NetMaster
JF-Expert Member
- Sep 12, 2022
- 1,454
- 4,853
Ukweli huwa haubadiliki hata watu wengi wakiamini uongo ama kudanganywa bila kujua.
Suala la makanisa kutumia hayo maneno ni upotoshaji mkubwa
Mungu alimuumba mwanaume na mwanadamu, Hapo kinachozungumziwa ni jinsia alizoumba, hakukuwa na jinsia ya tatu, hapa sioni kama kuna valid point inayoingia ndoa ya mke moja.
Suala la kuwa mwili moja ni kitendo cha mwanaume na mwanamke kukutana kimwili, mnapounganika mnakuwa mwili moja na hapa ndio maana uzinzi unapigwa vita, uzinzi unaweza kukuhamishia kwako gonjwa la mliekutana na maroho machafu ya wengine waliopita. kwenye 1: wakorintho 6 : 16 "Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." nashangaa makanisa yanapaza sauti kuashiria mwili moja kuhusiana na mke moja.
Yesu hakuzungumzia chochote kuhusu polygamy bali aligusia divorce pekee
Musa alioa mke zaidi ya moja
Wafalme karibu wote wa israel walioa zaidi ya mke mmoja, Solomon akiwa kinara
Lets Discuss: maoni yako ni yapi kwenye suala la makanisa kupindisha maandiko ?
Suala la makanisa kutumia hayo maneno ni upotoshaji mkubwa
Mungu alimuumba mwanaume na mwanadamu, Hapo kinachozungumziwa ni jinsia alizoumba, hakukuwa na jinsia ya tatu, hapa sioni kama kuna valid point inayoingia ndoa ya mke moja.
Suala la kuwa mwili moja ni kitendo cha mwanaume na mwanamke kukutana kimwili, mnapounganika mnakuwa mwili moja na hapa ndio maana uzinzi unapigwa vita, uzinzi unaweza kukuhamishia kwako gonjwa la mliekutana na maroho machafu ya wengine waliopita. kwenye 1: wakorintho 6 : 16 "Maana, kama mjuavyo, anayeungana na kahaba huwa mwili mmoja naye--kama ilivyoandikwa: "Nao wawili watakuwa mwili mmoja." nashangaa makanisa yanapaza sauti kuashiria mwili moja kuhusiana na mke moja.
Yesu hakuzungumzia chochote kuhusu polygamy bali aligusia divorce pekee
Musa alioa mke zaidi ya moja
Wafalme karibu wote wa israel walioa zaidi ya mke mmoja, Solomon akiwa kinara
Lets Discuss: maoni yako ni yapi kwenye suala la makanisa kupindisha maandiko ?