apo? matetemeko ni namna dunia yetu inajiwekea msawazo tu ili kuleta uwiano , ukisikia Mungu anapenda kiasi inamaanisha sifa kuu ya hyo nguvu ni kubance mambo ndo maana ukiangalia vitu vyote vipo viwiliviwil mfan ke na me ubaya na uzur , kifo kuzaliwa na nk katikati ya hvyo kuna hyo nguvu ili mizani ikae sawa.
Kwahiyo Mungu angekuwa hana option ya kufanya maisha yaendelee vizuri bila watu kufa iwapo watu wangeishi milele?

Kupitia ujuzi wake wote alionao, huo ndio ulikuwa ukomo wake katika kufanya ulimwengu uwe mzuri zaidi ya hapa?

Kupitia dini si mmedai kuwa kuna maisha zaidi ya haya?

Kwa hiyo katika hayo maisha pia kutakuwa na muendelezo wa watu kufa ili kubalansi uhai uendelee kuwepo?
 
Mtu anatoka tu huko baada ya kuvimbiwa makande akitaka tuthibitishe kama Mungu yupo, kazi kwelii kweli
 
Hapa ndipo ninapotaka kujifunza Mkuu, naomba kwa faida ya wasomaji wote tufundishe kuhusu hii dhana ya Mungu.

Maana naona mijadala mingi kumhusu Mungu msingi wake uko hapa, kama hapa patakuwa sawa naamini sote wale walio waumini na wasio waumini watakuwa wanazungumza lugha moja.

Kabla ya swali la “Mungu yupi?”
Kwa heshima zote naomba unifahamishe atheist mnaielewaje dhana ya Mungu?

Mungu ni NINI kwenu?
Kablaa hatujaenda kwenye Mungu gani…
Atheism ni kukataa kuwepo Mungu nje ya dhana na fikra, hivyo ukiniuliza atheists tunaielewaje dhana ya Mungu, tunaielewa kama kitu cha kufikirika ambacho hakipo katika uhalisia nje ya kufikirika.

Ni kama dhana ya "pembetatu ambayo pia ni duara" katika Euclidean geometry planes.Unaweza kuisema, unaweza kuifikiria, lakini haipo katika uhalisia.

Kuhusu dhana ya Mungu kwa upana wake, nakuomba usome hiki kitabu "Philosophy of Religion: An Anthology".

Kimeelezea vizuri sana, kisomi, kutoka pande zote, za watu wanaoamini uwepo wa Mungu na wasioamini uwepo wa Mungu. Nakiambatanisha.
 

Attachments

Jitahidi kuelewa, au soma tena mada ila ‘this time’ soma ukiwa umetulia kwa msingi wa kuelewa si kutafuta kosa la kukosoa, sawa?

Ukifanya hivyo utagundua nimeomba Atheists wanisaidie kufafanua dhana ya Mungu kwanza…

Halafu Atheists watuthibitishie hayupo.

Baada ya hapo mjadala utakuwa umekwisha.

NB: Mfano wako wa soksi ni makosa ktk kujenga hoja, maana umeruka swali la msingi la “Mungu” (sijui kwakuwa umeona gumu) ukarukia kwenye soksi zako, nani humu anajali kuhusu soksi zako?
Jarbu kujibu swali langu ntakuonesha linahusiana nn na mada
 
Kwahiyo Mungu angekuwa hana option ya kufanya maisha yaendelee vizuri bila watu kufa iwapo watu wangeishi milele?

Kupitia ujuzi wake wote alionao, huo ndio ulikuwa ukomo wake katika kufanya ulimwengu uwe mzuri zaidi ya hapa?

Kupitia dini si mmedai kuwa kuna maisha zaidi ya haya?

Kwa hiyo katika hayo maisha pia kutakuwa na muendelezo wa watu kufa ili kubalansi uhai uendelee kuwepo?
mm sio mtu wa dini usinihusishe huko, unatamn usfe kwa nn? ni sawa na mtoto anae tamn asizaliwe , jinsi mtoto alie tumbon kwa namae hamna tofauti na sisi tulivyo kwa Mungu , sku ukitoka apa utaelewa kila kitu kma mrotonanavyozaliwa anamjua mama yake na ndivyo ukitoka kwenye huo mwili utamjua mama yako, mtoto alie tumbon hutambua hisia za ***** na sisi tunatambua hisia za mungu juu yetu.
 
Back
Top Bottom