Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Mungu hayupo? Atheist njooni mthibitishe

Unajua ubaya uko wapi? Upo brainwashed toka mdogo, kwaiyo ubongo wako umeshalishwa sumu hutaweza kuchambua kiyakinifu,
Sijawahi kujadiliana na watu watupu kama nyinyi. Badala ya kujibu hona unakimbia kwa kuandika tuhuma. Hii mbini mtaiacha lini ?
Je unafahamu mwaka 1633 galileo galilei alihukumiwa kifungo cha maisha na kanisa katoliki kwa sababu alitoa fact kuwa dunia inazunguka jua, fact ambayo leo hao wakatoliki wanaikubali,
Mimi nakupa kazi Moja tu leta hizo fact unazo dai alizitowa Galileo Kisha ujibu maswali nitakayo kuulizia kutokana na hizo unazo dai kuwa ni facts.

Akili ya kawaida tu inakataa ya kuzunguka kwa Dunia.

Kisha uniwekee hapa jaribio la Kisayansi la kweli linakothibitisha ya kuwa Dunia inazunguka.
kwa iyo na wewe unless utaruhusu ubongo kufunguka na ku chambua mambo, hata uambiwe nini hutaelewa.
Unatakiwa ujibu maswali niliyo uliza.
 
Kwanza nani amekwambia asili ya Mungu ni upendo ? Haya mambo mlitakiwa myasome na myajue kwanza Kisha myakanushe.

Mola ukisema au ukimnasibisha na asili, maana yake ana chanzo wakati hii si sifa yake. Yes ni wa mwanzo ambaye hakuna Cha mwanzo kabla yake.

Mola wetu ana upendo kamili na ghadhabu Bali ni mkali kamili.

Kuwepo kwa mabaya ni katika matakwa yake na hekima zake.
Leta ushahidi na uthibitisho na utafiti wa haya unayosema hapa! Au ni mawazo yako ya kufikirika kichwani kwako tu!....mbona hueleweki wewe? Mara useme asili ya Mungu si upendo mara tena uje useme "Mola ni mwenye upendo na ghadhabu na ni mkali" kipi ni kipi sasa? Upande wako uko wapi? Nipe jibu moja Mungu ni mwema au mbaya?
 
Kwanza kuthibitisha uwepo wa Mungu ni Simple sana.Angalia Solar system, Angalia mpangilio wote wa sayari na pia Angalia viumbe vyote vya duniani ukiwemo wewe na pia viumbe vya sayari zingine na mifumo yao ya uhai. Vyote hivyo havikujitengeneza lazima kuna external force, External Power ambayo ilihusika.

Sasa uwepo wa hiyo POWER sisi tunaita Mungu. So Mungu yupo. And that Power is Startless and Endless. Sasa wewe endelea kubisha.
 
Nionyeshe haya nimeyaandika wapi ?
Naku nukuu hapa maneno yako ulisema "Mola wetu ana upendo kamili na ghadhabu bali ni mkali kamili".....mwisho wa kuku nukuu.....sasa unakataa haya si Maneno yako?????
 
Kwanza kuthibitisha uwepo wa Mungu ni Simple sana.Angalia Solar system, Angalia mpangilio wote wa sayari na pia Angalia viumbe vyote vya duniani ukiwemo wewe na pia viumbe vya sayari zingine na mifumo yao ya uhai. Vyote hivyo havikujitengeneza lazima kuna external force, External Power ambayo ilihusika. Sasa uwepo wa hiyo POWER sisi tunaita Mungu. So Mungu yupo. And that Power is Startless and Endless. Sasa wewe endelea kubisha.
Haya ni mawazo yako pia kama unaita Mungu ni wewe kwa mtazamo wako kwa wengine sivyo humu ni fikra huru kwa Atheist hizi ni drama tu...
 
Haya ni mawazo yako pia kama unaita Mungu ni wewe kwa mtazamo wako kwa wengine sivyo humu ni fikra huru kwa Atheist hizi ni drama tu...

Unapobisha usibishe bila kuelezea, sasa wewe ni kipi kinafanya useme Mungu hayupo na Kama unasema Mungu hayupo umejuaje kwamba ni Mungu? Bisha kwa facts, sio kubisha kizembe hivyo. Mi nimekutolea Mifano kuthibitisha uwepo wa Mungu na unaposema ni Fikra huru, Mimi kuita Mungu ni symbol ya Power.

Sasa wewe kivyovyote utakavyoita it’s okay but There is POWER.
 
Naku nukuu hapa maneno yako ulisema "Mola wetu ana upendo kamili na ghadhabu bali ni mkali kamili".....mwisho wa kuku nukuu.....sasa unakataa haya si Maneno yako?????
Sasa hiki nilichokiandika kilinganishe na ulichokiandika wewe. Ni mashariki na magharibi.
 
Sijawahi kuona mkana mungu ana hoja. Shida yenu huwa waoga na mnakimbia jukumu la kuthibibitisha na liacha jukumu Hilo kwa mwenye kusadili. Ukisoma vitabu vya Elimu ya mijadala husema hivi mara nyingi mwenye kukanusha hutangulizwa katika kuthibitisha jambo husika sababu hudhaniwa ya kuwa yeye ana Elimu zaidi ya yule anae sadikisha na mara chache mwenye kusadiki hutangulizwa.

