Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

Muhingo Rweyemamu on Amina's Death

mugongo mugongo said:
Yes, Rais aliwasili Tanga tarehe 25 majira saa tisa, na siku hiyo hiyo akaenda moja kwa moja kwenye mabanda ya maonyesho ya mambo ya madawa ya kulevya, shughuli ambayo pia iliripotiwa na vyombo vya habari, including TVs.

Kesho yake asubuhi (tarehe 26 June - siku ya Jumanne, ambayo unadai ndio alienda kumuona Amina Lugalo) akaenda kupokea maandamano Uwanja wa Mkwakwani - Tanga, na kuhutubia. Kwenye saa saba mchana, akaenda kupata lunch Mkonge Hotel. Later mchana waka-fly to Serengeti, na kufikia Seronera Lodge ambapo alilala hadi kesho yake (June 27), akafungua mradi wa umeme Serengeti, na kuondoka kurudi Dar. Jioni akawa mgeni rasmi shughuli ya BBC, na baada ya hapo straight akaenda kuhani msiba.

Kwahiyo, bwana mkubwa, usitudanganye. Heshima ya Forum mbele

Fuatilia hiyo alafu fuatilia na picha

Mhhhh

mhhhh

Una kazi kweli hapa baba
 
una right ya kuwa na opinion kuhusu anything hapa.

kazi sasa kwa muongo na CMB kuleta evidence za kuprove madai yao hapa.

Na nyie (wewe na Mkandara) leteni za kwenu. Unapopinga ushahidi unatoa pia ushahidi mbadala, au sio baby?
 
Nyani are you trying to be a little bit sexist with your "baby" comment?
 
Na nyie (wewe na Mkandara) leteni za kwenu. Unapopinga ushahidi unatoa pia ushahidi mbadala, au sio baby?

Mkandara atajibu hii issue yeye mwenyewe. Mimi nikifikia hatua ya kupinga ushahidi zaidi ya hii ya ku-demand evidence za huo ushahidi basi itabidi nitoe ushahidi mbadala.

Kwa sasa kama wewe ndio msemaji wa muongo na CMB basi kazi kwako kuleta evidence ya madai waliyotoa ili ku-overcome doubt ambayo nime-create hapa.
 
Nyani are you trying to be a little bit sexist with your "baby" comment?

Sidhani kama anakuwa sexist hapa. Nyani ngabu nimemsoma posts zake for a long time na hana historia mbaya dhidi ya wanawake. Issue ya muongo kuhusu dates za mwezi ndiyo ilikuwa a bit over the line. Kuna wengine hapa wameanza kutumia neno shehe na kanzu. Dunia ya wanaume utaiweza?
 
Mkandara atajibu hii issue yeye mwenyewe. Mimi nikifikia hatua ya kupinga ushahidi zaidi ya hii ya ku-demand evidence za huo ushahidi basi itabidi nitoe ushahidi mbadala.

Kwa sasa kama wewe ndio msemaji wa muongo na CMB basi kazi kwako kuleta evidence ya madai waliyotoa ili ku-overcome doubt ambayo nime-create hapa.

Na wewe kama Mkandara bwana wako na umegeuka kuwa msemaje wake basi una wajibu wakuleta ushahidi wako mbadala kwa sababu kama una mashaka na ule uliotolewa na una demand ushahidi mwingine, hiyo ina maana huu uliopo umeukataa. Na kama ndio hivyo, na mimi na-demand utoe ushahidi mbadala unaokufanya usiamini huu uliopo sasa. Okay baby?
 
Na wewe kama Mkandara bwana wako

Waoooooo, sasa tumeanza na name calling enhe!

na umegeuka kuwa msemaje wake basi una wajibu wakuleta ushahidi wako mbadala kwa sababu kama una mashaka na ule uliotolewa na una demand ushahidi mwingine, hiyo ina maana huu uliopo umeukataa.

Ku-demand watu wanaotoa madai bubu kudai kujua JK alikokuwa on the disputed date dhidi ya Mkandara walete evidence sio kuwa msemaji wa Mkandara. Walete evidence...simple request.

