TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Naomba niulize swali kwa mujibu wa dini ya kiislamu mwanamke akifiwa na mume wake inatakiwa alae ada ya myezi mitatu na siku kumi je raisi wetu kipenzi atakaa eda? na kama atakaa eda katiba yetu inazungumza nini kutokuwepo kwa raisi kazini kwa muda huo?
 
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Sometimes we champagne for #condolences
 
Mwili wa Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, unatarajiwa kuzikwa leo, Septemba 7, 2026, Kizimkazi, Zanzibar.

Hafidh Ameir amefariki dunia leo katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Emilio Mzena, Zanzibar, ambako alikuwa akipatiwa matibabu.

Kifo chake kimetangazwa leo na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi, aliyetoa salamu za pole kwa Rais Samia, familia, ndugu, jamaa na marafiki wa marehemu.

Maandalizi ya mazishi yanaendelea Kizimkazi, Zanzibar, ambako mwili wa marehemu unatarajiwa kuzikwa leo saa 10 jioni.

Kifo cha ghafla cha Mzee Hafidh Ameir Hassan, mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Samia Suluhu Hassan, kimehitimisha maisha ya uzee aliyoyatumia kwa utulivu na mbali na macho ya umma.

Katika siku zilizotangulia msiba huu, Mzee Ameir alikabiliwa na changamoto za kiafya zilizohusiana na matatizo ya mfumo wa moyo, hali iliyofanya apelekwe katika Hospitali ya Kumbukumbu ya Mzena iliyopo visiwani Zanzibar kwa ajili ya kupatiwa matibabu na usimamizi wa karibu wa wataalamu wa afya.

Licha ya juhudi za madaktari bingwa waliokuwa wakimhudumia, Mzee Hafidh Ameir alifariki dunia mapema leo, Jumatatu ya Septemba 7, 2026, na kufuatiwa na taarifa rasmi ya msiba wa kitaifa iliyotolewa na Makamu wa Rais, Mheshimiwa Deogratius Ndejembi.

Kufuatia misingi na taratibu za dini ya Kiislamu zinazoelekeza kuwahifadhi marehemu kwa haraka, maandalizi ya maziko yalitantishwa na kufanyika siku hiyo hiyo.

Mwili wa marehemu ulisafirishwa kutoka hospitalini kuelekea kijijini kwao Kizimkazi, Mkoa wa Kusini Unguja, ambapo alihifadhiwa kwenye nyumba yake ya milele majira ya saa 10:00 jioni.

Mazishi hayo yalihudhuriwa na viongozi mbalimbali wa kitaifa, ndugu, jamaa, na wananchi waliofika kumfariji Rais Samia na familia yake.

Historia ya maisha ya Mzee Hafidh inaonyesha kuwa, pamoja na mkewe kushika nafasi ya juu kabisa ya uongozi wa nchi tangu mwaka 2021, alichagua kubaki nyuma ya pazia na kuishi maisha ya unyenyekevu mkubwa ili kulinda utulivu wa familia na kumpa Rais nafasi ya kuongoza taifa, huku akiendelea kuwa nguzo imara ya kifamilia hadi mauti yalipomfika.
 
Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Good riddance!

Asante Mungu Kwa zawadi hii ata kama tulitarajia iliyo kubwa zaidi, lakini ata Kwa kuanzia hii itafaa.

Tushukuru Kwa iki kidogo, tutapata kubwa zaidi soon
 
karibuni
 

Attachments

  • IMG_4694.jpeg
    IMG_4694.jpeg
    316 KB · Views: 4
Mmeghairi kutafuta vipya tena😦
Makubaliano ya vikao ni mawili. Kusettle na mwanamke wa miaka 25+ awe na bikira au awe na hela. Kwamba bikira ikikosekana angalao nae aje kwenye mahusiano na tangible contribution (hela na mali). Mwanamke miaka 28+ hana bikira, hana hela, hana kazi wala biashara huyu miaka 10 ya utu uzima ameitumia kufanya nini?
 
Back
Top Bottom