Kwahiyo kwa hapa wewe unatakiwa uthibitishe ya kuwa Mola hayupo, sababu utakuwa na ujuzi zaidi ya yule anaye sadikisha.

Hapa jukumu hili hulikwepi labda ulikimbie. Tutakuuliza umejuaje kama Mola hayupo, sababu hatutegemei tu ukanishe pasi na kuwa na hoja na ubainifu.

Hili wakana mungu wote huwa mnalikimbia na huthibitisha ya kuwa mna uwezo mdogo sana wa kufikiri na kuyang'amua mambo.

Kwahiyo thibitisha kama kikombe hakipo.
Acha Ujinga wako,

Wewe si Una msalaba si useme huu msalaba ndio mungu unaogopa nini ?




Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Umejuaje kama hayupo ? Kitu ambacho hakipo unajuaje kama hakipo ? Je ni lazima kitanguliwe na kutokuwepo kwake ? Au si lazima ? Kama si lazima umejuaje Mola hayupo ?
1. Machafuko duniani

2. Majanga

3. Njaa

Kama angekuwepo Yule mungu mwenye upendo asingeruhusu wanae wapendwa waishi kwenye njaa na majanga?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
1. Machafuko duniani

2. Majanga

3. Njaa

Kama angekuwepo Yule mungu mwenye upendo asingeruhusu wanae wapendwa waishi kwenye njaa na majanga?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Jibu maswali niliyo kuulizia. Thibitisha Hilo kwamba angekuwepo asinge ruhusu hayo unayo yasema na utuambie umejuaje Hilo ?!
 
Jibu maswali niliyo kuulizia. Thibitisha Hilo kwamba angekuwepo asinge ruhusu hayo unayo yasema na utuambie umejuaje Hilo ?!
Unauliza swali usilojua kama ni swali na unapewa majibu usiyojua Kama ni majibu.

Unaelewa maana ya kuthibitisha ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Sasa hiki nilichokiandika kilinganishe na ulichokiandika wewe. Ni mashariki na magharibi.
Huna cha kuthibitisha hoja zako hizi kwamba Mungu ni mwema au mbaya? Umekalia ubishi usio na mantiki yeyote na kutoa mawazo yako kichwani tu?... niambie Mungu ni mwema au mbaya? Full stop usizunguke zunguke nipe jibu moja Mungu ni mwema au mbaya?
 
Unauliza swali usilojua kama ni swali na unapewa majibu usiyojua Kama ni majibu.

Unaelewa maana ya kuthibitisha ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Huyu Kisai hana uthibitisho wowote wa anacho kisema ana zunguka zunguka tu na ubishi wake bila kuwa na hoja zenye uthibitisho naona ni mawazo yake anajaribu Kuyafosi bila kuleta uthibitisho
 
Unapobisha usibishe bila kuelezea, sasa wewe ni kipi kinafanya useme Mungu hayupo na Kama unasema Mungu hayupo umejuaje kwamba ni Mungu? Bisha kwa facts, sio kubisha kizembe hivyo. Mi nimekutolea Mifano kuthibitisha uwepo wa Mungu na unaposema ni Fikra huru, Mimi kuita Mungu ni symbol ya Power. Sasa wewe kivyovyote utakavyoita it’s okay but There is POWER.
Haya mabaya na uovu duniani nani anasababisha yatokee? Na wewe unaposema Mungu yupo umejuaje kama yupo kweli? thibitisha! Huyo Mungu unamjua au ni akili yako tu inahisi hivyo? Akili yako wewe inahisi tu kwamba kuna Mungu ila huna uthibitisho kama unao ulete.Usiseme eti kwa vile hujui nani aliumba dunia,Jua, nyota, mwezi, bahari, maziwa, mito, milima ndio udhani Mungu yupo?

Una uhakika na uthibitisho wa yeye aliumba hivi vitu au unahisi tu? Kama una hisi tu hivyo..Basi na Atheist tuna hisi Mungu hayupo... maana wote mimi na wewe tunahisi tu! Ila hatuna uthibitisho......kama unao uthibitisho wa kuwepo Mungu ulete,, Usiseme unahisi tu au ni imani tu leta uthibitisho...
 
uhuru wa fikra usio kuwa na kipimo uleta utumwa wa nafsi.
 
Unauliza swali usilojua kama ni swali na unapewa majibu usiyojua Kama ni majibu.

Unaelewa maana ya kuthibitisha ?

Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
Tofauti yangu Mimi na nyinyi ni kuwa Mimi ninajua Nina as chokijadili na hakuka yake.

Huwezi kuniambia ya kuwa kuwepo majanga ni uthibitisho ya kuwa Mola hayupo. Ninapokwambia jibu maswali yangu maana yake hujajibu swali.

Maana ya uthibitisho ni kutoa shaka juu ya jambo Fulani yaani uhalisia.
 
Back
Top Bottom