TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

Mume wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan, Hafidh Ameir, amefariki Dunia.

Taarifa za kifo cha Hafidh Ameir, zimetangazwa na Makamu wa Rais, Deogratius Ndejembi kupitia Vyombo vya Habari.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Deogratius Ndejembi akitangaza taarifa ya msiba wa Mhe. Hafidh Ameir Hassan ambaye ni mwenza wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan.
Kifo ni kifo tu
 
Hujitambui wewe kisa unatoka kwenu bombani unakuja bara basi unapata la kusema. Tambua huko mna uislamu na mnafata mambo yenu hayo ya kuwa Fanya wanawake kama Midori ya madirishani kwenye nyumba zenu mnawachunga kama ng'ombe wa kiamasai. Huku Bara hizo hatuna, unapigishwa kazi kama kawa na usiombe ukakanyaga Kanda ya ziwa hutakaa usahau. Nyie mkidekezwa hivyo ndo mnawaona wanaume wa bara kauzu kumbe ndo maisha. Mnahitaji kujikomboa kutoka kwenye hayo mateso ya kufungiwa ndani kama p....buli
 
Back
Top Bottom