Ndiye Baba Yake Abdul Huyo? Ndilo swali pekee nilililo nalo kuhusu taarifa hii.
Ndie baba yake, kifo kimeweka msawazo sana wakati maiti za vijana zimelala pale chini Mwanyamala kwenye morgue iliyojaa hadi kuzidiwa uwezo mkwe na shemeji yake Abdul aliamuru wizara ya afya waseme ni AI.
Maiti zile baadae zilikwenda kuzikwa kwa siri ambapo ripoti ya CCN ilifichua ni kule Kondo ikapelekea familia nyingi kutowahi kuona tena maiti za ndugu zao hadi wakazika nguo, viatu, na picha.
Leo hii familia ya wauaji walitamani hata wafiche hiki kifo cha huyu mtu wao ila ndio vile hawawezi pumzi ni kitu kidogo tu ila hata kwa hayo mabilioni yao waliyonayo hawawezi kuinunua.
Good riddance to bad rubbish.