Na kama ndio hivyo, na mimi na-demand utoe ushahidi mbadala unaokufanya usiamini huu uliopo sasa. Okay baby?

Kwa sasa ni kwa Muongo na CMB kuleta evidence za madai na picha ambazo zina doubts kibao..Mie nikifikia hatua ya kutoa allegations humu basi nitaleta evidence bila hata wewe kuomba
 
Well,
Kama mnataka kuendelea kubishana endeleeni ila mark my words. Ushahidi mlioambiwa umetoka Ikulu umetoka Ikulu kweli. Inawezekana ni propaganda au ni ukweli kweli.
Bob Mkandara, angalia vijana huwawezi ni taifa kubwa, watakuaibisha.
 
Aaaw come on now, I used it in an affectionate kinda way. Are you jealous...? You are a hot babe yourself...mwaaaaaa...mwaaaaa

Bi senti,

inaonekana nilikuwa wrong kuhusu statement yangu kuhusu Nyani kuwa ok na wanawake....inaonekana doubts zako zilikuwa kweli. Nyani kazidiwa hapa na ameanza name callings..hoja zimekwishaaaaa

ohaaa hooha kwei kwekiw kwieeeiiiii
 
Waoooooo, sasa tumeanza na name calling enhe!



Ku-demand watu wanaotoa madai bubu kudai kujua JK alikokuwa on the disputed date dhidi ya Mkandara walete evidence sio kuwa msemaji wa Mkandara. Walete evidence...simple request.



Kwa sasa ni kwa Muongo na CMB kuleta evidence za madai na picha ambazo zina doubts kibao..Mie nikifikia hatua ya kutoa allegations humu basi nitaleta evidence bila hata wewe kuomba

Huna jipya na umeshindwa kuleta ushahidi mbadala na umebaki ku-recyle yale yale tu. Mpaka utakapoleta ushahidi mbadala....au revoir
 
Bi senti,

inaonekana nilikuwa wrong kuhusu statement yangu kuhusu Nyani kuwa ok na wanawake....inaonekana doubts zako zilikuwa kweli. Nyani kazidiwa hapa na ameanza name callings..hoja zimekwishaaaaa

ohaaa hooha kwei kwekiw kwieeeiiiii

Sina tatizo na wanawake. I love women.
 
Well,
Kama mnataka kuendelea kubishana endeleeni ila mark my words. Ushahidi mlioambiwa umetoka Ikulu umetoka Ikulu kweli.
Inawezekana ni propaganda au ni ukweli kweli.
Bob Mkandara, angalia vijana huwawezi ni taifa kubwa, watakuaibisha.

Hayoo ni maneno yako na madai yako...kujiita taifa kubwa sio ushahidi kuwa picha hizo zilipigwa the said date na time inayodaiwa hapa.
 
Well,
Kama mnataka kuendelea kubishana endeleeni ila mark my words. Ushahidi mlioambiwa umetoka Ikulu umetoka Ikulu kweli. Inawezekana ni propaganda au ni ukweli kweli.
Bob Mkandara, angalia vijana huwawezi ni taifa kubwa, watakuaibisha.

ebwana inakuwaje babu?
watu hawataki kukubali ushahidi...halafu hawawezi kuleta wa kwao. Halafu wanadai tumeishiwa hoja....go figure
 
Huna jipya na umeshindwa kuleta ushahidi mbadala na umebaki ku-recyle yale yale tu. Mpaka utakapoleta ushahidi mbadala....au revoir

Issue hapa sio mimi kuleta hapa jipya. Kumbukumbu zangu zaonesha kuwa Mugongo na CMB wametoa madai ya kudai kujua alikokuwa JK that day na kuleta picha ambazo hazina ushahidi wowote wa lini na muda gani zilipigwa.

Mpaka hapa watakapoleta ushahidi wa muda, hizo picha sio evidence tosha ya kuback up madai yao. Naona wewe ndio umeanza mapya kwa kuita watu mabwana zangu hapa...good job kwa mjenga hoja kama wewe
 
Back
Top Bottom